Jinsi suala la bandari linavyoidhalilisha na kuichafua LHRC

Inasemekama LHRC ni sehemu pekee iliyobaki kutakasisha hela ziendazo kufadhili ushoga. Pia ni sehemu nzuri kupitisha malipo kwa informers na spies wavaao nguo za upinzani wasaidie kuboostisha bajeti ya LHRC. Ni mahala pachafu, hapana maslahi kwa Taifa hili.
Una matatizo kichwani au unafanya makusudi ili kulinda shughuli zako za rangi saba za msingi
 
Hao malaya sijui hata km wana waume, km wanao ni wa kuwatimizia tu haja zao za ngono. Huyo Ananilea na Anna Henga ni wachumia tumbo na wafaidika wa uendeshaji mbovu wa bandari, wanapitishia mizigo yao inayotoka kwa mabwana zao alioko ulaya kwa magendo bila kulipa kodi stahiki, wapuuzeni hao wapuuzi. Mwanmke mzima anatokwa mapovu kwa kuongea uwongo bila hata chembe ya haya, shenzy kabisa. Labda wana nchi nyingine ya kukimbilia mambo yakiharibika. Mwabukusi na Slaa waliongea live tukiwaona na kuwasikia wakiongea maneno ya kujenga chuki, ya kugawa nchi, ya kichochezi na maeno ya kihaini. Walitaka wasikie na kuona nini cha ziada ndiowaamini ni wahalifu? Washenzi kabisa, sijui hata watoto wao wanajifunza nini kutoka kwao.
Afadhali ya wao wana kazi ya kujifichia kuliko wewe mdangaji wa mwembetogwa
 
Wewe ndiyo fala kabisa
Kama Rais katukanwa kwa nini akina Dr Slaa wasifunguliwe kesi za kashfa kwa Rais?
Lisu aliyesema Rais ana akili za matope mbona haijakamatwa?
Unajua maana ya kuipundua serikali?
Hacha uchawa mtoto wa kiume wewe
Unajuaje kama ni mtoto wa kiume?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Umesahau kuweka namba ya simu!Muda wowote kwanzia hivi sasa utachaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya. ILEMELA
 
Jana Prof Kitila alihojiwa na BBC ile english sijui Watanzania tumerogwa na nani?

Ila alikuwa na hoja nzuri na za Msingi sana
Alipobanwa maswali alisingizia kuwa wameshauriwa na wanasheria wa serekali. Lakini mwanasheria mkuu wa serekali hajawahi kutoka hadharani na kutetea kwa hoja za kisheria vifungu vyenye utata. Niliona Kitila anajikanyaga tu na hakuwa na confidence.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Hoja ya msingi ni bandari, tusi kama lipo haliwezi kumfanya aunge mkono u inafsishaji wa bandari kama una kasoro.
 
Maisha ya kutofanya siasa watu walikua washayazoea sa kwann mmeruhusu siasa afu mnataka pangia watu nn chakuongea

Kukosoa ni kukosaoa tu kwann unataka ukosolewe kwa lugha ya kubembelezwa wacha watu wakosoe kwa lugha na maneno wanayoweza sio kuwapangia wakosoe vp
 
Maisha ya kutofanya siasa watu walikua washayazoea sa kwann mmeruhusu siasa afu mnataka pangia watu nn chakuongea

Kukosoa ni kukosaoa tu kwann unataka ukosolewe kwa lugha ya kubembelezwa wacha watu wakosoe kwa lugha na maneno wanayoweza sio kuwapangia wakosoe vp

Mnataka siasa wakat ukomavu hamna
 
Mahakama hizo hizo ndio zilipewa maagizo ya kumkomoa hapo awali kwa kimgjf kwahiyo hakuna chochote utaongea ili tuamini kuwa hizo mahakama zinaweza kutenda haki kwa wapinzani.
basi hamie Burundi km hakuna chombo chochote cha dola mnaweza kuiamini. Nyie ni watu gani hamuwezi kuongozwa, basi mtakuwa mazuzu fulani tafuteni pa kuishi mjitenge nasi tunaoamini vyombo vyetu vya dola
 
Nimeona matusi na jazba zaidi kuliko hoja ulizotaka kuleta hapa. Hiki kiburi Chenu kitaiisha kwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
ila wee jamaa huwa unafurahisha sana, ni kijana mzuri wa kunogesha story za kijiwe cha JF mazuzu.
 
Inasemekama LHRC ni sehemu pekee iliyobaki kutakasisha hela ziendazo kufadhili ushoga. Pia ni sehemu nzuri kupitisha malipo kwa informers na spies wavaao nguo za upinzani wasaidie kuboostisha bajeti ya LHRC. Ni mahala pachafu, hapana maslahi kwa Taifa hili.
Ukiona watu wanatetea ushoga na wahaini kwa nguvu zote basi ujue kesho watawatetea wauza madawa ya kulevya na wabakaji.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom