Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 66
BY INSIDER MAN

PREVIOUS
Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

CONTINUE …

Nilimfungulia mlango nikamkaribisha na akaingia ndani,

MIMI: “Welcome mummy, ulikuwa bado hujalala tu.?”

IRYN: “Sina usingizi hapa.”

MIMI: “Pole hata mimi sina usingizi nachezea laptop.”

Na mimi nilikwenda kwenye coach kuendelea na kazi zangu na yeye alilala pale kitandani huku macho yake yote ameelekeza kwangu.

IRYN: “Insider unafanya nini?”

MIMI: “Naandika mkataba wa nyumba.”

IRYN: “Njoo tulale bhasi, utaandika kesho.”

MIMI: “Mimi nitalala hapahapa kwenye Coach wewe lala hapo kitandani.”

IRYN: “Bhasi nakuja hapo tulale wote kama hutaki kuja kitandani.”

Na mimi nilifunga laptop yangu nikapanda kitandani, baada ya hapo tuliendelea kupiga story pale ofcourse muda huu tulikuwa ndani ya blanket na tulikuwa tumegeukiana tuko very close. Nilishangaa kuona mkono wake ukipenyeza boxer yangu na akaukamata mtwangio wangu na alikuwa anachezea kichwa cha mtwangio. Iryn ana asili ya kuwa na joto sana, sasa lile joto la mkono wake lilikuwa linafanya nasisimka sana huku nasikia raha, nilikuwa nahisi Dunia yote yangu.

Na mimi sikutaka kuwa mzembe nilianza kumchezea na kuzinyonya boobs zake kwa ufundi na romance zikaendelea pale kitandani. Muda huu pia nilipitisha mkono wangu taratibu ili kutalii serengeti yake na ilioneka kulowa sana, na nikajua huyu toka muda alikuwa ana upwiru ila alikuwa analeta maringo na kilichomleta kwangu ni sex* wala sio kingine.

Ndani ya muda mfupi alikaa juu yangu na akaukalia mtwangio na akaanza kuukatikia na mimi nilimuacha aendelee na hili zoezi mpaka atakavyochoka yeye. Baadae nilimgeuza nikamuweka Doggy na muda huu nilikuwa naenjoy sana kuyachezea makalio yake laini, ilikuwa ni match ndefu na iliisha kwa sare kwa kila mmoja kupiga bao za kutosha na tulilala huku tumekumbatiana.

Asubuhi niliamka mapema sana na Iryn alikuwa bado kalala hivyo ilibidi nijiandae haraka ili niendeee kusikilizia milio kutoka kwa Mzee Mollel maana alisema akitoka church anatanijulisha ili tukaonane. Pia muda huu nilikuwa nawaza zawadi ya kumpa mzee Mollel kwa kazi aliyoifanya, kumbuka alikuwa anajitolea na alinisaidia sana, hivyo sikuwa na budi kumpa Ahsante yangu. Kwa upande wangu nilikuwa na laki 6 kama balance tu na nilitamani angalau nimpe ka million na pia bado alikuwa ananidai kama laki 7 kuna pervings zilipwelea akatoa pesa yake mfukoni, niliwaza pale napataje hela na wazo likanijia nimwombe Iryn.

Muda huu Iryn alikuwa ameamka tayari na nilisikia akiniita pale,

IRYN: “Darling unakwenda wapi this morning.?”

MIMI: “Kuna mzee wangu aliyenisaidia kusimamia ujenzi ndo nakwenda onana naye.”

IRYN: “Naomba twende wote bhasi.”

Na mimi ilibidi nikae kitandani muda huu,

MIMI: “No swirry huyu Mzee ni rafiki wa baba yangu kwenda na wewe anaweza kuhisi vibaya na haitaleta picha nzuri, isitoshe anamjua wife na tunakwenda kuonana kule site ili anikabidhi nyumba.”

IRYN: “Sawa babe promise me you don’t be late.”

MIMI: “I promise mummy, pia ninashida ya fedha kidogo kama utaweza nisaidia.”

IRYN: “Unataka kwaajili ya nini.?”

MIMI: “Nataka kumpa mzee kama Ahsante ya kazi aliyoifanya maana amefanya kazi kubwa sana.”

Iryn aliniambia niende room yake nikachukue ATM card ipo kwenye bag na alisema nitoe kiasi cha pesa ambacho naona kitatosha na alinitajia na code za card. Kwa upande wangu sikuamini kama ningepewa card nikajisevie mwenyewe kwa ATM na hii ilikuwa mara yangu ya kwanza namwomba Iryn Pesa.

Tulijadili suala la kuondoka Dodoma na tuliona turudi Dar jumanne ili kesho ambayo ni Jumatatu tutafute sehemu nzuri ya nje ya mji ili twende tukatembee. Tulikwenda kupata breakfast ile asubuhi na pia alitoa maelezo pale reception ya kuongezewa muda mpaka jumanne na aliomba vitu vyake vyote vipelekwe room yangu, maana yake hapo tunalala pamoja. Hata dada pale reception alikuwa anashangaa ni kama alikuwa haamini kusikia maneno ya Iryn ni kama alipatwa na wivu.

Baada ya kupata breakfast tulirudi room na mida ya saa 4 Mzee Mollel alinipigia simu kunipa taarifa ametoka church hivyo tuonane kulekule site. Nilimwaga Iryn na nilipitia kwa wakala kutoa pesa na nilikuwa nawaza nitoe kiasi gani cha pesa maana nilipewa uhuru, na mimi nilitoa million 3 tu. Baada ya kuchukua risiti balance ilokuwa inaonekana pale ni balaa ilibidi niangalie vizuri tena, niliona kama nimekosea kuangalia. Account yake ilikuwa na pesa kibao na yeye anasemaga ile local account ni kwaajili ya pesa za matumizi tu, nilijisemea kuna watu wanahela maana Account ilikuwa inasoma 9 digits.

Ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale site na nilimkuta Mzee Mollel amewasili tayari, tulisalimiana na akaanza kunitembeza maeneo ya nyumba. Kwa upande wangu nilimshukuru sana kwa kazi aliyoifanya na nilimkabidhi bahasha na nilikuwa nimeweka jumla ya million 2 pamoja na deni lake.

Muda huu pia nilimpigia video call wife na yeye alikuwa na shauku sana ya kuona maendeleo ya miti na maua yake. Baada ya kuona maendeleo ni mazuri aliishia kufurahi na akanambia weekend ijayo atarudi Dar pia amenimiss sana.

Tuliongea mambo mengi sana na Mzee Mollel pia alinipa namba ya Dalali wa kumtumia kwaajili ya kunitafutia wapangaji na alinikabidhi hati ya plot yangu ya kule Iyumbu. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliagana maana alisema ana majukumu mengine ya kufanya.

Mzee Mollel aliondoka akiwa ameniacha pale site na mimi niliamua kumpigia simu Aggy ili tuonane lakini alinambia yuko busy sana hivyo tufanye baadae. Pia Niliwasiliana na Maggy na nilimpa taarifa za kukamilika kwa nyumba kwa upande wake alifurahi sana na akanambia yeye atakuwa wakwanza kuingia na tulikubalina tutaonana badae.

Ilikuwa ni mchana tayari hivyo niliwasiliana na Iryn ajiandae kwani soon nitampitia ili tukapate lunch na mimi sikuchukua muda mrefu kuwasili pale hotelini na tukaenda Chako ni chako. Baada ya kuwasili tuliagiza kuku choma mzima kwa upande wangu niliagiza ugali na yeye aliagiza chips.

Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi hotelini na mimi niliingia kuoga then baada ya hapo tulitoka kwenda garden kupoteza muda na tulikaa karibu na swimming.

Maongezi yetu makubwa yalikuwa kuhusu suala lake la kwenda shule na alisema anataka kuwa karibu na baba yake mzazi, pia alinambia kuna uwezekano mkubwa wa mama Janeth kwenda HQ kwaajili ya masula ya vita ya Russia-Ukraine. Ofcourse tuliongea mambo mengi sana ya maisha na biashara na giza lilipoanza kuingia tulirudi room kujiandaa kwenda kupata dinna.

Muda huu nilifanya mawasiliano na Dalali ili anitafutie mtu mmoja wa kuhamia pale site na nilimwambia namba nimepewa na Mzee Mollel. Nilimuelekeza nyumba ilivyo na akasema itapendeza sana kama atakwenda kuiona na mimi nikamwambia kesho asubuhi tutaonana kwaajili ya hili suala.

Baada ya kuongea na Dalali, Aggy naye alinipigia simu na akanambia jioni tuonane kwaajili ya dinna na nikamwambia tuonane pale Golden fork, pia nikakumbuka kumpa taarifa na Maggy ili tukutane hapo.

