ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 816
- 996
Ohh good newsIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish
Mtoto wa tatu kwa mke yupi mmoja wapoIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish
Saa ngapi mwendelezo?Ijumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish
Ni hadithi tu yenye mwandishi mzuri anaejua kuutunga UONGOMzee katishaa sanaa na kaufaidi huu mji sio masikharaa.
Maana ruti zake ni kukatia kijitonyama na bagamoyo road upande wa chinii yaani kifupi ruti yake mbovu ni ile ya Mbagala na kule kisarawe
Kwanza kala sanaa kwa watu huyu jamaaa, plus ni mzee wa lunch na dinna za pamoja hop uko na kitambi now.
Afu kapokea sanaa bahasha za kaki yani ela ndogo kupokea ilikua ni ile 300k toka kwa prisca.
Huna bayaa mzee yani kila mtu anakukubalii hadi pepo za kusii, na hajaai kua na customer wa kiume zaidi ya Manuel na Mzee Pama.
Anyways(atakua kachakata sanaa mbususu) za watoto wakali kulikoni alivoandika . Mzee Chukua lori la Maua🪷
Njia ya muongo hua fupi we ulitegemea nini lazima atulie aendelee kukutungia UONGO,Mbona kimya
Kimya kufanyaje umepiga mswaki?Bado kimya humu?
Duuh mzee tayari una chuma 3.Ijumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish 🙏
43 mbona mdogo SanaDuuh mzee tayari una chuma 3.
Kuna mdogo wangu nae chap chap ana chuma 2.
Mimi braza ake niko apeche hata wa kusingiziwa sina, age 43.
Yaah ni kweli mkuu, nimeanza maisha nikiwa na 41 tu hapo.43 mbona mdogo Sana
Ni hadithi tu yenye mwandishi mzuri anaejua kuutunga UONGO
Nitunge UONGO alafu ukusaidie nini mwambieni aweke picha za matukio yote aliyosimulia km ataweka hata picha moja nipigwe ban sana sana ataenda kwa wadau wa airport pale kuwapiga Jambo ambalo hata wewe unaweza kufanyaJaribu na wewe kukutungia uongo
Hata akiweka picha napo hutaaminiNitunge UONGO alafu ukusaidie nini mwambieni aweke picha za matukio yote aliyosimulia km ataweka hata picha moja nipigwe ban sana sana ataenda kwa wadau wa airport pale kuwapiga Jambo ambalo hata wewe unaweza kufanya