Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Asingeweza kufanya hivyo wakati yupo kibaruani alikuwa kwenye system. Alikuwa anamtumikia kafiri ili apate mradi wake baada kuondoka hana cha kupoteza tenaAhsante Mkuu kwa kutupa taarifa. Kumbe nilikuwa sahihi kutojiunga kwenye promosheni zao. Ila Mkuu umelea tatizo muda mrefu. Ungetutonya mapema. Miaka kumi mingi sana watanzania tumeumizwa.