Iryn alikuwa amelala kitandani hivyo nilimgeukia na tukaanza kuongea,

MIMI: “Mummy badae tutakwenda kupata dinna Golden folk na nitakuwa na ndugu zangu.”

IRYN: “Sawa haina shida ila kesho usisahau itabidi twende sehemu ya mbali.”

MIMI: “Usijali mummy ukitaka hata tulale hukohuko ni wewe.”

Saa moja usiku tulitoka pale hotelini kwenda Golden Folk kwaajili ya dinna na tulimkuta pale Aggy amewasili tayari akitusubiri sisi tu. Kwa upande mwingine alishangaa sana kuona nimeongozana na Iryn maana ilikuwa ni kama surprise kwake.

Tulikaa kwenye viti na mimi nilifanya utambulisho mfupi na nilianza kumtambulisha Aggy kama rafiki yangu wa Muda mrefu na ndo ambaye huwa alikuwa ananisaidia kuingalia nyumba na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu.

Mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza na tuliagiza chakula pale kwa pamoja na story zilikuwa zinaendelea. Nilimshukuru Aggy kwa msaada wake kwa kipindi chote cha ujenzi na nilimwambia siwezi kumpa zawadi maana yeye ni mshikaji wangu, na yeye aliishia kucheka tu.

Baada ya nusu saa Maggy aliwasili pale na baada ya kutuona aliishia kufurahi sana, Maggy alikuwa anatujua wote so kwake ilikuwa ni kama surprise.

MAGGY: “Aisee usinambie umekuja na bossy wangu hapa na sijamwona muda sana.”

IRYN: “Ahsante sana dada kama apartment ulinichagulia, afu kumbe upo huku? Insider hajanambia kabisa.”

MAGGY: “Nipo huku toka July dear.”

IRYN: “Insider kila kona anayo kwenda ana marafiki, nimefurahi kukuona dear.”

Maggy aliagiza chakula na story zingine ziliendelea pale,

MAGGY: “Insider Junior anaendeleaje? Leo nina zawadi zake.”

MIMI: “Zawadi zenyewe ziko wapi? mbona sizioni mama.”

MAGGY: “Wewe tulia kwani ni zako.?”

MIMI: “Mhhh! sawa naona umeanza kurithi tabia za kigogo.”

Baada ya lisaa kukata Aggy aliomba kuondoka maana alisema ana wageni pale kwake afu ana kikao asubuhi cha kazi, hivyo aliaga na mimi nilimsindikiza mpaka parking alikokuwa amepark gari.

AGGY: “Insider una bahati sana ya kukutana na warembo huyu dada mmekutana wapi.?”

MIMI: “Hahahaa ni story ndefu sana siku ukija Dar nitakwambia.”

AGGY: “Mhhh sawa bhana nambie kuna kitu chochote unahitaji kutoka kwangu.?”

MIMI: “Yeah, una funguo za nyumba.”

AGGY: “Nilisahau ujue ngoja nikupe zipo kwa gari, mnaondoka lini huku Dodoma.?”

MIMI: “Jumanne afu kesho naweza kukucheki kama utakuwa available.”

AGGY: “Yeah sure tutawasiliana, byee.”

Tuliagana pale na Aggy na mimi nikarudi ndani na niliwakuta Iryn na Maggy wanaongea.

Tulianza mazungumzo na Maggy na alisema yuko tayari kuhamia hata kesho maana anakokaa hajakupenda na alisema ikiwezekana asubuhi twende wote akaione nyumba. Kwa yale mazingira ya pale site niliona ni mazuri na salama kwa Maggy na nilijua lazima atapapenda tu.

MAGGY: “Vipi kuhusu kodi?”

MIMI: “Nafikiri kesho tutaongea vizuri hili ukisha ona mazingira ya nyumba.”

MAGGY: “Na kesho muda gani.?”

MIMI: “Tufanye hata saa 3 asubuhi.”

MAGGY: “Sawa tutawasiliana hata hivyo mimi sikai acha niwaache lakini nimefurahi kukuona Insider.”

MIMI: “Maggy unawahi wapi? au ushapata sponsa? Vigogo wa serikali huku ni wengi sana.”

MAGGY: “Hamna leo nilikuwa nafanya usafi kutwa nzima na nimechoka sana afu huku Dodoma hakuna hata vibe, nimekumiss Dar.”

MIMI: “Ukipata muda uwe unakuja mara moja moja.”

MAGGY: “Nina semina next month hope tuta enjoy ila usiniletee uswahili.”

Maggy alituaga pale na sisi kwa upande wetu tuliamua kuondoka kurudi hotelini na baada ya kuwasili hotelin tuliamua kwenda moja kwa moja mpaka bar na tuliagiza vinywaji tukaanza kupeleka taratibu. Muda huu Iryn alionekana kuwa na furaha sana yaani muda wote alikuwa ananiangalia sana huku anatabasamu.

MIMI: “Mummy unaniangalia sana mpaka nakosa confidence.”

IRYN: “Insider unaakili sana ya maisha nimekua suprised sana, so pale kodi itakuwa kiasi gani?”

MIMI: “Kesho nitaonana na Dalali nafikiri nitamsikiliza na mawazo yake.”

IRYN: “Na ile plot unampango gani.?”

MIMI: “Bado sijajua nafikiri nitakaa chini kufikiri project ya kuweka pale.”

IRYN: “Ukipata idea nzuri niambie niku assist sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu toka lini nikupinge?”

Tulikaa sana pale bar mpaka tukaanza kuoneshana hisia za mapenzi live na tulianza kupeana kashikashi pale, tulikuwa kwenye Huba zito sana muda huu. Kadri muda unavyozidi kwenda Iryn alionekana anahitaji kushughulikiwa na alifanya malipo akanishika mkono akanambia tuondoke.

Baada ya kuingia room tuliingia kuoga kwanza na baada ya hapo kilichoendelea ni siri yetu, ilikuwa ni show kali sana na ndefu na tuliishia kuchafua mashuka ya watu na kitanda kilikuwa shaghalabaghala.

Niliamka saa 2 asubuhi lakini Iryn alikuwa bado amelala, nilingia bafuni kuoga mpaka namaliza kujiandaa lakini wapi alikuwa bado kalala, sikutaka kumuamsha na nikaondoka.

Nilifanya mawasilino ma Maggy na akanambia yuko ofisini tayari na alikuwa anasubiri call yangu ili atoke na nikamwambia achukue usafiri tukutane Makulu kituoni. Baada ya kuongea na Maggy nilimpigia simu Dalali na yeye alisema yuko njiani ndani ya dakika 15 atakuwa around kwani mtaa anaujua vizuri sana.

Tulionana na Maggy pale Makulu na tukachukua bajaji ya kutupeleka site na baada ya kuwasili tuliingia ndani na kwa upande wake Maggy alivutiwa sana na nyumba na akasema anahamia leoleo.

Baada ya dakika 20 Dalali naye aliwasili pale site na tukaanza maongezi na yeye aliishia kuisifia nyumba. Tulifanya mazungumzo pale na alisema kodi ya maeneo ya kule ni 400,000/= kwa nyumba standard na ya vyumba viwili.

Maggy alichagua nyumba ya upande wa chini maana zote zilikuwa sawa tu na Dalali alisema ana mteja tayari yupo wa kuhamia pale, nilimpa account No. ya bank na nikamwambia akiwa tayari anambie tumalize kabisa.

Baada ya kumalizana na hawa watu tuliongozana na Maggy na yeye alikuwa anarudi ofisini na mimi nilikuwa narudi hotelini. Wakati niko njiani nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda na Iryn na nikapata wazo la kwenda Kondoa, niliona ni mbali kidogo ya mji lakini pia panavutia.

Usafiri ungekua changamoto maana tungetumia costa au private ya kukodi hivyo niliona afadhali nimuazime Aggy gari yake ili tusave na muda. Nilimpigia simu Aggy na nikampanga, kwa upande wake hakuwa na shida na alinambia nikachukue ofisini kwake, tuliachana na Maggy na mimi nilikwenda kuonana na Aggy.

Baada ya kuonana na Aggy na kunikabidhi gari nilirudi moja kwa moja mpaka hotelin na Ilikuwa ni saa 4 asubuhi tayari na Iryn alikuwa bado amelala. Ilibidi nishangae maana nilihisi atakuwa anaumwa na niliamuasha pale na alionekana kuchoka sana,

MIMI: “Mummy are you ok.?”

IRYN: “Am fine, nimechoka na uchovu.”

MIMI: “Amka tukapate breakfast ili tuondoke.”

IRYN: “Tunakwenda wapi?.”

MIMI: “Kuna sehemu inaitwa Kondoa ni wilaya ya Dodoma, tutakwenda huko.”

IRYN: “Ok darling, ngoja nika bath ili tuondoke.”

