Jinsi mende alivyotaka kunitoa uhai

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.

Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.

Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.

Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
 
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.

Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.

Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.

Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.

pole sana mzee ni vema ukawa unatumia dawa ya mbu ya kuspry kama doom au rungu badala ya kujipulizia parfume.
 
Pole sana mzee.
Lakini pia Daraja la Salenda lina mauzauza yake.
Si ndio hapohapo watu wanapoota manyoya?
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.

Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.

Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.

Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
 
Pole maskini, dah najaribu kuvuta picha haiji...
Hiyo ofisi yenu nayo balaa
 
Hiyo ni ofisi ya serikali au binafsi? Nahisi ni ya serikali japo sina uhakika.
 
Pole sana ndugu, tatizo la office zetu nyingi ni chafu sana, utakuta boss kachukua sofa iliyochakaa nyumbani na kuileta officen basi hapo ndipo kasheshe linaanzia mende kunguni hadi panya wanakuwa wanajiifadhi uko bila wasi wasi na isitoshe hakuna mtu wakufanya usafi yaani ni hatari tupu....

Hizi office za waindi taaabu tupu.
 
Mshikaji, unatuchek tu watu wa sumbawanga wakati na nyie wa mjini mnaamini ushirikina.
Hapo salenda lazima pana zindiko kali sana.
pole sana mzee.
Lakini pia daraja la salenda lina mauzauza yake.
Si ndio hapohapo watu wanapoota manyoya?
 
Kuna jamaangu mmoja akiona mende tu, basi ni balaa...anatapika hujawahi ona!
Mkuu, pole sana, maana hapo ungeweza kupata accident mbaya sana!
 
Hahahaha mzee mende aliingiaje kunako?
Ukifika job huwa unavua suruali kwanza ndo unaanza kazi?
Dah pole mkuu hahahaha bora ulikuwa alone ungekuwa na wife angekuelewa vingine angejua umetoka kumega
 
Haya maofisi yetu yamezeeka sana na kutokana na watu kulipwa mshahara mdogo wanakuja na vyakula vyao kama mihogo ya kuchemsha na mikate kama mlo wa mchana/lunch ikimwagika ofisini inasababisha mende kupata mlo na kuzaliana zaidi. Poverty is very expensive
 
Mkuu, pole sana. Lakini nakushauri wahi kwa Dr Sheikh yahya Hussein ukapate maneno maana huyo mende si bure, lazima alitumwa huyo... yaani maeneo yote ya kukaa yeye anakimbilia huko! Si bure
 
Wakuu sio kitu ya utani ni kweli kabisa, tena katika ofisi nyingi za serikali ni mambo ya kawaida kabisa..

Hata panya wapo tuu katika hizi ofisi !!!!
 
pole sana mzee ni vema ukawa unatumia dawa ya mbu ya kuspry kama doom au rungu badala ya kujipulizia parfume.

bila kusahau
panadol or aspirin kwa maumivu baada ya kumuondoa mende .pole sana ni la kawaida sema tu akukutaarifu anakupitia leo
 
Wandugu uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana na cha kulindwa kwa sababu sisi wanadamu tuko so fragile dakika moja tu mtu anakuwa sio hai tena. Katika ofisi nayofanya kazi ina mende wengi kupita maelezo famigation inafanyika kila mwezi lakini baada ya siku wanaibuka tena.

Jana wakati narejea nyumbani kuilaki familia yangu ambayo haijaniona tangu kukuche nilipatwa na kisa cha ajabu sana. Nikiwa kwenye mataa ya salender bridge nilisikia muwasho maeneo ya paja la kulia, sikushtuka sana baada ya dakika chache nikasikia kitu chenye kama kinatoboa maeneo ya bailolojia nilishutuka sana kutokana na eneo lenyewe lilivyo nyeti badala ya kushika break nikakanyaga mafuta zaidi na kuacha njia. Sikuumia ila ule mshtuko ulikuwa mkubwa moyoni.

Watu waliokuja na polisi waliishia kutabasamu na kucheka kwa sababu walinikuta nimeng'ang'ania bailojia kwa mikono miwili huku jasho linanitoka. Kwa kifupi ndio hivyo nikafanikiwa kumtoa mende alikuwa mkubwa sn. Kama kulikuwa na bonde kubwa pale nilikopata ile thoruba ningezama kwenye bonde au mto na mngesikia ndg yenu nipo MOI.

Kwa wale wanaoishi ofisi kama yangu kabla ya kutoka ofisini ingia rest room toa suruale kung'uta kwa nguvu zote kujiweka salama. Au funga suruale kwa chini na rababendi ili wadudu wasipenyeze.
dalili ya kwanza ni kwamba huvai chupi wewe,
ishu ya pili ni kwamba hizo furmigation ni gelesha tu kwani wanakuja na povu la sabuni na wanaweka dawa kiduchu kiasi cha kuwalevya wadudu ionekane wanahangaikia kifo lakini hakuna kitu.

Ishu ya tatu ni kwamba next time hakikisha umefunga seat-belt while you drive. huwezi jua kuwa nilikuona unavyohangaika na kuparamia kale kamsingi. pole sana
 
dalili ya kwanza ni kwamba huvai chupi wewe,
ishu ya pili ni kwamba hizo furmigation ni gelesha tu kwani wanakuja na povu la sabuni na wanaweka dawa kiduchu kiasi cha kuwalevya wadudu ionekane wanahangaikia kifo lakini hakuna kitu.

Ishu ya tatu ni kwamba next time hakikisha umefunga seat-belt while you drive. huwezi jua kuwa nilikuona unavyohangaika na kuparamia kale kamsingi. pole sana

Mtani umenichekesha sana...eti sivai kofuli...ngoja siku yatakukuta .....
 
Back
Top Bottom