Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 519
- 240
Kama kweli ndivyo alivyo basi mungu kamuumba, isije kuwa kama maneno ya Marehemu Matona alisema hivi, " kina mama mama zetu na maarifa wanayo, ukimiona kwa mbali dodo zilivyosimama, akiwa karibu nawe kizee cha miaka mia" mwisho wa kunukuu:roll::roll::roll::roll:
'
'
'
'