Iryn alikwenda kuoga na mimi muda huu nilikuwa nimekaa kwenye coach nikimsubiri, na muda huu Lucy alipiga simu na mimi niliipokea pale,

LUCY: “Mshikaji wangu umeenda Dodoma na Bossy hata hunambii serious.?”

MIMI: “Hapana Lucy nani amekwambia haya.?”

LUCY: “Yeye ndo kanambia jana mpaka nimeshangaa kwanini hujanambia.”

MIMI: “Lucy usimind kama amekwambia yeye sawa ni kweli tuko huku alinipa kampani.”

LUCY: “Natarajia habari njema kutoka kwako, tutaongea ukirudi.”

MIMI: “Sawa Lucy usijali.”

Iryn naye alikuwa ametoka kuoga na alikuwa uchi kama alivyozaliwa, Aisee!! nyie muda huu nilikuwa namshangaa mwili wake ulivyo mweupe na mzuri yaani nilikuwa nasisimka tu.

IRYN: “Insider mbona unaniangalia kwa uchu sana.”

MIMI: “Unanipa ugwadu tu hapa, hujui tu.”

IRYN: “Kwamba kwa kazi iliyofanyika usiku kucha bado unataka tena.?”

MIMI: “Ndio nataka tena”

IRYN: “Kwasasa mimi bhasi umenichosha sana na tunakwenda na usafiri gani.?”

MIMI: “Nimekuja na gari ya kutupeleka huko nimeazima kwa Aggy yule best yangu wa jana.”

IRYN: “Ulinambia anafahamiana na mama J hawezi kumwambia uko na mimi huku?”

MIMI: “Atakuwa amezidi mipaka sidhani kama atafanya hivyo.”

IRYN: “Insider nivaaje?”

MIMI: “Kwa mazingira tunayokwenda vaa skin jeans na raba zako za Airforce.”

IRYN: “Sawa nimekuelewa.”

Ndani ya muda mfupi Iryn alikuwa amevaa tayari na alikuwa kavaa skinny jeans ya blue, raba ya Airmax ya blue bahari na shortsleeve nyeupe na kiunoni alikuwa kajifunga waist bag bila kusahau cap ya kaki.

Tulitoka pale hotelini saa 5 asubuhi hata chai hatukunywa na tulianza safari ya kwenda Kondoa, ulikuwa ni mwendo wa masaa 2 mpaka tunawasili Kondoa. Baada ya kuwasili Kondoa kwenye ile roundabout hatukwenda stand ila tuliishia pale na tukapark gari sheli ipo upande wa kulia.

Baada ya kupark gari pale tulikuwa tunashauriana pale twende wapi, lakini Iryn kwa upande wake alikuwa anataka twende hata kijiji chochote cha jirani akatoe na misaada kwa watu wenye uhitaji na pia akaoyaone mazingira ya bush yalivyo.

Tulishuka kwenye gari ikabidi tuulize watu wenyeji wa maeneo ya pale kuhusu kijiji cha karibu ambapo barabara inapitika vizuri ili twende. Kuna jamaa alitushauri twende kijiji cha Mondo na alisema kwa leo kuna mnada kule hivyo kutakuwa kuzuri sana. Hiki kijiji cha Mondo ni kama unatokea Dodoma ukishafika ile roundabout kushoto unakwenda Kondoa na ukizunguka kulia unakwenda huko Mondo.

Iryn alisema tutafute bank atoe Pesa za kutosha kwaajili ya kutoa na misaada huko tunakokwenda. Kama unakwenda Kondoa mjini/stand kwa mbele kidogo kushoto kuna Bank kubwa tu iko maeneo yale, hivyo tuliingia na tukatoa pesa. Na alitoa million 5 na tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijiji cha Mondo.

Tulitumia kama dakika 40 kuwasili pale kijijini na tuliulizia serikali ya mtaa tukapelekwa mpaka kwa Mtendaji, lakini alikuwa hayupo na walisema amekwenda kwenye mnada ikabidi tuombe watupeleke huko mnadani.

Baada ya kuwasili pale mnadani palionekana kuwa busy na watu wengi sana na ulikuwa ni uwanja mkubwa ambapo bidhaa mbalimbali zilikuwa zinauzwa pale, nadhani minada ya vijijini mnaijua inavyokuwa.

Yule baba tuliyekuwa tumeongozana naye alituambia tusubiri anakwenda kumuita mtendaji, kwa upande mwingine watu walikuwa wakituangalia sana, hasa wamasai walikuwa wanamshangaa sana Iryn. Kwa upande wa Iryn yeye hakuwa na shida bali alikuwa anawafurahia sana na kile kitendo kiliwavutia wakanza kumiminika pale na akawa anapiga nao picha.

Baada ya dakika 10 yule baba alirudi akiwa ameongozana na watu wawili na kwa upande wao walionekana kuwa na wasiwasi sana sijui walidhani sisi ni watu wa system.

“Mzee shikamoo mimi naitwa Insider na huyu dada anaitwa Iryn, tumekuja hapa kijijini kwako kwaajili ya kutembea na pia kutoa misaada kwa watu wenye uhitaji. Nafahamu fika hawa watu wenye shida unawajua vizuri mpaka nyumba zao.”

Mtendaji baada ya kusikia hivi alipata amani maana alikuwa anaonekana kuogopa sana.

“Karibuni sana vijana wangu hawa watu ni wengi pia kuna mzee anaumwa sana anakosa pesa za matibabu nafikiri tutaanza na huyu, ila naomba niwatembeze kwanza kwenye mnada wetu mjionee.”

Tulianza kutembezwa kwenye ule mnada na kuna sehemu tulipita walikuwa wamechinja mbuzi, kondoo na ng’ombe wa kutosha na walikuwa wanachoma. Tulinunua pande la mbuzi kubwa la kuchoma aisee! niseme sijawahi kula mbuzi mtamu wa kuchoma kama yule, wale jamaa wanachoma nyama kwa chini, yaani mkaa unawekwa chini juu kuna kuwa na kichanja cha wavu, nyama inabanikwa inaiva taratibu, ni mafundi hatari.

Tuliweka odda ya kubanikiwa paja mbili za mbuzi na sisi tukaondoka kwenda kuwaona wahitaji na tulianza na huyo mzee ambaye alikuwa anaumwa sana na hana msaada. Baada ya kufika kwake kweli alikuwa anaumwa sana hata kuongea alikuwa anashindwa na Iryn palepale akatoa odda apelekwe hospital, na mtendaji alisema apelekwe Kondoa mjini na Iryn alitoa pesa ya usafiri pale.

Tuliendelea Kutembelea watu wengine na Iryn hasa aliwatarget wamama wajane ambao wanahali ngumu za maisha na wazee. Tulitembelea watu wengi sana mpaka akasema bhasi inatosha maana pesa ilikata, ukweli kule vijijini kuna watu wanashida sana. Niseme vijijini kuna watu wanashida sana na wanakosa msaada jamani, tujenge mazoea ya kwenda huko vijijini kuna watu wana hali mbaya sana na wanaishi maisha magumu.

Tulipewa jogoo 4 mpaka zingine tulikuwa tunazikataa maana hatukuwa na pakuzipeleka hatahivyo hao jogoo wa4 nilipanga kumpa mzee Mollel na akina Maggy. Tulirudi mnadani kuchukua mbuzi wetu na wamasai walivyotuona walikuja spidi na Iryn aliwapa 20,000/= kila mmoja na walikuwa 7 muda huu, ofcourse walifurahi sana na akapiga picha nao tena ya pamoja.

Ilikuwa jioni tayari hivyo tuliondoka na Mtendaji kwenda Kondoa mjini na baada ya kuwasili pale hospital tulikuta mzee anahudumiwa na alikuwa kalazwa.

Iryn alinambia tutafute Atm ya karibu tutoe hela tena maana alikuwa kaishiwa na mimi nilimshauri tutafute wakala inaweza kuwa uhakika kuliko kwenda ATM kutoa.

Baada ya kutoa Pesa Iryn alimuita Mtendaji pembeni akamkabidhi laki tano (5) kwaajili ya malipo ya mgonjwa kwa kipindi chote atakachokuwa pale hospital pamoja na dawa na gharama zingine zitakazo jitokeza.

Wakati tunaondoka alimuita pembeni dada ambaye ndo mtoto wa yule mzee mgonjwa na alikuwa anaongea naye pembeni na niliona anatoa pesa anamkabidhi, muda huu mimi nilikuwa kwenye gari.

Muda ulikuwa umekwenda sana na sisi kwa upande wetu hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliwaaga pale na Mtendaji aliishia kutushukuru sana na tulibadilisha namba za simu kwaajili ya kujulishana maendeleo ya mgonjwa. (Yule babu alipona na anaendelea vizuri na afya yake, na christimas mtendaji alinitumia mbuzi mkubwa kwaajili ya sikukuu.)

