Jinsi Radio Inavyoweza kuingiza kipato

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Wadau,
Watu wengi wamkuwa wakiuliza faida katika biashara ya radio, jibu hili hapa:-

1. Radio hungiza pesa kupitia matangazo. Kwa mikoa kama ya Dodoma, Arusha, Mwanza, shinyanga n.k tangazo moja linalipiwa Tshs 30,000/= kulia mara moja.

2. Kuuza muda wa hewani- kama nilivyosema katika mikoa hiyo saa moja ni Tshs 200,000/= muda wa hewani huo.

3. Udhamini wa vipindi. Makampuni makubwa yanalipa sana, kama vile vodacom, zantel, tigo, airtel n.k Hulipa mpaka Milion 10 kwa mwezi inategemeana na makubaliano. Kuna kampuni kama za JCCP zinalipa mpaka miloni 40 kwa mwaka.

4. Grants- Ukisajili vizuri radio yako. Mfano ukawa na NGO n.k ni rahisi sana kuwa unaomba grants hasa kama ni radio ya jamii. Watu wanapata mpaka grants za dola 100,000/=


Kwa leo nakomea mbinu hizi chahce tu kwanza: Kumbuka tunatoa ushauri wa kitalaamu wa masuala ya radio tuwasiliane kwa : consultancyradio@gmail.com
 
..nimekupata mkuu. Radio Producer..napenda kujua kuwa hilo tangazo la tsh 30,000/= ni la urefu gani?
..maana kwenye redio tangazo linapimwa kwa urefu..yaani( sekunde hadi dakika)...
..kuna Matangazo ya sekunde 15,sekunde 30,sekunde 45 na hadi dakika moja na yote hayo yana Bei yake..hilo moja

..Pili matangazo ya redio ya muda wake tangazo litakalo pigwa saa mbili kasaro 1..si sawa na tangazo linalopigwa saa mbili na dakika kumi..mfano Tangazo linapigwa dakika Moja kabla ya Habari ni bei tofauti na tangazo linalopigwa saa saa mbili na robo..na pia Bei ya Tangazo linategemea na Kipindi na wasikilizaji wa hicho kipindi

...Unaposema Muda wa hewani unamaanisha nini?..AirTime?...ok! hapo nakuelewa kama mtu anataka kufanya promosheni ya bidhaa au brandy yake si ndio..?

..Kuhusu makampuni ya simu au Benk...hayawezi kuingia kwenye kipindi kimoja wote kwa pamoja..unajua kwanini?
..na je redio ikitaka kupata udhamini toka kwao katika kipindi kimoja unafanyaje...na hela unaitaka?

..na hiyo si Redio Tu ..hata kwenye Tv...kuna kitu kinaitwa Prime Time..na Post Time..unaweza kutueleza na hili?

..Ahsante sana
mtu chake
..Media Planner and Buying
 
Last edited by a moderator:
..nimekupata mkuu. Radio Producer..napenda kujua kuwa hilo tangazo la tsh 30,000/= ni la urefu gani?
..maana kwenye redio tangazo linapimwa kwa urefu..yaani( sekunde hadi dakika)...
..kuna Matangazo ya sekunde 15,sekunde 30,sekunde 45 na hadi dakika moja na yote hayo yana Bei yake..hilo moja

..Pili matangazo ya redio ya muda wake tangazo litakalo pigwa saa mbili kasaro 1..si sawa na tangazo linalopigwa saa mbili na dakika kumi..mfano Tangazo linapigwa dakika Moja kabla ya Habari ni bei tofauti na tangazo linalopigwa saa saa mbili na robo..na pia Bei ya Tangazo linategemea na Kipindi na wasikilizaji wa hicho kipindi

...Unaposema Muda wa hewani unamaanisha nini?..AirTime?...ok! hapo nakuelewa kama mtu anataka kufanya promosheni ya bidhaa au brandy yake si ndio..?

..Kuhusu makampuni ya simu au Benk...hayawezi kuingia kwenye kipindi kimoja wote kwa pamoja..unajua kwanini?
..na je redio ikitaka kupata udhamini toka kwao katika kipindi kimoja unafanyaje...na hela unaitaka?

..na hiyo si Redio Tu ..hata kwenye Tv...kuna kitu kinaitwa Prime Time..na Post Time..unaweza kutueleza na hili?

..Ahsante sana
mtu chake
..Media Planner and Buying

Mtu chake,
Tangazo linaendana na muda sana nakubaliana na nawewe na kwa hiyo 30,000.00 always huwa ni matangazo ya dkk 1 lakini kwa bongo hicho kitu kipo chini sana, je unaweza kukataa pesa ya mteja kisa kaleta tangazo lenye 1 minute na sekunde 15 na kakataa kuongeza pesa?

Prime time au hot Time Peak inategemeana na radio yenyewe na siyo saa mbili kasoro tu. Unaweza kwenda radio nyingine unakuta hot peak time ni saa nane mchana had saa tisa. Hii inategemeana na competence ya activities ya watu wa eneo husika. Bei zake huwa zinatofautiana lakini sehemu zingine ukimtofautishia mteja anakukimbia.

Kuhusu artime uko sawa.

Kuhusu haya makampuni utayawekaje kwenye kipindi kimoja? Radio inakuwa na vipindi vingi sana ndugu yangu cha msingi ni kuboresha vipindi vyako basi.

Asante
 
Mtu chake,
Tangazo linaendana na muda sana nakubaliana na nawewe na kwa hiyo 30,000.00 always huwa ni matangazo ya dkk 1 lakini kwa bongo hicho kitu kipo chini sana, je unaweza kukataa pesa ya mteja kisa kaleta tangazo lenye 1 minute na sekunde 15 na kakataa kuongeza pesa?

Prime time au hot Time Peak inategemeana na radio yenyewe na siyo saa mbili kasoro tu. Unaweza kwenda radio nyingine unakuta hot peak time ni saa nane mchana had saa tisa. Hii inategemeana na competence ya activities ya watu wa eneo husika. Bei zake huwa zinatofautiana lakini sehemu zingine ukimtofautishia mteja anakukimbia.

Kuhusu artime uko sawa.

Kuhusu haya makampuni utayawekaje kwenye kipindi kimoja? Radio inakuwa na vipindi vingi sana ndugu yangu cha msingi ni kuboresha vipindi vyako basi.

Asante

...Tuko pamoja...ila kuhusu makampuni kuweka pamoja katika kipindi ..inawezekana tena sana...kuwa na vipindi vingi sio Tija...unaweza kupanga vipindi vichache ila muda ukawa mrefu...Mfano PB.Power BreakFast..ni zaidi ya masaa matano..

na kwa njia hiyo unaweza kuwaweka wadhamini wote kwenye Kipindi kimoja..kwa kuweka SEGMENT ..mfano peruzi magazeti na Vodacom/crdb..akawa kadhamini kwa dakika 15...kisha ukawa na SEGMENT..kutoka mitandaoni..ukawa na mdhamini Tigo/Banc ABC.....kuna vitu vingi sana katika media Planning mkuu

Ahsante..
 
Back
Top Bottom