Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Mkuu pole sana tena sana.
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.
Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.
Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.
Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.
Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.
Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.
Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.[/QUOTE]
Pole sana mkuu,lkn hapo kny red nimecheka sana! is gud alert anyway
Siendelei tena kusoma hii thread inanivunja mbavu, halafu nikiangalia na avatar yako huhuh!!:becky::becky:Hawa mende wetu wanatabia mbaya sana. Kila dakika leo naenda wash room kucheki isikute leo kuna katoto ka mende jana ilikuwa mama yao
hahaha hahaha heheheeh ops! Kikohozi!!!!!Sasa akiipulizia hiyo kitu kwenye baioloji afu akakuletea MIC uitumie si utaRIP?
Hii kali. huo mkono anapaswa kuuosha na maji baada ya kuchanganya au mswano tu kwa kuwa dawa inaua mende pekee.Pole sana nenda katafute dawa inaitwa BORIC ACID halafu chukua kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na unga au kiini cha yai la kuchemsha changanya na mkono tu halafu nyunyuzia ofisini kwako kila kona usiitowe hiyo dawa baada ya siku 2 ama 3 hutoona tena mende ofisini kwako
teh teh teh, mkuu ungekuwa umepiga hiyo kitu walah usingebabaika kivile. lakini pole sana.Mtani umenichekesha sana...eti sivai kofuli...ngoja siku yatakukuta .....
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.
Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.
Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.
Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.
Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.
Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.
Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
Inaelekea ofisi yenu ni kubwa tu yenye shughuli kibao ambazo ni full mafaili na makaratasi---- hebu punguzeni matumizi ya paper work na mafaili katika karne hii ya IT---- get ur work computerised banaa ili mupunguze hiyo mifaili!
mkuu mende sooo hata ughaibuni wapo tena kwa kasi ya ajabu..
Uache tabia yako ya kuweka karanga, korosho na vyakula kwenye mifuko yako ya sarawili!
pole kijana!:confused2:Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
Kha! Hapa naona usanii umepitiliza mipaka... lol ...Kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kuwa alikosa sabuni ya kupiga BESHENI akamchukua mende akamweka kwenye mfuko wa nylon kisha akaingiza bamboo yake humo. ile shughuli ya mende kuzurura kutaka kutoka ilimpelekea jamaa kurelease misuli yake swaaaafi.
hahaha hahaha heheheeh ops! Kikohozi!!!!!
Hii kali. huo mkono anapaswa kuuosha na maji baada ya kuchanganya au mswano tu kwa kuwa dawa inaua mende pekee.
Mkuu Msanii! hiyo dawa hainamadhara kwa binadamu ukimaliza kuchanganya na kuinyunyuzia unanawa mikona kwa sabuni unaendelea na shughuli nyingine, hata ukichanganyia kwenye sahani ukimaliza unaosha sahani yako kwa sabuni unaweka msosi unaendela kama kawa