Wakati tuko barabarani tukirudi Dodoma Mjini Iryn alionekana kuwa na furaha sana muda huu na alinambia toka maisha yake yote hajawai kutembelea maeneo ya vijijini kama haya na leo ilikuwa surprise kwake.

Saa 1 usiku ilitukutia pale mipango na mimi nilimpa bodaboda Kuku awapeleke kwa Mzee Mollel maana alikuwa amenipa namba zake za mawasiliano. Baada ya hapo tulikwenda kwanza site kuonana na Maggy maana alikuwa ameanza kuhamia na nilimpa Zawadi ya Jogoo.

Kwa upande mwingine nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia ile nyumba na yeye nilimpunguzia kodi kidogo maana ni ndugu yangu na tumetoka mbali. Maggy alisema usiku huuhuu atakuwa amekamilisha kuhamia na mimi nilimwambia kesho tutakuja kushinda naye kabla ya kurudi Dar, na alisema hataenda kazini.

Baada ya kuachana na Maggy niliwasiliana na Aggy ili tuonane pale Golden Fork na baada ya kuwasili pale nilimkuta ananisubiri na nilimpa kuku yake na gari ilikuwa full tank.

MIMI: “Umenipa gari haina wese ila imerudi iko full tank na Jogoo juu.”

AGGY: “Mimi sinaga shida na wewe maana nakujua hunaga baya mshikaji wangu. Naamini kila kitu kimekwenda sawa huko.”

MIMI: “Yeah tunashukuru Mungu na kesho tunaondoka jioni lakini.”

AGGY: “I hope nitakuona before hujaondoka nikupe na kampani, pia kuna jambo nataka tuongee.”

MIMI: “Sawa dada wa system.”

Tuliishia kucheka pale na tukaagana kwa kukumbatiana na sisi tukaingia ndani kupata chakula, hii siku tulishindia nyama tu, toka tunatoka kule Mondo tulikuwa tunakula zile paja za mbuzi.

Baada ya kupata dinna tulirudi hotelini kwaajili ya kulala, Iryn alionekana kuchoka sana na baada ya kufika hotelini tulipitia pale reception kutoa taarifa za kuondoka kesho.
******

Jumanne ilikuwa ni safari ya kurudi Dar ambapo tulitarajia kuondoka Dodoma na ndege ya jioni na ile asubuhi baada ya kuamka tulijiandaa, tukapata breakfast na tulikwenda kwa Maggy kupoteza muda.

Baada ya kuwasili pale tulikuta Maggy anaweka mambo sawa na alikuwa amehamia tayari na kwa mara ya kwanza nilimkuta yuko na dada wa kazi. Maggy baada ya kutuona alifurahi sana na akatukaribisha ndani,

“Insider karibu kwenye nyumba yako.”

“Hahahaa Ahsante sana Maggy now is yours.”

“Kuna mtu pia ameingia huko juu bila shaka utakuwa na taarifa.”

“Dalali alinipa taarifa tayari, ngoja niende nikamsalimie.”

Nilikwenda kuonana na dada na nilikuta yuko nje kibarazani, nilimsalimia pale na mimi nilijitambulisha kama mwenye nyumba na yeye alishangaa sana kuona kijana mdogo namiliki mjengo na nilimpa mkataba wake wa kupanga kwa niaba ya mme wake.

Tulishinda na Maggy hii siku na nikamsaidia kumchinja yule jogoo na kumuandaa kabisa maana yeye alisema anaogopa kuchinja kuku. Mchana tulipata lunch ya pamoja na muda huu nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia nyumba, ofcourse namuamini sana Maggy.

Saa 10 jioni tuliaga pale na Aggy alikuwa amekuja kutufuata na akatupa ride mpaka hotelini tukachukua mabag yetu na akatupeleka mpaka Airport. Wakati tunasubiri kucheck-in muda huu tulikuwa tunazungumza na Aggy Kuhusu jambo lake alilotaka kunambia na baada ya hapo tuliagana.

Na kwa upande wetu hatukaa sana pale bali tulicheck-in kuanza safari ya kurudi Dar na wakati tuko kwa flight tulikuwa tunazungumza mambo mengi sana na Iryn na kubwa alinambia amefurahi sana kwa jambo tulilolifanya jana kwani kwake lina thamani sana.

IRYN: “Insider jitahidi sana ufuatilie maendeleo ya yule mzee sawa.?”

MIMI: “Usijali bossy wangu hilo ondoa shaka hata leo nimeongea na Mtendaji na amenambia meendeleo ni mazuri.”

IRYN: “Nimemtumia Daddy picha za jana amefurahi sana.”

MIMI: “Una roho nzuri sana Mungu ataendelea kukubariki.”

IRYN: “Hata wewe Insider.” Na akanikiss shavuni

MIMI: “Hivi uliniamini nini mpaka ukanipa Atm card yako.?”

IRYN: “Insider nishindwe kukuamini kwa vitu vidogo kama Pesa? ni vingapi unafanya peke yako.?”

MIMI: “Hata hivyo upo vizuri sana kama ni Pesa za matumizi tu hizo account zingine itakuwaje?.”

IRYN: “Natumiwa Pesa za matumizi na watu wengi kama Daddy, Mama Janeth, Mamkubwa, , bado kuna rafiki wa mama ambao wananiingizia pesa nknk,”

MIMI: “Mama Janeth anakupa pocket money?”

IRYN: “Mimi ni kama mtoto wake au umesahau yule ni mama mlezi wangu? afu Kwanini umetoa pesa ndogo sana na mimi nilikupa uhuru wa kutoa kiasi unachotaka.”

MIMI: “Ningekuwa mwizi kutoa kiasi ambacho sikuwa na shida nacho hata hivyo nashukuru sana mummy.”

Tuliwasili JNIA na lilikuwa usiku tayari hivyo nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka home. Baada ya kuwasili pale kwake tuliingia ndani na yule mama Mlinzi baada ya kutuona alikuja kutusalimia lakini niliona target yake kubwa ilikuwa ni Iryn,

“Mama samahani sana afu nilisahau nilipata emergence ya haraka ungenipigia tu simu.”

“Nilijua tu utakuwa umepata dharura na sikutaka kukusumbua.”

“Mwanao hawaja msumbua shule?”

“Hapana kwakweli niliongea na mkuu wa shule.”

“Sawa ngoja nikupe kabisa sahivi nisije nikasau tena.”

Na mimi niliamua kuingia ndani na mabag maana mazungumzo ya pale yalikuwa hayanihusu na niliwaacha pale nje wakiendelea kuongea.

Baada ya dakika 5 Iryn aliingia ndani na akaenda moja kwa moja jikoni akarudi seblen ameshika chupa ya wine na glass 2 na tukaanza kuinywa pale,

IRYN: “Insider ni jambo gani ambalo hulipendi kutoka kwangu.?”

MIMI: “Achana na biashara zako za Massage”

IRYN: “Ndo hilo tu hulipendi?”

MIMI: “Yes ukiachana na hili tutakwenda pamoja maana sioni sababu ya kuhangaika wakati Pesa unazo.”

Na muda huu alinisogelea close na akawa ananiangalia pale,

IRYN: “Insider mimi nimeachana na hii biashara kwaajili yako, but naomba uniahidi jambo moja tu.”

MIMI: “What is it?”

IRYN: “Truly I love you, promise me hutakuwa na mwanamke mwingine wa pembeni zaidi yangu.”

MIMI: “Mimi sina mwanamke wa pembeni kwasasa kama ni hili ondoa wasiwasi afu mimi sio mhuni kama unavyoniwazia.”

IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,… aisee ngoja tuishiie hapa kwa leo

4 MORE EPISODES TO GO
Wacha niende bambalaga hapo kuna mtu nionane naye .....
 
EPISODE 66
BY INSIDER MAN

PREVIOUS
Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

CONTINUE …

Nilimfungulia mlango nikamkaribisha na akaingia ndani,

MIMI: “Welcome mummy, ulikuwa bado hujalala tu.?”

IRYN: “Sina usingizi hapa.”

MIMI: “Pole hata mimi sina usingizi nachezea laptop.”

Na mimi nilikwenda kwenye coach kuendelea na kazi zangu na yeye alilala pale kitandani huku macho yake yote ameelekeza kwangu.

IRYN: “Insider unafanya nini?”

MIMI: “Naandika mkataba wa nyumba.”

IRYN: “Njoo tulale bhasi, utaandika kesho.”

MIMI: “Mimi nitalala hapahapa kwenye Coach wewe lala hapo kitandani.”

IRYN: “Bhasi nakuja hapo tulale wote kama hutaki kuja kitandani.”

