badshah Member Mar 16, 2013 51 32 Jul 7, 2013 #1 Khaa!!! yaani umefungua ili ujue jinsi simba anavyokukula... cha msingi we potezea ukijua hutotamani hata kwenda katika hifadhi ya wanyama.
Khaa!!! yaani umefungua ili ujue jinsi simba anavyokukula... cha msingi we potezea ukijua hutotamani hata kwenda katika hifadhi ya wanyama.
S salum mabura Member Jun 16, 2013 67 5 Jul 8, 2013 #2 Kwahiyo simba anakula watu tofauti na anavyokula swala? Binaadamu anampika kwanza au ana mroast kwa pilipili na chumvi?
Kwahiyo simba anakula watu tofauti na anavyokula swala? Binaadamu anampika kwanza au ana mroast kwa pilipili na chumvi?
badshah Member Mar 16, 2013 51 32 Jul 8, 2013 Thread starter #4 mbuyake said: tuonyeshe unavyoliwa na simba Click to expand... sio mimi wote hata wewe....