Jinsi suala la bandari linavyoidhalilisha na kuichafua LHRC

Kama unategemea jeshi litafanya mapinduzi ili kumweka kibara wa wabeleji Lisu madarakani, sahau na ondoa kbs fikra mfu hizo.
Wakae hao hao wanajeshi, wakiona mifumo imeshakaa sawa wataachia serekali ya kiraia ambayo itawekwa madarakani kwa kura halali za wananchi.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Nasikia wanaandikishwa mashahidi pale Rumumba, ni vyema ukaenda kuwa mmoja wapo ili uwe shahidi mwema wa Taifa.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Ukitumia maarifa uliyonayo kutafuta fedha hutopata muda wa kuwa mpambe wa mtu,bali utamiliki wapambe. ACHA UPAMBE wa kipumbavu,tetea RASILIMALI ZA TAIFA.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Yaani wewe ni zaidi ya mjinga'kichwa chako pekee kimebeba ujinga wa wajinga Mia moja.
 
Hivi wewe Mr Dudumizi mtu kama huyu👇👇👇 mwenye kufanya makosa ya wazi na ya kizembe kiasi hiki ktk kuwasiliana na umma unafikiri atakuwa amefanya maamuzi mangapi ya kimakosa, mabovu na yenye kuumiza nchi na wananchi?
IMG-20230817-WA0030.jpg
IMG-20230817-WA0031.jpg


Ndugu Mr Dudumizi, maafa na uharibifu wowote huanzia kwenye misinformation. Makosa kama haya yanaifanya taarifa kukosa clarity na kuonesha kuwa ni ubabaishaji tu huko serikalini hivyo kupelekea hata ujumbe wenyewe kutoeleweka na kujaa utata mtupu..

Unataka mtu kama huyu apewe heshima gani isipokuwa kushitakiwa kwa uhaini kwa ku - mislead watu na nchi?

Jiongeze, usijiuze kwa bei rahisi kiasi hicho. Badilika na kemea uzembe wa viongozi wabovu wa serikali hii ili uiokoe nchi yako!!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Msikilize Rc Chalamia alivyosema kuhusu wakosoaji wa Mkataba wa Bandari afu uje humu kuendelea
"Jambo baya daima haliwezi Zidi Jema"
 
CCM huwa mnajiona raia wa daraja la Kwanza wakati mmejaa shida mwili mzima. Mnakesha kutukana watu mitandaoni na kwenye mikutano ya hadhara, Huyo mama yenu akiambiwa ukweli kauza bandari za Tanganyika kasepesha za kwao Mchambawima mnasema anatukanwa.
Kumbe na wewe ni mwana mipasho. Nilitegemea ungeweka mkataba hadharani ili tuone eneo lenye mauziano.

Ujinga huu ndio unaofanya wanasiasa uchwara waendelee kupata ugali wao kirahisi rahisi.
 
Kwahiyo hili ndio limemfanya Dr Slaa ahisi kwamba anaweza kufanya mapinduzi na akawa raisi wa nchi yetu?
Hivi wewe Mr Dudumizi mtu kama huyu👇👇👇 mwenye kufanya makosa ya wazi na ya kizembe kiasi hiki ktk kuwasiliana na umma unafikiri atakuwa amefanya maamuzi mangapi ya kimakosa, mabovu na yenye kuumiza nchi na wananchi?
View attachment 2720129View attachment 2720131

Ndugu Mr Dudumizi, maafa na uharibifu wowote huanzia kwenye misinformation. Makosa kama haya yanaifanya taarifa kukosa clarity na kuonesha kuwa ni ubabaishaji tu huko serikalini hivyo kupelekea hata ujumbe wenyewe kutoeleweka na kujaa utata mtupu..

Unataka mtu kama huyu apewe heshima gani isipokuwa kushitakiwa kwa uhaini kwa ku - mislead watu na nchi?

Jiongeze, usijiuze kwa bei rahisi kiasi hicho. Badilika na kemea uzembe wa viongozi wabovu wa serikali hii ili uiokoe nchi yako!!
 
Msikilize Rc Chalamia alivyosema kuhusu wakosoaji wa Mkataba wa Bandari afu uje humu kuendelea
"Jambo baya daima haliwezi Zidi Jema"
Kwanini nimsikilize Chalamila na wakati najua kuna wakosoaji wengi tu wamekosoa mkataba bila kukamatwa?
Unataka kunambia kina Lisu, Mbowe, Tibaijuka na Pengo wamekamatwa na wao? Mbona walikosoa na wengine (Lisu) akaongeza matusi juu?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili swala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake alafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana raisi, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana raisi, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dr Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lisu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dr Slaa hapo pichani, alafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dr Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dr Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Hivi mnaitwa chawa wa mama ?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ki ukweli hili suala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala.

