Najua humu wengi ni wapenzi wa series au movie toka nje hasa marekani na wakorea, hivi umeshawahi kutokewa na kitu in normal lyf ukadhan ni real then baadae ukaja kukigundua kumbe kilitokea kwenye movie, mi nimetoka kuangalia series inayoitwa person of interest sasa kila nikisikia mlio wa simu ya mezani huwa nafikiria ni new number, yaan victim/perpetrator anaehitaji kusaidiwa na kina finch dah!!