Achana nayo tu sie tunafurahia hizo ratiba.HADITI IMEISHA , hamuona mnasoma tu mwendelezo usio na content za haduithi zaidi ya mtu kueleza ratiba yake ya siku kuanzia asbh mpok anaingia kulala!
Mnalazimisha aendelee kusimulia tuuuuu. aweke tuuu!
Ilishafika climax and resolution hii story.
no inashindwa kutembea!
Sidhani kama kuna kitu kipya tutapata kuzid vya nyuma mana tnalazimisha stor sasa tunapewa ratba zake za siku.
Sidhani kama kuna kitu kipya tutapata kuzid vya nyuma mana tnalazimisha stor sasa tunapewa ratba zake za siku
Tunangoja next chapterSidhani kama kuna kitu kipya tutapata kuzid vya nyuma mana tnalazimisha stor sasa tunapewa ratba zake za siku.
Send me emailTuma mkuu ,Kuna mwalimu wangu wa account anahitaji hilo swali...
Utaiona huko pm..Send me email
Hahaha noma sanainategemea ni mtu wa type gani kama ni mtu yule anae mfatilia mwanaume kila hatua na wivu juuu hapo lazima pachimbike na anaweza kuachia ngazi labda INSIDER MAN na iryn wafanye kummpooza na tako la nyani au duallis kisha apewe taarifa kwamba ndoa yake itakuwa ya mitara 😂
Nikikumbukaga ile ya kwako safari ya lindi ilikuwa blockbusterEpisode za nini Umekuwa game of thrones we shusha nondo wasomaje ndio tuamue tunapumzikia wapi?
Inategemea na hao wataalamu wamefanyaje hiyo operation lakini kiukweli ukichezea vizu huna tena uzima ndugu yangu, omba yasikukute wengine wamepata vilema vya maisha Kwa hizo operationsSiku hizi hakuna shida mambo yamebadilika mtu anajifungua visu 4 mwilini na bado atashika jembe atalima
Unachanganya mambo mkuu yule ni mpwayangu village mimi Ukanda huo mwisho wangu ni mbagalaNikikumbukaga ile ya kwako safari ya lindi ilikuwa blockbuster