Watanzania wenye akili zetu timamu we can't imagine inakuaje mzazi ambae unajifanya una elimu, malezi bora ya wazazi wako, utu na uwezo wa kutetea haki za binadam uache wanasiasa uchwara wamtukane kiongozi wako ambae ndio raisi wako matusi ya laana. I mean wamdhihaki, wamkejeli na kumdhalilisha mbele ya watoto wake na wananchi wake halafu wewe ukae kimya tu unacheka, na kujifanya hujui wala huoni.

Je, kumdhalilisha mkuu wa nchi kwa kusema kuwa ana akili za matope sio kumvunjia haki zake, kumvunjia heshima yake na kumfanya hana maana mbele ya wananchi wake?

Ikiwa umeshindwa kuwakemea hawa wanasiasa waliomtukana Rais, je utaweza kuwakemea watoto wako wa kuwazaa pale wanapovunja haki za wengine?

Au haki huwa inatumika tu kwa wale waliopo upande wako peke yako?

Tukiachana na hilo la wanasiasa wako kumtukana Rais, pia tumeshangazwa na kauli yako ya uongo kwa watanzania kwamba kina Dkt. Slaa wamekamatwa kwa sababu ya kupinga mkataba. Huu ni uongo mkubwa ambao unatakiwa ujitokeze hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kutudanganya, na kujaribu kutufanya mazuzu.

Nasema umetudanganya watanzania kwa sababu kama kukamatwa kwao kungehusiana na ukosoaji wa bandari, basi kina kardinal Pengo, Prof Anna Tibaijuka, mzee Warioba, Mbowe, mtukanaji Lissu na wengine wengi wangekuwa jela sasa hivi.

Watanzania tunajua kile kilichowasukuma wewe na genge lako muamue kupindisha ukweli. Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna baya" linaloweza kushinda "jema". Mtashindwa na mtadhalilika.

Japo umejaribu kuficha unafiki wako kwa kuunga unga vijistori vya hovyo, lkn uso wako kupitia macho yako na midomo yako vilikuwa inaonesha chuki ya wazi iliyopo ndani ya moyo wako dhidi ya Serikali yetu na raisi wetu.

Inasikitisha sana kuona mtu ambae ungepigania haki na sheria unakimbilia kwenye vyombo vya habari kupindisha sheria kwamba kina Slaa wamekamatwa kwa kukosoa mkataba utafikiri wewe ndio mahakama.

Unachotakiwa kujua kwamba mwanasiasa hana rafiki wa kudumu. Hao unaowatetea kwa uovu wao wa leo, kesho utaporudi kwenye mstari na kusimamia ukweli watakutukana na kukudhalilisha kama wanavyodhalilisha wengine.

Hebu soma maelezo ya Dkt. Slaa hapo pichani, halafu uniambie ni nani aliekuwa anajua kama Dkt. Slaa angekuwa miongoni mwa wanaopanga kumpindua raisi Samia?

Sio siri mama Anna Aloys Henga umejivunjia heshima na umejidhalilisha. I mean umeichafua CV yako kwa sababu ya kuliendekeza tumbo lako.

Kuanzia leo watanzania hatutakuita tena mtetezi wa haki za binadam, bali tutakuita mtetezi wa maadui wa taifa, na wapigania matumbo yao.

Dkt. Slaa mwenyewe ashaonya enzi za Mbowe kwamba dunia nzima hakuna mwananchi anaeweza kusema kwamba fulani ni mhaini au sio mhaini. Sasa wewe Anna unapata wapi ujasiri wa kupinga kuwa Slaa sio mhaini kabla mahakama haijaamua vinginevyo?
Anna anatumiwa na wazungu kusapoti ujinga kwa nchi yetu.
 
Yaani wewe ni zaidi ya mjinga'kichwa chako pekee kimebeba ujinga wa wajinga Mia moja.
Siku mwenyekiti wako akikurudishia akili zako, utajilaumu sana kwa kupoteza muda wako kupigania ugali wa baba wa wenzako.
 
Nasikia wanaandikishwa mashahidi pale Rumumba, ni vyema ukaenda kuwa mmoja wapo ili uwe shahidi mwema wa Taifa.
Rumumba ndo nini?

Wewe hata kuandika haujui alaf unategemea chadema itakupitisha kugombea ubunge kweli 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom