Master WAPEKEYE
Senior Member
- May 15, 2023
- 145
- 465
Mzee pama HUYU HAPA
Haya ukapata mwenye maokoto zaid utaenda na mwingine utaenda utaacha wangapi kuwa mtumwa wa pesa pesa hazijawahi kutosha utachoka uje zikwa na kilo moja unusuLkn pia maokoto yapo Sana mm napenda lengo la jamaa siyo pisi ile Ni ile maokoto anayopata kwa mrembo yule na Soon atanunuliwa gari
Hata mm mke namuacha kwa muda nifannye maokoto ya kutosha
Ndugu zangu maisha siyo mepesi Kama mnavyofikiria eti jamaa Hana msimamo ,msimamo mbele ya maokoto acheni hzo wazee
FyaòmfGtfo
Nyie ndo magreat thinker sasa unaandika kitu kinasomeka kinaeleweka mkuuInsider amefanikiwa kitu kimoja kwa wafuatiliaji wa hii story yake. Kwa namna alivyomuelezea na kumsifia huyu Iryn, amefanya kila mmoja ajenge taswira na awe na "Iryn" wake kichwani". Ndiyo maana unaona picha mbalimbali za "kina Iryn" zikiwekwa humu maana hao wanaoweka hizi picha, huyo ndiyo Iryn wa vichwani mwao. Picha zingine mpaka mtu unazishangaa, lakini ndo hivyo tena mwngine ndiyo anaona ni bonge la demu, yaani pisi kali.
Yawezekana kabisa huyu Iryn wa Insider (ukizingatia aliwahi kukiri kuchelewa kuanza ama kuwajua wanawake) akawa ni mwanamke wa kawaida sana sana machoni pa wanaume wengi humu. Hii ni kwa sababu beauty is in the eyes of beholder.... Yes, "uzuri" ni relative, unayemwona wewe mzuri saaaana, wengine watamwona wa kawaida na wengine huenda wakamwona hakuna kitu kabisa. Ndiyo maana siku akiweka picha yake hapa, wapo ambao wataishia hapo hapo kufuatilia hii hadithi nzuri ya kusisimua.
Mimi kura zinaenda kwa Mary, kwa jinsi ulivyomuelezea(hata kama kwa uchache, Lakini nimependa mambo yake).Who is your favorite character in the story? So far and why?
I'm glad tuko wengi Insider awe makini asije akapoteza alichokijenga kwa muda mrefu kwasababu ya utamu wa Iryn. It's enough now!kwakweli hata mm nilikua sijui kama namkubali mama j hivi
Kabisa. Hivi napambania goli nipate mhabeshi mmoja wa kuringia mitaaniWaabeshi ni wazuri by nature,
Mama ni muabeshi + Baba ni Mzungu unafikiri mtoto atakuwaje?
Hiyo combination ni hatari ogopa sana waabeshi ni wazuri sana asee, mwaka 2021 nilikwenda Ethiopia kikazi, nilipagawa sana. Hawa watu ni wazuri sana wamebarikiwa by nature,
wapi shimba ya bunyenze
Broh adjeee aseeh.....Insider na iren wakiwa ZanzibarView attachment 2790414
Hutak wabongo wenzioKabisa. Hivi napambania goli nipate mhabeshi mmoja wa kuringia mitaani
Kabisa. Hivi napambania goli nipate mhabeshi mmoja wa kuringia mitaani
Broh adjeee aseeh.....