Imeenda iringa mara moja mkuu.66 iko wap wadau.!!??
1.Mary ....kwasababu amepevuka kuliko mdogo wake anajua kucheza kwa step,anajiheshimu na sio mlazimisha mambo ..
2.Iryn .... kwasababu amekupatia heshima sehemu mbalimbali mnapokuwa wote,anaendeleza misingi ya mama yake (Kusaidia wahitaji, biashara n.k),amekuboost maishani umejua mengi na hajikwezi (yuko normal)
3.Mama Janeth.....Ni mama mlezi wa iryn muaminifu , charming na hajikwezi......but pia yuko systematic na open katika mambo yake...
4.Familia yako(Baba,Mama na Mama Jr).....Japo hawajazunguzwa Sana ila kwa nafasi yake Mungu amewatumia kama njia kufika hapa ulipo....
5.Insider Man.....ww ndoo kama funga kazi kwanza nikupe kongole kwa kuleta uzi wako hapa JF umewekeza rasilimali muda,akili na gharama zingine story kutufikia .....Pia story yako imekuwa chachu ya baadhi ya watu wanaokata tamaa waongeze juhudi katika yale wanayoyafanya kupitia njia ya kufanya kazi kwa bidii na kuwa waaminifu (Uaminifu unalipa )
66 iko wap wadau.!!??
Insider man akiwa na mtoto iryn south Africa View attachment 2787634
Mzee baba vipi tulale tulinde ndoa au tusubiri?
Vipi kaka leo tusubiri auKama umemaliza kusoma EP65 nimeweka link ya kwenda next Ep,
My favorite character in the story ni Junior yaani yeye Jr. nimemfananisha na chaliii yangu sana japo daaah big story, i lost my son like Jr same days same age to Jr kila nikifika kwa story ya Jr lazima nilie...😭😭😭😫😫😫Who is your favorite character in the story? So far and why?
Vipi kaka leo tusubiri au
Mzee wa nukta 😅😅😅😅Nukta
Halafu inside mapenzi hayo ya Irene huwa nayependa ulaya ndio wako ivyo yaani mate kila mahala hata kwa daladala ,supamaketi. Ila ulizingua Ile kumcheki privacy zake mpaka dm za social networks. Ukipata demu mzungu ukifanya ivyo ndio utajua na una bahati angekuwekea mtego akakunasa ungekula ban mazima. Yaani kumuoa ama kuolewa sio kuwa ndio unammiliki mpaka anachopenda ama Uhuru. Yaani afrika wanajua mpenzi wako Ni mtumwa wako. Ile Ni just agreement ya wawili kuishi pamoja
Dah INSiDER MAN kaitaja Gran Meliá kanikumbusha mbali, once nililala Meliá Arusha ,hizo hotel ni balaa buffet ,rooms kila kitu automated ,lights ,shower ,TV ni balaa. I still dream about the hotel