Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Haiondoi ukweli kuwa jiwe alikuwa katiliMbowe hakuwa Afrika ya kusini, alikuwa dubai kwa ishu zake na alikwenda mpaka Ubelgiji, alidanganya mahakama kuwa alikuwa South Afrika.wakati sio.
Haiondoi ukweli kuwa jiwe alikuwa katiliMbowe hakuwa Afrika ya kusini, alikuwa dubai kwa ishu zake na alikwenda mpaka Ubelgiji, alidanganya mahakama kuwa alikuwa South Afrika.wakati sio.
Mnafiki alishahukumiwa tayariMbowe ni mnafiki na wakala wa wazungu anatafuta huruma ya mama Samia ili dili lake alilokula 10% kwa kuleta chanjo Tanzania.
Kwa nini hakuyasema kipindi Magufuli yupo?
Lissu akisema kweliSi Mbowe peke yake aliodhalilishwa na kudhulumiwa hivi.
Ni muhimu uchunguzi, hatua na fidia stahiki zikahusika hapa.
Haujawahi kutokea hapa nchini aiseeMbowe kasema aliwakuongea na Jpm kuhusu hilo la kukwapuliwa pesa na kubambikiziwa kodi with all in vain.
Itoshe tu kusema mzee baba alikuwa anafurahia wenzake wakiteseka.
Kismati cha kuitoa Chadema kutoka wabunge 100+ walioachwa na Dr Slaa hadi kubaki mbunge mmoja Joyce Mkuya??..Mungu kapiga penyewe haswaa! Ndiyo maana hata TANZIA nimeacha kuripoti maana yameshatimia!
Yani nipo likizo ya furaha!
Mbowe kajitoa mhangaAfadhali mbowe kaongea,wapo wengi Wana ugulia maumivu na pressure wamepata
Ndiyo katoka kwao koromitjeJoined 29 March 2021
Halafu wanakuja watu etii sio vizuri kumsema marehemu!!kwa unyama huu, wa kishetani ambao umeandika historia ktk nchi yetu .Aisee Mungu amchome na gesi Marehemu au ikibidi umeme. Huu ni zaidi ya ushetani.
Binasfi nakataa kwani tuliaminishwa mambo ya uonevu, nidhamu ya watumishi na mengineyo yaliboreshwa , ndio maana naamini ilikuwa njia ya kuvuna mapato manene na adhabu wa wenye mawazo mbadala, kama njia kuwataka waunge juhudi.Uchunguzi ufanyike
Inawezekana hata Magufuli hakuwa na details
Za yote yaliyo endelea chini yake
Wewe mlamba matako ya jiweKismati cha kuitoa Chadema kutoka wabunge 100+ walioachwa na Dr Slaa hadi kubaki mbunge mmoja Joyce Mkuya??..
Hovyo kabisa kwa walamba viatu vya Mboe
Yes, you are right...Uchunguzi ufanyike
Inawezekana hata Magufuli hakuwa na details
Za yote yaliyo endelea chini yake
Rais Samia aliagiza waliofungiwa akaunti na TRA wafunguliwe. Jumanne 06 April 2021, TRA wakafungua akaunti zote za Mbowe, lakini hazina kitu. Kwenye akunti yake binafsi wamekomba zaidi ya 528M ambazo ni malimbikizo ya mshahara na kiinua mgongo chake cha ubunge. TRA wamekomba pia mamilioni ya shilingi kwenye akaunti za kampuni zake. Tayari Mbowe amemjulisha Mhe.Rais Samia kuhusu uharamia huo wa TRA
inawezekana kweli alikua hajui hayo, lakini the fact kuwa hakutaka transparency , hakuna namna anaweza epuka lawama .Uchunguzi ufanyike
Inawezekana hata Magufuli hakuwa na details
Za yote yaliyo endelea chini yake
Machinga katika ubora wakoKismati cha kuitoa Chadema kutoka wabunge 100+ walioachwa na Dr Slaa hadi kubaki mbunge mmoja Joyce Mkuya??..
Hovyo kabisa kwa walamba viatu vya Mboe
Huyu vice president alitaka kujiuzulu 2016 wazee wakamshauri aache .alikuwa hakubaliani na ushenzii wa mwendazakeKwa kweli Magufuli alikuwa anatupeleka shimoni. Na huu uharamia ulifanywa ndani ya ofisi ya mtu ambaye ni Vice President sasa...