Na mimi nilifunga laptop yangu nikapanda kitandani, baada ya hapo tuliendelea kupiga story pale ofcourse muda huu tulikuwa ndani ya blanket na tulikuwa tumegeukiana tuko very close. Nilishangaa kuona mkono wake ukipenyeza boxer yangu na akaukamata mtwangio wangu na alikuwa anachezea kichwa cha mtwangio. Iryn ana asili ya kuwa na joto sana, sasa lile joto la mkono wake lilikuwa linafanya nasisimka sana huku nasikia raha, nilikuwa nahisi Dunia yote yangu.

Na mimi sikutaka kuwa mzembe nilianza kumchezea na kuzinyonya boobs zake kwa ufundi na romance zikaendelea pale kitandani. Muda huu pia nilipitisha mkono wangu taratibu ili kutalii serengeti yake na ilioneka kulowa sana, na nikajua huyu toka muda alikuwa ana upwiru ila alikuwa analeta maringo na kilichomleta kwangu ni sex* wala sio kingine.

Ndani ya muda mfupi alikaa juu yangu na akaukalia mtwangio na akaanza kuukatikia na mimi nilimuacha aendelee na hili zoezi mpaka atakavyochoka yeye. Baadae nilimgeuza nikamuweka Doggy na muda huu nilikuwa naenjoy sana kuyachezea makalio yake laini, ilikuwa ni match ndefu na iliisha kwa sare kwa kila mmoja kupiga bao za kutosha na tulilala huku tumekumbatiana.

Asubuhi niliamka mapema sana na Iryn alikuwa bado kalala hivyo ilibidi nijiandae haraka ili niendeee kusikilizia milio kutoka kwa Mzee Mollel maana alisema akitoka church anatanijulisha ili tukaonane. Pia muda huu nilikuwa nawaza zawadi ya kumpa mzee Mollel kwa kazi aliyoifanya, kumbuka alikuwa anajitolea na alinisaidia sana, hivyo sikuwa na budi kumpa Ahsante yangu. Kwa upande wangu nilikuwa na laki 6 kama balance tu na nilitamani angalau nimpe ka million na pia bado alikuwa ananidai kama laki 7 kuna pervings zilipwelea akatoa pesa yake mfukoni, niliwaza pale napataje hela na wazo likanijia nimwombe Iryn.

Muda huu Iryn alikuwa ameamka tayari na nilisikia akiniita pale,

IRYN: “Darling unakwenda wapi this morning.?”

MIMI: “Kuna mzee wangu aliyenisaidia kusimamia ujenzi ndo nakwenda onana naye.”

IRYN: “Naomba twende wote bhasi.”

Na mimi ilibidi nikae kitandani muda huu,

MIMI: “No swirry huyu Mzee ni rafiki wa baba yangu kwenda na wewe anaweza kuhisi vibaya na haitaleta picha nzuri, isitoshe anamjua wife na tunakwenda kuonana kule site ili anikabidhi nyumba.”

IRYN: “Sawa babe promise me you don’t be late.”

MIMI: “I promise mummy, pia ninashida ya fedha kidogo kama utaweza nisaidia.”

IRYN: “Unataka kwaajili ya nini.?”

MIMI: “Nataka kumpa mzee kama Ahsante ya kazi aliyoifanya maana amefanya kazi kubwa sana.”

Iryn aliniambia niende room yake nikachukue ATM card ipo kwenye bag na alisema nitoe kiasi cha pesa ambacho naona kitatosha na alinitajia na code za card. Kwa upande wangu sikuamini kama ningepewa card nikajisevie mwenyewe kwa ATM na hii ilikuwa mara yangu ya kwanza namwomba Iryn Pesa.

Tulijadili suala la kuondoka Dodoma na tuliona turudi Dar jumanne ili kesho ambayo ni Jumatatu tutafute sehemu nzuri ya nje ya mji ili twende tukatembee. Tulikwenda kupata breakfast ile asubuhi na pia alitoa maelezo pale reception ya kuongezewa muda mpaka jumanne na aliomba vitu vyake vyote vipelekwe room yangu, maana yake hapo tunalala pamoja. Hata dada pale reception alikuwa anashangaa ni kama alikuwa haamini kusikia maneno ya Iryn ni kama alipatwa na wivu.

Baada ya kupata breakfast tulirudi room na mida ya saa 4 Mzee Mollel alinipigia simu kunipa taarifa ametoka church hivyo tuonane kulekule site. Nilimwaga Iryn na nilipitia kwa wakala kutoa pesa na nilikuwa nawaza nitoe kiasi gani cha pesa maana nilipewa uhuru, na mimi nilitoa million 3 tu. Baada ya kuchukua risiti balance ilokuwa inaonekana pale ni balaa ilibidi niangalie vizuri tena, niliona kama nimekosea kuangalia. Account yake ilikuwa na pesa kibao na yeye anasemaga ile local account ni kwaajili ya pesa za matumizi tu, nilijisemea kuna watu wanahela maana Account ilikuwa inasoma 9 digits.

Ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale site na nilimkuta Mzee Mollel amewasili tayari, tulisalimiana na akaanza kunitembeza maeneo ya nyumba. Kwa upande wangu nilimshukuru sana kwa kazi aliyoifanya na nilimkabidhi bahasha na nilikuwa nimeweka jumla ya million 2 pamoja na deni lake.

Muda huu pia nilimpigia video call wife na yeye alikuwa na shauku sana ya kuona maendeleo ya miti na maua yake. Baada ya kuona maendeleo ni mazuri aliishia kufurahi na akanambia weekend ijayo atarudi Dar pia amenimiss sana.

Tuliongea mambo mengi sana na Mzee Mollel pia alinipa namba ya Dalali wa kumtumia kwaajili ya kunitafutia wapangaji na alinikabidhi hati ya plot yangu ya kule Iyumbu. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliagana maana alisema ana majukumu mengine ya kufanya.

Mzee Mollel aliondoka akiwa ameniacha pale site na mimi niliamua kumpigia simu Aggy ili tuonane lakini alinambia yuko busy sana hivyo tufanye baadae. Pia Niliwasiliana na Maggy na nilimpa taarifa za kukamilika kwa nyumba kwa upande wake alifurahi sana na akanambia yeye atakuwa wakwanza kuingia na tulikubalina tutaonana badae.

Ilikuwa ni mchana tayari hivyo niliwasiliana na Iryn ajiandae kwani soon nitampitia ili tukapate lunch na mimi sikuchukua muda mrefu kuwasili pale hotelini na tukaenda Chako ni chako. Baada ya kuwasili tuliagiza kuku choma mzima kwa upande wangu niliagiza ugali na yeye aliagiza chips.

Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi hotelini na mimi niliingia kuoga then baada ya hapo tulitoka kwenda garden kupoteza muda na tulikaa karibu na swimming.

Maongezi yetu makubwa yalikuwa kuhusu suala lake la kwenda shule na alisema anataka kuwa karibu na baba yake mzazi, pia alinambia kuna uwezekano mkubwa wa mama Janeth kwenda HQ kwaajili ya masula ya vita ya Russia-Ukraine. Ofcourse tuliongea mambo mengi sana ya maisha na biashara na giza lilipoanza kuingia tulirudi room kujiandaa kwenda kupata dinna.

Muda huu nilifanya mawasiliano na Dalali ili anitafutie mtu mmoja wa kuhamia pale site na nilimwambia namba nimepewa na Mzee Mollel. Nilimuelekeza nyumba ilivyo na akasema itapendeza sana kama atakwenda kuiona na mimi nikamwambia kesho asubuhi tutaonana kwaajili ya hili suala.

Baada ya kuongea na Dalali, Aggy naye alinipigia simu na akanambia jioni tuonane kwaajili ya dinna na nikamwambia tuonane pale Golden fork, pia nikakumbuka kumpa taarifa na Maggy ili tukutane hapo.

Iryn alikuwa amelala kitandani hivyo nilimgeukia na tukaanza kuongea,

MIMI: “Mummy badae tutakwenda kupata dinna Golden folk na nitakuwa na ndugu zangu.”

IRYN: “Sawa haina shida ila kesho usisahau itabidi twende sehemu ya mbali.”

MIMI: “Usijali mummy ukitaka hata tulale hukohuko ni wewe.”

Saa moja usiku tulitoka pale hotelini kwenda Golden Folk kwaajili ya dinna na tulimkuta pale Aggy amewasili tayari akitusubiri sisi tu. Kwa upande mwingine alishangaa sana kuona nimeongozana na Iryn maana ilikuwa ni kama surprise kwake.

Tulikaa kwenye viti na mimi nilifanya utambulisho mfupi na nilianza kumtambulisha Aggy kama rafiki yangu wa Muda mrefu na ndo ambaye huwa alikuwa ananisaidia kuingalia nyumba na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu.

Mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza na tuliagiza chakula pale kwa pamoja na story zilikuwa zinaendelea. Nilimshukuru Aggy kwa msaada wake kwa kipindi chote cha ujenzi na nilimwambia siwezi kumpa zawadi maana yeye ni mshikaji wangu, na yeye aliishia kucheka tu.

Baada ya nusu saa Maggy aliwasili pale na baada ya kutuona aliishia kufurahi sana, Maggy alikuwa anatujua wote so kwake ilikuwa ni kama surprise.

MAGGY: “Aisee usinambie umekuja na bossy wangu hapa na sijamwona muda sana.”

IRYN: “Ahsante sana dada kama apartment ulinichagulia, afu kumbe upo huku? Insider hajanambia kabisa.”

MAGGY: “Nipo huku toka July dear.”

IRYN: “Insider kila kona anayo kwenda ana marafiki, nimefurahi kukuona dear.”

Maggy aliagiza chakula na story zingine ziliendelea pale,

MAGGY: “Insider Junior anaendeleaje? Leo nina zawadi zake.”

MIMI: “Zawadi zenyewe ziko wapi? mbona sizioni mama.”

MAGGY: “Wewe tulia kwani ni zako.?”

MIMI: “Mhhh! sawa naona umeanza kurithi tabia za kigogo.”

Baada ya lisaa kukata Aggy aliomba kuondoka maana alisema ana wageni pale kwake afu ana kikao asubuhi cha kazi, hivyo aliaga na mimi nilimsindikiza mpaka parking alikokuwa amepark gari.

AGGY: “Insider una bahati sana ya kukutana na warembo huyu dada mmekutana wapi.?”

MIMI: “Hahahaa ni story ndefu sana siku ukija Dar nitakwambia.”

AGGY: “Mhhh sawa bhana nambie kuna kitu chochote unahitaji kutoka kwangu.?”

MIMI: “Yeah, una funguo za nyumba.”

AGGY: “Nilisahau ujue ngoja nikupe zipo kwa gari, mnaondoka lini huku Dodoma.?”

MIMI: “Jumanne afu kesho naweza kukucheki kama utakuwa available.”

AGGY: “Yeah sure tutawasiliana, byee.”

Tuliagana pale na Aggy na mimi nikarudi ndani na niliwakuta Iryn na Maggy wanaongea.

Tulianza mazungumzo na Maggy na alisema yuko tayari kuhamia hata kesho maana anakokaa hajakupenda na alisema ikiwezekana asubuhi twende wote akaione nyumba. Kwa yale mazingira ya pale site niliona ni mazuri na salama kwa Maggy na nilijua lazima atapapenda tu.

MAGGY: “Vipi kuhusu kodi?”

MIMI: “Nafikiri kesho tutaongea vizuri hili ukisha ona mazingira ya nyumba.”

MAGGY: “Na kesho muda gani.?”

MIMI: “Tufanye hata saa 3 asubuhi.”

MAGGY: “Sawa tutawasiliana hata hivyo mimi sikai acha niwaache lakini nimefurahi kukuona Insider.”

MIMI: “Maggy unawahi wapi? au ushapata sponsa? Vigogo wa serikali huku ni wengi sana.”

MAGGY: “Hamna leo nilikuwa nafanya usafi kutwa nzima na nimechoka sana afu huku Dodoma hakuna hata vibe, nimekumiss Dar.”

MIMI: “Ukipata muda uwe unakuja mara moja moja.”

MAGGY: “Nina semina next month hope tuta enjoy ila usiniletee uswahili.”

Maggy alituaga pale na sisi kwa upande wetu tuliamua kuondoka kurudi hotelini na baada ya kuwasili hotelin tuliamua kwenda moja kwa moja mpaka bar na tuliagiza vinywaji tukaanza kupeleka taratibu. Muda huu Iryn alionekana kuwa na furaha sana yaani muda wote alikuwa ananiangalia sana huku anatabasamu.

MIMI: “Mummy unaniangalia sana mpaka nakosa confidence.”

IRYN: “Insider unaakili sana ya maisha nimekua suprised sana, so pale kodi itakuwa kiasi gani?”

MIMI: “Kesho nitaonana na Dalali nafikiri nitamsikiliza na mawazo yake.”

IRYN: “Na ile plot unampango gani.?”

MIMI: “Bado sijajua nafikiri nitakaa chini kufikiri project ya kuweka pale.”

IRYN: “Ukipata idea nzuri niambie niku assist sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu toka lini nikupinge?”

Tulikaa sana pale bar mpaka tukaanza kuoneshana hisia za mapenzi live na tulianza kupeana kashikashi pale, tulikuwa kwenye Huba zito sana muda huu. Kadri muda unavyozidi kwenda Iryn alionekana anahitaji kushughulikiwa na alifanya malipo akanishika mkono akanambia tuondoke.

Baada ya kuingia room tuliingia kuoga kwanza na baada ya hapo kilichoendelea ni siri yetu, ilikuwa ni show kali sana na ndefu na tuliishia kuchafua mashuka ya watu na kitanda kilikuwa shaghalabaghala.

Niliamka saa 2 asubuhi lakini Iryn alikuwa bado amelala, nilingia bafuni kuoga mpaka namaliza kujiandaa lakini wapi alikuwa bado kalala, sikutaka kumuamsha na nikaondoka.

Nilifanya mawasilino ma Maggy na akanambia yuko ofisini tayari na alikuwa anasubiri call yangu ili atoke na nikamwambia achukue usafiri tukutane Makulu kituoni. Baada ya kuongea na Maggy nilimpigia simu Dalali na yeye alisema yuko njiani ndani ya dakika 15 atakuwa around kwani mtaa anaujua vizuri sana.

Tulionana na Maggy pale Makulu na tukachukua bajaji ya kutupeleka site na baada ya kuwasili tuliingia ndani na kwa upande wake Maggy alivutiwa sana na nyumba na akasema anahamia leoleo.

Baada ya dakika 20 Dalali naye aliwasili pale site na tukaanza maongezi na yeye aliishia kuisifia nyumba. Tulifanya mazungumzo pale na alisema kodi ya maeneo ya kule ni 400,000/= kwa nyumba standard na ya vyumba viwili.

Maggy alichagua nyumba ya upande wa chini maana zote zilikuwa sawa tu na Dalali alisema ana mteja tayari yupo wa kuhamia pale, nilimpa account No. ya bank na nikamwambia akiwa tayari anambie tumalize kabisa.

Baada ya kumalizana na hawa watu tuliongozana na Maggy na yeye alikuwa anarudi ofisini na mimi nilikuwa narudi hotelini. Wakati niko njiani nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda na Iryn na nikapata wazo la kwenda Kondoa, niliona ni mbali kidogo ya mji lakini pia panavutia.

Usafiri ungekua changamoto maana tungetumia costa au private ya kukodi hivyo niliona afadhali nimuazime Aggy gari yake ili tusave na muda. Nilimpigia simu Aggy na nikampanga, kwa upande wake hakuwa na shida na alinambia nikachukue ofisini kwake, tuliachana na Maggy na mimi nilikwenda kuonana na Aggy.

Baada ya kuonana na Aggy na kunikabidhi gari nilirudi moja kwa moja mpaka hotelin na Ilikuwa ni saa 4 asubuhi tayari na Iryn alikuwa bado amelala. Ilibidi nishangae maana nilihisi atakuwa anaumwa na niliamuasha pale na alionekana kuchoka sana,

MIMI: “Mummy are you ok.?”

IRYN: “Am fine, nimechoka na uchovu.”

MIMI: “Amka tukapate breakfast ili tuondoke.”

IRYN: “Tunakwenda wapi?.”

MIMI: “Kuna sehemu inaitwa Kondoa ni wilaya ya Dodoma, tutakwenda huko.”

IRYN: “Ok darling, ngoja nika bath ili tuondoke.”

Iryn alikwenda kuoga na mimi muda huu nilikuwa nimekaa kwenye coach nikimsubiri, na muda huu Lucy alipiga simu na mimi niliipokea pale,

LUCY: “Mshikaji wangu umeenda Dodoma na Bossy hata hunambii serious.?”

MIMI: “Hapana Lucy nani amekwambia haya.?”

LUCY: “Yeye ndo kanambia jana mpaka nimeshangaa kwanini hujanambia.”

MIMI: “Lucy usimind kama amekwambia yeye sawa ni kweli tuko huku alinipa kampani.”

LUCY: “Natarajia habari njema kutoka kwako, tutaongea ukirudi.”

MIMI: “Sawa Lucy usijali.”

Iryn naye alikuwa ametoka kuoga na alikuwa uchi kama alivyozaliwa, Aisee!! nyie muda huu nilikuwa namshangaa mwili wake ulivyo mweupe na mzuri yaani nilikuwa nasisimka tu.

