CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Nadhani sasa hashycool anajionea mwenyeweeeeee jinsi NILHAM alivyo mrembo kuliko HAPA JF. .
Mtoto hana papara, bali ameupara
Wenye kuchachawa, wataishiwa kunawa
Kampata wake wa kumfaa, sasa anakura raha
Usoni ameng'aa, kwa urembo aliopewa na Allah
Mtoto kweli umetulia, kwenye ndoa wafaa
Mimi sio kwamba namtaka, ila naeleza ukweli wanajukwaa
Msimletee balaa, bali mpeni heshima yenye staha
Mwangalieni kwa Avatar, macho yalivyo tulia
Akianza kuyarembua, utafikiri anakuita
Hakika aliyemuoa ana raha, nyumba ndogo hazitamfaa
Msimkwaze akajikwaa, msimseme kwa mabalaa
Hana pesa za kuhonga, kama mbunge wa Igunga
Husikia ukimwambia, atakupenda ukimpenda
Hana mambo ya kijinga, ni mdada aliyenoga
Nahitimisha kwa kusema, tutaendelea kukupenda
Originally bY CPU
Mtoto hana papara, bali ameupara
Wenye kuchachawa, wataishiwa kunawa
Kampata wake wa kumfaa, sasa anakura raha
Usoni ameng'aa, kwa urembo aliopewa na Allah
Mtoto kweli umetulia, kwenye ndoa wafaa
Mimi sio kwamba namtaka, ila naeleza ukweli wanajukwaa
Msimletee balaa, bali mpeni heshima yenye staha
Mwangalieni kwa Avatar, macho yalivyo tulia
Akianza kuyarembua, utafikiri anakuita
Hakika aliyemuoa ana raha, nyumba ndogo hazitamfaa
Msimkwaze akajikwaa, msimseme kwa mabalaa
Hana pesa za kuhonga, kama mbunge wa Igunga
Husikia ukimwambia, atakupenda ukimpenda
Hana mambo ya kijinga, ni mdada aliyenoga
Nahitimisha kwa kusema, tutaendelea kukupenda
Originally bY CPU