Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,630
- 16,420
😂 😂Idk ata
Hiyo signature yako imenifanya niwaze labda wamemdaka tena mzee max..
😂 😂Idk ata
Ingia kune rtnship ingine, trust me utamsahauMwaka sasa
Nilishawahi kupitia hiyo hali. Acha kabisa.Ni kweli dear kiuhalisia ni ngumu mno kutokana na mazoea na good moments you had together
dunia haitaki unyonge hii, hata ukijiliza liza nobody cares!mtu analeta msala kwenye msala ...
Dah mkuu we ni mbabe sana!dunia haitaki unyonge hii, hata ukijiliza liza nobody cares!
Hii si bangi mbichi na kavu hii, ndiyo ilikusaidia kumove on mkuu? Mimi hapana siwezi tumia hii🙌
Kweli.. financial services anatakiwa ajue, kila mmoja hukubali kumuacha mtu fulani ambaye kweli alimpenda. Zinakufa nguruwe itakuwa mapenzi!!Kwa sisi waschana ni chap tu mana tunatongozwa daily...
Yaani sawa dear 👏Ingia kune rtnship ingine,trust me utamsahau
Thank you dear MahondawAs time goes,,utamsahau tu.
First of all, build a bridge between you two.Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu😪😪
walaaaa, majanga yakizidi kimo mioyo huota kutu.. Mi nipo simple sana best...Dah mkuu we ni mbabe sana!
The hardest stage of moving on is not to forget someone but learning to live without them.Mwaka sasa
Ahsante mkuu naombea yakukute pia inaumiza sana, try to settle down your issues msifikie breakupPole sana mkuu,binafsi sijawahi kukumbana na hiyo changamoto japo napitia wakati mgumu na mpenzi wangu...
Busara isipotumika huenda yakanifika yaliyokufika....maana huyu mtoto wa kichaga nampenda kupita maelezo.
I second u...,dunia haitaki unyonge hii, hata ukijiliza liza nobody cares!