Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 67
- 86
HABARI ZA MUDA HUU WANA JUKWAA,Natumai ni wazima waafya ,lengo la kuandika uzi huu ni kutaka kujua jinsi ya kupiga pesa nyingi ikiwa kama ni MENEJA MKUU wa KARASHA(Crusher) la kusaga mawe yaliyo na dhahabu pia ningependa kujua kama ni mmiliki wa karasha kuna changamoto gani na pia faida inapatikana kweli?. Nimetaka kujua coz Mzee ameniambia nikasimamie karasha kwenye mgodi uliopo kahama mpakan na nzega..