IRYN: “Insider mbona unaniangalia kwa uchu sana.”

MIMI: “Unanipa ugwadu tu hapa, hujui tu.”

IRYN: “Kwamba kwa kazi iliyofanyika usiku kucha bado unataka tena.?”

MIMI: “Ndio nataka tena”

IRYN: “Kwasasa mimi bhasi umenichosha sana na tunakwenda na usafiri gani.?”

MIMI: “Nimekuja na gari ya kutupeleka huko nimeazima kwa Aggy yule best yangu wa jana.”

IRYN: “Ulinambia anafahamiana na mama J hawezi kumwambia uko na mimi huku?”

MIMI: “Atakuwa amezidi mipaka sidhani kama atafanya hivyo.”

IRYN: “Insider nivaaje?”

MIMI: “Kwa mazingira tunayokwenda vaa skin jeans na raba zako za Airforce.”

IRYN: “Sawa nimekuelewa.”

Ndani ya muda mfupi Iryn alikuwa amevaa tayari na alikuwa kavaa skinny jeans ya blue, raba ya Airmax ya blue bahari na shortsleeve nyeupe na kiunoni alikuwa kajifunga waist bag bila kusahau cap ya kaki.

Tulitoka pale hotelini saa 5 asubuhi hata chai hatukunywa na tulianza safari ya kwenda Kondoa, ulikuwa ni mwendo wa masaa 2 mpaka tunawasili Kondoa. Baada ya kuwasili Kondoa kwenye ile roundabout hatukwenda stand ila tuliishia pale na tukapark gari sheli ipo upande wa kulia.

Baada ya kupark gari pale tulikuwa tunashauriana pale twende wapi, lakini Iryn kwa upande wake alikuwa anataka twende hata kijiji chochote cha jirani akatoe na misaada kwa watu wenye uhitaji na pia akaoyaone mazingira ya bush yalivyo.

Tulishuka kwenye gari ikabidi tuulize watu wenyeji wa maeneo ya pale kuhusu kijiji cha karibu ambapo barabara inapitika vizuri ili twende. Kuna jamaa alitushauri twende kijiji cha Mondo na alisema kwa leo kuna mnada kule hivyo kutakuwa kuzuri sana. Hiki kijiji cha Mondo ni kama unatokea Dodoma ukishafika ile roundabout kushoto unakwenda Kondoa na ukizunguka kulia unakwenda huko Mondo.

Iryn alisema tutafute bank atoe Pesa za kutosha kwaajili ya kutoa na misaada huko tunakokwenda. Kama unakwenda Kondoa mjini/stand kwa mbele kidogo kushoto kuna Bank kubwa tu iko maeneo yale, hivyo tuliingia na tukatoa pesa. Na alitoa million 5 na tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijiji cha Mondo.

Tulitumia kama dakika 40 kuwasili pale kijijini na tuliulizia serikali ya mtaa tukapelekwa mpaka kwa Mtendaji, lakini alikuwa hayupo na walisema amekwenda kwenye mnada ikabidi tuombe watupeleke huko mnadani.

Baada ya kuwasili pale mnadani palionekana kuwa busy na watu wengi sana na ulikuwa ni uwanja mkubwa ambapo bidhaa mbalimbali zilikuwa zinauzwa pale, nadhani minada ya vijijini mnaijua inavyokuwa.

Yule baba tuliyekuwa tumeongozana naye alituambia tusubiri anakwenda kumuita mtendaji, kwa upande mwingine watu walikuwa wakituangalia sana, hasa wamasai walikuwa wanamshangaa sana Iryn. Kwa upande wa Iryn yeye hakuwa na shida bali alikuwa anawafurahia sana na kile kitendo kiliwavutia wakanza kumiminika pale na akawa anapiga nao picha.

Baada ya dakika 10 yule baba alirudi akiwa ameongozana na watu wawili na kwa upande wao walionekana kuwa na wasiwasi sana sijui walidhani sisi ni watu wa system.

“Mzee shikamoo mimi naitwa Insider na huyu dada anaitwa Iryn, tumekuja hapa kijijini kwako kwaajili ya kutembea na pia kutoa misaada kwa watu wenye uhitaji. Nafahamu fika hawa watu wenye shida unawajua vizuri mpaka nyumba zao.”

Mtendaji baada ya kusikia hivi alipata amani maana alikuwa anaonekana kuogopa sana.

“Karibuni sana vijana wangu hawa watu ni wengi pia kuna mzee anaumwa sana anakosa pesa za matibabu nafikiri tutaanza na huyu, ila naomba niwatembeze kwanza kwenye mnada wetu mjionee.”

Tulianza kutembezwa kwenye ule mnada na kuna sehemu tulipita walikuwa wamechinja mbuzi, kondoo na ng’ombe wa kutosha na walikuwa wanachoma. Tulinunua pande la mbuzi kubwa la kuchoma aisee! niseme sijawahi kula mbuzi mtamu wa kuchoma kama yule, wale jamaa wanachoma nyama kwa chini, yaani mkaa unawekwa chini juu kuna kuwa na kichanja cha wavu, nyama inabanikwa inaiva taratibu, ni mafundi hatari.

Tuliweka odda ya kubanikiwa paja mbili za mbuzi na sisi tukaondoka kwenda kuwaona wahitaji na tulianza na huyo mzee ambaye alikuwa anaumwa sana na hana msaada. Baada ya kufika kwake kweli alikuwa anaumwa sana hata kuongea alikuwa anashindwa na Iryn palepale akatoa odda apelekwe hospital, na mtendaji alisema apelekwe Kondoa mjini na Iryn alitoa pesa ya usafiri pale.

Tuliendelea Kutembelea watu wengine na Iryn hasa aliwatarget wamama wajane ambao wanahali ngumu za maisha na wazee. Tulitembelea watu wengi sana mpaka akasema bhasi inatosha maana pesa ilikata, ukweli kule vijijini kuna watu wanashida sana. Niseme vijijini kuna watu wanashida sana na wanakosa msaada jamani, tujenge mazoea ya kwenda huko vijijini kuna watu wana hali mbaya sana na wanaishi maisha magumu.

Tulipewa jogoo 4 mpaka zingine tulikuwa tunazikataa maana hatukuwa na pakuzipeleka hatahivyo hao jogoo wa4 nilipanga kumpa mzee Mollel na akina Maggy. Tulirudi mnadani kuchukua mbuzi wetu na wamasai walivyotuona walikuja spidi na Iryn aliwapa 20,000/= kila mmoja na walikuwa 7 muda huu, ofcourse walifurahi sana na akapiga picha nao tena ya pamoja.

Ilikuwa jioni tayari hivyo tuliondoka na Mtendaji kwenda Kondoa mjini na baada ya kuwasili pale hospital tulikuta mzee anahudumiwa na alikuwa kalazwa.

Iryn alinambia tutafute Atm ya karibu tutoe hela tena maana alikuwa kaishiwa na mimi nilimshauri tutafute wakala inaweza kuwa uhakika kuliko kwenda ATM kutoa.

Baada ya kutoa Pesa Iryn alimuita Mtendaji pembeni akamkabidhi laki tano (5) kwaajili ya malipo ya mgonjwa kwa kipindi chote atakachokuwa pale hospital pamoja na dawa na gharama zingine zitakazo jitokeza.

Wakati tunaondoka alimuita pembeni dada ambaye ndo mtoto wa yule mzee mgonjwa na alikuwa anaongea naye pembeni na niliona anatoa pesa anamkabidhi, muda huu mimi nilikuwa kwenye gari.

Muda ulikuwa umekwenda sana na sisi kwa upande wetu hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliwaaga pale na Mtendaji aliishia kutushukuru sana na tulibadilisha namba za simu kwaajili ya kujulishana maendeleo ya mgonjwa. (Yule babu alipona na anaendelea vizuri na afya yake, na christimas mtendaji alinitumia mbuzi mkubwa kwaajili ya sikukuu.)

Wakati tuko barabarani tukirudi Dodoma Mjini Iryn alionekana kuwa na furaha sana muda huu na alinambia toka maisha yake yote hajawai kutembelea maeneo ya vijijini kama haya na leo ilikuwa surprise kwake.

Saa 1 usiku ilitukutia pale mipango na mimi nilimpa bodaboda Kuku awapeleke kwa Mzee Mollel maana alikuwa amenipa namba zake za mawasiliano. Baada ya hapo tulikwenda kwanza site kuonana na Maggy maana alikuwa ameanza kuhamia na nilimpa Zawadi ya Jogoo.

Kwa upande mwingine nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia ile nyumba na yeye nilimpunguzia kodi kidogo maana ni ndugu yangu na tumetoka mbali. Maggy alisema usiku huuhuu atakuwa amekamilisha kuhamia na mimi nilimwambia kesho tutakuja kushinda naye kabla ya kurudi Dar, na alisema hataenda kazini.

Baada ya kuachana na Maggy niliwasiliana na Aggy ili tuonane pale Golden Fork na baada ya kuwasili pale nilimkuta ananisubiri na nilimpa kuku yake na gari ilikuwa full tank.

MIMI: “Umenipa gari haina wese ila imerudi iko full tank na Jogoo juu.”

AGGY: “Mimi sinaga shida na wewe maana nakujua hunaga baya mshikaji wangu. Naamini kila kitu kimekwenda sawa huko.”

MIMI: “Yeah tunashukuru Mungu na kesho tunaondoka jioni lakini.”

AGGY: “I hope nitakuona before hujaondoka nikupe na kampani, pia kuna jambo nataka tuongee.”

MIMI: “Sawa dada wa system.”

Tuliishia kucheka pale na tukaagana kwa kukumbatiana na sisi tukaingia ndani kupata chakula, hii siku tulishindia nyama tu, toka tunatoka kule Mondo tulikuwa tunakula zile paja za mbuzi.

Baada ya kupata dinna tulirudi hotelini kwaajili ya kulala, Iryn alionekana kuchoka sana na baada ya kufika hotelini tulipitia pale reception kutoa taarifa za kuondoka kesho.
******

Jumanne ilikuwa ni safari ya kurudi Dar ambapo tulitarajia kuondoka Dodoma na ndege ya jioni na ile asubuhi baada ya kuamka tulijiandaa, tukapata breakfast na tulikwenda kwa Maggy kupoteza muda.

Baada ya kuwasili pale tulikuta Maggy anaweka mambo sawa na alikuwa amehamia tayari na kwa mara ya kwanza nilimkuta yuko na dada wa kazi. Maggy baada ya kutuona alifurahi sana na akatukaribisha ndani,

“Insider karibu kwenye nyumba yako.”

“Hahahaa Ahsante sana Maggy now is yours.”

“Kuna mtu pia ameingia huko juu bila shaka utakuwa na taarifa.”

“Dalali alinipa taarifa tayari, ngoja niende nikamsalimie.”

Nilikwenda kuonana na dada na nilikuta yuko nje kibarazani, nilimsalimia pale na mimi nilijitambulisha kama mwenye nyumba na yeye alishangaa sana kuona kijana mdogo namiliki mjengo na nilimpa mkataba wake wa kupanga kwa niaba ya mme wake.

Tulishinda na Maggy hii siku na nikamsaidia kumchinja yule jogoo na kumuandaa kabisa maana yeye alisema anaogopa kuchinja kuku. Mchana tulipata lunch ya pamoja na muda huu nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia nyumba, ofcourse namuamini sana Maggy.

Saa 10 jioni tuliaga pale na Aggy alikuwa amekuja kutufuata na akatupa ride mpaka hotelini tukachukua mabag yetu na akatupeleka mpaka Airport. Wakati tunasubiri kucheck-in muda huu tulikuwa tunazungumza na Aggy Kuhusu jambo lake alilotaka kunambia na baada ya hapo tuliagana.

Na kwa upande wetu hatukaa sana pale bali tulicheck-in kuanza safari ya kurudi Dar na wakati tuko kwa flight tulikuwa tunazungumza mambo mengi sana na Iryn na kubwa alinambia amefurahi sana kwa jambo tulilolifanya jana kwani kwake lina thamani sana.

IRYN: “Insider jitahidi sana ufuatilie maendeleo ya yule mzee sawa.?”

MIMI: “Usijali bossy wangu hilo ondoa shaka hata leo nimeongea na Mtendaji na amenambia meendeleo ni mazuri.”

IRYN: “Nimemtumia Daddy picha za jana amefurahi sana.”

MIMI: “Una roho nzuri sana Mungu ataendelea kukubariki.”

IRYN: “Hata wewe Insider.” Na akanikiss shavuni

MIMI: “Hivi uliniamini nini mpaka ukanipa Atm card yako.?”

IRYN: “Insider nishindwe kukuamini kwa vitu vidogo kama Pesa? ni vingapi unafanya peke yako.?”

MIMI: “Hata hivyo upo vizuri sana kama ni Pesa za matumizi tu hizo account zingine itakuwaje?.”

IRYN: “Natumiwa Pesa za matumizi na watu wengi kama Daddy, Mama Janeth, Mamkubwa, , bado kuna rafiki wa mama ambao wananiingizia pesa nknk,”

MIMI: “Mama Janeth anakupa pocket money?”

IRYN: “Mimi ni kama mtoto wake au umesahau yule ni mama mlezi wangu? afu Kwanini umetoa pesa ndogo sana na mimi nilikupa uhuru wa kutoa kiasi unachotaka.”

MIMI: “Ningekuwa mwizi kutoa kiasi ambacho sikuwa na shida nacho hata hivyo nashukuru sana mummy.”

Tuliwasili JNIA na lilikuwa usiku tayari hivyo nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka home. Baada ya kuwasili pale kwake tuliingia ndani na yule mama Mlinzi baada ya kutuona alikuja kutusalimia lakini niliona target yake kubwa ilikuwa ni Iryn,

“Mama samahani sana afu nilisahau nilipata emergence ya haraka ungenipigia tu simu.”

“Nilijua tu utakuwa umepata dharura na sikutaka kukusumbua.”

“Mwanao hawaja msumbua shule?”

“Hapana kwakweli niliongea na mkuu wa shule.”

“Sawa ngoja nikupe kabisa sahivi nisije nikasau tena.”

Na mimi niliamua kuingia ndani na mabag maana mazungumzo ya pale yalikuwa hayanihusu na niliwaacha pale nje wakiendelea kuongea.

Baada ya dakika 5 Iryn aliingia ndani na akaenda moja kwa moja jikoni akarudi seblen ameshika chupa ya wine na glass 2 na tukaanza kuinywa pale,

IRYN: “Insider ni jambo gani ambalo hulipendi kutoka kwangu.?”

MIMI: “Achana na biashara zako za Massage”

IRYN: “Ndo hilo tu hulipendi?”

MIMI: “Yes ukiachana na hili tutakwenda pamoja maana sioni sababu ya kuhangaika wakati Pesa unazo.”

Na muda huu alinisogelea close na akawa ananiangalia pale,

IRYN: “Insider mimi nimeachana na hii biashara kwaajili yako, but naomba uniahidi jambo moja tu.”

MIMI: “What is it?”

IRYN: “Truly I love you, promise me hutakuwa na mwanamke mwingine wa pembeni zaidi yangu.”

MIMI: “Mimi sina mwanamke wa pembeni kwasasa kama ni hili ondoa wasiwasi afu mimi sio mhuni kama unavyoniwazia.”

IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,… aisee ngoja tuishiie hapa kwa leo

4 MORE EPISODES TO GO
Wacha niende bambalaga hapo kuna mtu nionane na
 
Noumaaa nanusuuuu cousin... Dyudyu hainaga ubosiii🤠🤠😂!
Bossi lady kauelewa mziki mnenee wa mwambaa hahahaaa... !
Sema wanaume hawaridhikagi uduguuu!
Pamoja na kuwa na Mtoto mkaree clasyy afu smart full mapenee unaeza shangaa akahangaika na kina sumaiya mcharuko!

Wanaume 🙌🙌🙌!
Boss lady anataka kumiliki jimbo mazima shubaamit
 
Thanksssssss mkuuu naona mamboo yanazidi kuwa mazuri kwa Insaida finally boss lady kaingia kwa himaya yakeee kasarenda na kusaluteeee ariririhhhh!

I told you true love comes with jealous in it hahaha..chezea kukunwa vizuri weyeee lazima usaleeeeeee !
Iryn analeta pigo za sitaki nataka hatimae rasmi katamka kwa kinywa chake yeye ni mali ya insideer


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mi nimependa Utu wa kusaidia na kujichanganyaa na kutojikweza I like that!
Sema alipotaka kumiliki mme wa mtu mazima mi Sijapentaaa!

Mume anauma nyieee!!
Kizuri kula na nduguyo cousin wacha apunguzwe stelesi kidogo..Grizzman yupo mbali
 
Iryn analeta pigo za sitaki nataka hatimae rasmi katamka kwa kinywa chake yeye ni mali ya insideer


Sent using Jamii Forums mobile app
Alitaka nature iplay part yake kwa zile pigo uvumilivu umemshinda kajiripua tu liwalo na liwe !

Sasa Insaida mazoea na wale vijakazi wa boss lady asitishe Asap haipendezi kiukweli na ndiomana Iryn anammind kidizain! Hakinaga mazoea ya kawaida ya simba na swala haoooo hio!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom