Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jaman wewe best funcker, ulivyo mla Iryn tu unaonekana ww ni hatari na utafanya PM ianze kujaa jaman, pole kwa kuchelewa kuanza kuwarusha wazungu shamban ila nahisi umechafua sana godoro na boxer usiku hahah #nimetania
We utakuwa me kweli
 
Usimuuzi INSIDER MAN wanawake hawavai boxer ila huvaa tight na ki'bikin ndani ndio pants hiyo tight
Hata mimi sikumaanisha boxer mkuu, zinaitwa hotpants zipo za jeans, kadeti, kitambaa, nk....hizo ni tofauti na tight au aje INSIDER MAN atuambie ni tight au hii chini
Screenshot_20231007_225445_Google.jpg
 
Mkuu hii si kaptula ya mwendo kasi
ndio mkuu ila wenzetu wanaziita hotpants. Akivaa mdada mwenye nyamanyama kama Iryn ikamkaa ni nzuri sana ila akivaa mwembamba utazichukia na wewe inakuwa kaptura ya jeje kabisa
 
😂😂😂pisi yangu ilivokuwa nyembamba ikivaa hiyo kitu naenda dai mahari yangu siku hyo hyo
ndio mkuu ila wenzetu wanaziita hotpants. Akivaa mdada mwenye nyamanyama kama Iryn ikamkaa ni nzuri sana ila akivaa mwembamba utazichukia na wewe inakuwa kaptura ya jeje kabisa
 
EPISODE 63

PREVIOUS
Kile kibao kiliniingia sana maana alinipiga cha sikio hivyo nilikuwa nasikia “nziii nziii…..”., ukweli sikuamini kama Iryn angenipiga kibao cha nguvu kama kile. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki maeneo haya maana ningeleta matatizo zaidi hivyo niliamua niondoke.

WARNING, PARENTAL ADVISORY UNDER 18s EXPLICIT CONTENT.
(KAMA UMRI WAKO NI CHINI YA MIAKA 18, TAFADHALI USISOME.



CONTINUE

Wakati nakaribia mlango wa seblen Iryn alikuwa anakuja kwa spidi kwangu huku akitoa sauti ya kuniita,

“Insider stop please, I am sorry, where are you going?…. I feel bad about what happened.” It wasn’t me. I am sorry, please don’t go.”

Muda huu hata mimi nilikuwa pia na hasira sana na ile nataka kufungua mlango wa seblen ili nitoke aliniwahi akanivuta afu akasimama mbele yangu, dizaini kama ananizuia nisitoke.

“I’m really sorry and I don’t know why I hate you”.

“Yaani umenipiga na kibao cha nguvu kama kile afu unataka kunambia ni bahati mbaya?, embu nipishe before sijakubadilikia hapa.”

“Insider unajua ni namna gani unaniumiza?, ndomana nakuchukia.”

Kwa upande mwingine machozi yalianza kumtoka taratibu na yakaanza kushuka mashavuni, kwa upande wangu ilibidi nimsogelee na nikamshika mashavu yake ya kulia na kushoto kwa mikono yangu na nikaanza kumfuta machozi kwa viganja vyangu.

“Iryn reason ya mimi kuja hapa nilitaka tukae chini tuongee lakini ulichofanya kwangu sio heshima hata kama una hasira, umenikosea sana.”

Muda huu tulikuwa tukiangaliana tu maana yeye alikuwa bado ameegemea mlango na mimi kwa upande wangu nilikuwa bado nimemshika mashavu, lakini nilikuwa bado namfuta machozi kwa vidole gumba vyangu.

Tuliendelea kuangaliana pale na hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake na muda huu nilijikuta mapigo ya moyo yameanza kuongezeka taratibu. Kufumba na kufumbua nilijikuta lips zangu zikishambuliwa na zilikuwa zikitekenywa na ulimi wake na alizungusha mikono yake nyuma ya shingo yangu na akanivutia kwake. Lilikuwa ni shambulio la haraka sana na mimi nilimkamata barabara, na tuliendelea kuchapana makiss huku tuna badilishana mate. Zoezi liliendelea pale mlangoni kwa muda mrefu na niseme mate niliyokuwa nakunywa hapa ni matamu balaa na nilitamani niendelee kuyanywa maana mrembo ana kinywa kisafi afu kinanukia vizuri bado lips zake ni laini sana, nyie acha tu.

Zoezi likahamia kwenye coach na hapa sasa nikaanza kupenyeza mkono wangu kwenye boobs zake, kwanza alikuwa amevaa “sport braa” ile kuipandisha kwa juu nakutana na vifuu ya mviringo afu yamesimama wima. Kwanza nilikuwa siamini bado hivi ni mimi kweli?, nyie ilibidi niyatizame matiti yake vizuri na nilikuwa nashangaa jinsi yalivyo mazuri, kwa upande mwingine Iryn alikuwa akiniangalia tu kwa macho yaliyolegea sana ni kama alikuwa ananipa green light ya kuendelea na zoezi.

Kwanza nilisema sitakiwi kuwa na pupa maana nitaharibu hili zoezi, hivyo nilianza kwanza kupitisha mkono taratibu kwenye matiti yake. Niliendelea kuzifikicha chuchu zake taratibu kwa mikono yangu na kwa ustadi wa hali ya juu, nikaanza kuzungusha ulimi wangu taratibu kwenye maungio ya pembeni ya boobs zake na nilikuwa nazungusha kwenye boobs zote na kipindi nafanya haya, nilianza kuona mabadiliko yake kwa kasi na miguno ilianza kusikika kwa mbali. Zoezi liliendelea vizuri na muda huu nilianza kuziminya chuchu zake kwa vidole yaani taratibu na nikaanza kuzichezea chuchu na ulimi wangu na nilivyoanza kuzinyonya miguno ya utamu ilianza kuongezeka kwa kasi na alinishika kichwa akawa ana nikandamiza na hapa nikajua hii ni moja ya sehemu zinazo mpa muwashawasha.

Niliendelea kuzinyonya chuchu zake taratibu na kwa ufundi wa hali ya juu na nikaanza kupitisha ulimi kwenye masikio yake na nikashuka mpaka shingoni, yaani daah hapa nilikuwa nikiona mapigo yake ya moyo yanaongezeka spidi na miguno ya utamu ili endelea kutawala muda huu. Nilikuwa naaply mbinu za KITALIBAN na sikutaka kufanya makosa.

Wakati nataka kupenyeza mkono wangu kwenye pant yake alinizuia kwa kunishika mkono ni kama alikuwa ananiambia “Insider unawahi nini? Mimi ni wako tayari, you need to slow down”. Na muda huu nilimvua ile brah ili zoezi langu lisipate kikwazo, na upande wa juu alikuwa kama alivozaliwa, na nikaanza kupitisha ulimi wangu kwenye tumbo lake kitovuni taratibu, na nikaanza kushuka mpaka kiunoni na zoezi la kuchezea boobs lilikuwa linaendelea kwa mkono wangu wa kushoto. Maeneo ya kiunoni yalikuwa yakimpa muwashawasha sana na alikuwa akihangaika sana na hapa ndo niligundua weakness point yake ilipo, maana alikuwa anainua kiuno chake na dizaini kama alikuwa ana kizungusha kwa kupanda na kushuka na kelele zilianza kuongezeka, muda huu nilikuwa naitwa majina mengi sana (Baby, sweetheart, honey, Darling, Insider) yote yalikuwa yangu.

Alikuwa amevaa pant ya kijeshi na nilifungua kifungo kwa haraka sana muda huu, kwa upande mwingine hata mimi nilikuwa niko sayari nyingine, Iryn naye alikuwa tayari kalaanika vya kutosha na baada ya kufungua pant yake alikuwa ananitazama kwa macho yaliyolegea sana,

“Insider what do you want to do now, f**ck me?”

Na mimi nilimsogelea nikaanza kumnyonya tena mate na muda huu chemchem yake ya mdomoni ilikuwa imejaa maji ya kutosha. Kwa upande mwingine nilipitisha mkono wangu wa kulia na nilianza kutalii ikulu yake, kwanza ch*pi yake ilikuwa tayari chapachapa na baada ya kuanza kutalii kwa pembeni aliinuka,

“Baby, let's go in my bedroom.”

Na tuliongozana pale na yeye akiwa mbele na mimi nikiwa nyuma yake na alikuwa amenishika mkono. Baada ya kuingia chumbani nilikaa kitandani huku miguu yangu imegusa sakafu na nilianza kumvua pant yake taratibu na alikuwa kavaa bikini nyeupe. Damn!, nilijikuta nimeanza kupagawa kwa uzuri niliokuwa nau-ona kwa huyu mwanamke muda huu na ilibidi kwanza nianze kumtizama vizuri kuanzia chini mpaka juu. Palepale nilimvuta kwangu na nikaanza kuyachezea makalio yake na nilikuwa nayabinya binya. Nyie sio poa mtoto ana makalio malaini kama spochi yaani unayabinya huku unasikia raha, uvumilivu ulinishinda ilibidi nimgeuze ili niyatizame live, damn! nilianza kupagawa na nilikunja magoti nikaanza kuyalamba huku nayang’atang’ata na meno na nilimuwasha na kibao cha kimahaba “PAAH”.

Iryn aligeuka na mimi niliinuka nikakaa kitandani, na mimi niliendelea kuyachezea makalio yake huku nayaslap, kwa upande wake alianza kunivua T-shirt yangu na alianza kunichezea mabegani kama ananikanda-kanda na alinipush kitandani akakaa juu yangu na akaanza kuninyonya vichuchu vyangu taratibu na kwa madaha, aisee raha nilizokuwa nazisikia hapa hata ningetiwa risasi nisingesikia maumivu. Alianza kunichezea kifua kwa mikono yake laini afu ya moto na akahamia mgongoni kama ananifanyia massage nyie muda huu nilikuwa Sayari ya Pluto huko raha nilizokuwa napata hapa hata ningeambiwa nihonge nyumba ya Dodoma, ningehonga walahi.

Taratibu alianza kunivua surual yangu ya jeans na alivyomaliza alihamia kwenye boxer na kilichoendelea alianza kuifikicha mashine yangu na viganya vyake laini, na alianza kupitisha ulimi wake taratibu kwenye kichwa na baadae akaanza kuimeza mdomoni. Muda huu ilikuwa zamu yangu kuanza kutoa kelele za utamu, maanina hapa hata ningeambiwa tukana watu wote duniani ningewatukana. Alikuwa ana suck d*ck yangu kwa taratibu na ufundi wa hali ya juu na pale alipokuwa anahisi nataka kupizz alikuwa ananituliza then anaendelea na zoezi lake. Muda huu nilimvuta kwangu na nikamvua bikini yake, sikuwa na papara na nilianza kumchezea paja zake na miguu kwa kupitisha ulimi wangu nyuma ya maungio ya paja zake na nilianza kulamba vidole vyake huku naviweka mdomoni kwa upande wake alikuwa akisikia raha sana na alionekana kupagawa sana.

Niliendelea kumchezea mgongo gently kama namfanyia massage na niliendelea kumchezea ass yake kwa nyuma huku napitisha ulimi wangu kwa ustadi wa hali ya juu. Kwanza mwili wake ulikuwa unanukia vizuri sana, yaani unakupa mzuka wa kuendelea kufanya mashambulizi na nilikuwa napitisha ulimi Kwenye kwapa zake na zilikuwa zinanukia vizuri sana.

Nilimgeuza na nilimtanua miguu yake aisee! nilichokuwa nashuhudia muda huu niseme Mungu anajua kuumba na kuna watu amewapendelea. Kwanza p*ssy mpaka paja zake ni nyeupe hakuna ma-alama yoyote na coochie yake imetuna vizuri ina afya, nilihisi kupaniki sio kwa uzuri wa hii coochie, kwa upande wangu mnara ulikuwa unasoma 5G tayari muda sana.

Muda huu nilimtanua miguu na coochie ilionekana kuwa nyekundu kwa ndani tena safi na alikuwa kashave na the way ilivyotuna nilikuwa nahisi kuchanganyikiwa *****. Muda huu nilijikuta natamani kupiga deki maana coochie ilikuwa ikivutia sana na pia ilikuwa inasmell vizuri sana hata ile harufu/shombo ya coochie nilikuwa siisikii kabisa. Nilipiga deki taratibu pale na nilisogelea antena yake nikaanza kama napiga kigeregere na ndani ya muda mfupi antenna ilisimama wima na muda huu mikono yake ilionekana kukunja kunja mashuka kitandani, kiuno chake kilikuwa kinazunguka kwa mahaba na alianza kucheka muda huu, ilibidi nimtizame kwanini anacheka? Ooh shit! alikuwa kafumba macho anasikia raha na mimi niliendelea kupenyeza ulimi wangu kuingia ndani pangoni kwa ustadi, na muda huu kelele na miguno vilizidi kutawala chumbani.

“Baby please I’m cumming…oooh! ohhh, ash ashh ashhh…”

Na mimi niliendeleza maunyama yangu tena kwa spidi na nilishangaa kuona risasi imeruka usawa wa uso wangu na muda huu alikuwa nyapanyapa,

“Baby please f*ck me… put your d*ck inside..”

“Do you want this d*ck…?”

“Yes babe f**ck me please……”

Na mimi nilimuwekea mto chini na nikamkunja miguu yake na ile nataka kuingiza wazungu walishindwa kuvumilia na walitoka shwaah!. Ooh! shit niliwaza inamaana nataka kumaliza hii game mapema hivi? wakati ndo kwanzaa tuko half-time dakika ya 15 tu, nikasema hapana sitakiwi kupaniki this coochie is mine.

Ilibidi nimkunje vizuri na muda huu nilianza kuchapa antena yake na fimbo huku nasugua na mashine taratibu, ndani ya dakika mnara ulianza kusimama kwa kasi mpaka ukafika 10G na nilindelea kuichapa antena yake huku naingiza kichwa kama nachungulia ndani kuna nini tena natoka, ulikuwa ni mchezo wa muda mrefu mpaka akaanza kuhangaika tena na mimi niliendelea na hili zoezi kwa makini na ustadi wa hali ya juu, kwa upande wake kelele za utamu zilizidi na muda huu kiuno chake kilikuwa kinazunguka kama pia na haikuchukua round aka squirt viliruka vimaji na alikuwa akihema balaa.

Na muda huu niliiweka miguu yake mabegani tayari kwa kuanza mashambulizi ya KITALIBAN na nilisikia akitoa sauti ya taratibu,

“Babe slowly…. Gently…. Please!..”

Na mimi niliingiza taaratibu aisee joto nililokuwa nalisikia humu ndani lilikuwa linafanya mnara uendelee kukumata mawimbi vizuri na nikaanza kupump taratibu na kadri dakika zinavyo kwenda nilikuwa naongeza spidi. Ndani ya muda mfupi chumba kilibadilika maana kelele zilizokuwa zinasikika ni za mahaba na utamu, kwa upande wangu hata mimi nilikuwa natoa kelele sio kwa utamu wa ile coochie. Nilibadilisha style na nikamweka “The Flatiron style” ile analalia tumbo afu unambinua kalio na nilikuwa na hit from the back. Baada ya muda akaja akakaa juu yangu na alikuwa kanipa mgongo asee hapa alianza kuizungusha mashine na alikuwa anaifinyia kwa ndani, muda huu raha nilizokuwa nazipata hapa ni balaa.

Baada ya dakika kadhaa alinigeukia na mimi nikamshika kiuono na yeye aliendelea kufanya mambo yake, na alizidi kuongeza spidi na alinisogelea kunipa ishara niwe namnyonya boobs zake, na kadri nilivyokuwa namchezea na yeye alizidi kuongeza spidi na niliona akianza kutoa miguno tena. Kwa upande wangu na mimi nilianza kusikia wazungu wanagonga hodi na mimi nilianza kutoa sauti maana nilikuwa nasikia raha sana,

“Baby are you cummin…?”

“Yes baby drive it crazy and I want you to f*ck me like it's my last night in this world.”

“Baby I am cummin too…”

“Me too, do you want me to cumm inside?”

“Yes baby….cumm .”

Haikuchukua muda wazungu hao na nilikuwa hoi sana hata yeye kwa upande wake alifunga bao muda huu hivyo tulikuwa tunahema wote kwa pamoja. Kwa upande mwingine alionekana kuchoka sana na aliishia kunilalia kwa juu mpaka tukapitiwa na usingizi, maana ilikuwa ni game ndefu sana.

Iryn ni mwanamke mwenye hisia kali sana za mapenzi na ukimchezea vizuri anapiga bao nyingi na hachelewi kukojoa na tuliishia kulala pale huku tumekumbatiana.

Nilishtuka usiku lakini Iryn alikuwa bado kalala juu yangu ilikiwa ni giza hivyo nilisogeza mkono wangu nikawasha taa za bedsides na muda huu nilianza kumwona live akiwa kalala hoi kwenye kifua changu. Kwanza nilikuwa siamini kama ni kweli nimefanikiwa kumla maana nilikuwa naona kama ni ndoto, sikuwai kuwaza kama kuna siku Iryn atakuja kulala kwenye kifua changu tena akiwa uchi namna hii na mimi muda huu niliishia kumchezea nywele zake.

Kwa upande mwingine niliendelea kushangaa uzuri wake pale na yeye muda huu aliamka,

“Mummy umeamka pole.”

Kwa upande mwingine Iryn alianza kuwa na aibu kwangu na tulikwenda kuoga wote, muda huu tulikuwa tunanyeshewa na bomba la mvua na yeye alianza kuniogesha taratibu na baada ya kuanza kunishika mnara ulisimama tena. Na muda huu uvumilivu ulinishida nikamgeuza nikaingiza na nikaendelea kuhit from the back mpaka akanambia ni stop maana alisema anaumia pia kachoka.

Baada ya kutoka bafuni na kujiandaa nilikuta missed call za kutosha na saa ilikuwa inaonesha ni saa 4 usiku. Kulikuwa na missed call 2 za mama J, Lucy alikuwa kapiga mpaka kachoka, sumaiya naye alipiga, Asmah, Mary na Prisca pia walikuwa wamenicheki, na mimi niliamua kumpigia wife tu.

Baada ya kumpigia wife alikuwa anasema alikuwa ananipigia ili niongee na bibi yake alikuwa anataka kunisalimia hivyo muda umekwenda mpaka kesho, tuliongea masuala mengine ya kule na tukaagana. Nilitoka kwenda seblen na nilimkuta Iryn amelala kwenye coach na akasema yeye hajapika chochote na hawezi kupika kachoka hivyo tuliamua kwenda kula Tripple 7.

Nilirequest usafiri wa kutupeleka maeneo yale maana funguo ya gari ilikuwa na Mlinzi, na haikuchukua muda jamaa alikuja kutufuata. Kutoka kwa apartment mpaka Triple 7 hata sio mbali na baada ya kuwasili pale tuliagiza soup, kwa upande mwingine Iryn alikuwa kimya na alionekana kuwa na aibu sana, kwa upande wangu ilibidi nianze kumsifia pale,

“Mummy wewe ni mzuri sana kwakweli leo nimeenjoy, una coochie tamu sana, una umbo zuri kwakweli unavutia na hii siku itabaki kuwa historia kwenya maisha yangu.”

Kwa upande wake aliniangalia afu akatabasamu lakini hakusema kitu. Tulitumia kama nusu saa maeneo haya na kabla ya kuondoka tulinunua wine 2 na tukarudi home.

Baada ya kurudi home muda huu tulianza kunywa wine na tulikuwa tumekaa kibarazani upande wa nyuma wa seblen tukipulizwa na upepo mwanana wa Bahari ya hindi. Kama kawaida Iryn alikuwa anaona aibu sana hata nikimuangalia machoni alikuwa anapepesa macho.

“Mummy usiniambie leo umeanza kunionea aibu hata kuongea na mimi hutaki, mimi nitaondoka zangu.”

“Don’t go please..”

Iryn alibadilika na alikuwa mpole sana na muda huu aliniangalia na mimi nikamvuta kwangu tukaanza kuchezana ndimi zetu pale kwa dakika kadhaa na tukaendelea kunywa. Baadae kidogo alinambia anakwenda chumbani kulala na nitamkuta huko, na mimi niliendelea kukaa pale mpaka nikamaliza chupa yangu ndo nikaingia ndani.

Baada ya kuingia chumbani nilimkuta kalala na alikuwa kavaa night-dress ambayo ilikuwa ikimchora maungo yake vizuri sana. Baada ya kumwona kalala kizembe kitandani mnara ulianza kisoma frequency tena na ulisimama wima kwaajili ya mashambulizi. Muda huu nilivua nguo nikabaki na boxer nikapanda kitandani, uvumilivu ulinishinda nikaanza kumshika na kuchezea makalio yake na yeye alianza kunichezea mgongo na kifua changu.

Tulianza kubadilishana lita za maji pale kwa kasi sana na mimi muda huu nilianza kuzinyonya chuchu zake taratibu, kwa upande mwingine alikuwa kashalowa muda sana na mlango ulikuwa upo wazi tayari kwa kuanza mashambulizi ya KITALIBAN. Muda huu sikutaka kuwa na madoido sana bali nilitaka kuanza kazi maana AK-47 yangu ilikuwa imesimama barabara tayari kwa mashambulizi.

Nilimbetua nikamweka “Doggy style” na nikaanza mashambulizi ya nyuma na muda huu nilikuwa naenjoy sana kulishika kalio lake laini, baada ya muda kazaa akajiposition kwenda “Leap frog style” muda huu P*ssy was so tight na joto nililokuwa nafeel ni hatari.

Kwa upande wa Iryn yeye miguno na kelele za utamu zilikuwa nyingi sana na baadae alianza kulalamika kuwa amechoka na nina muumiza na alikuwa akihema kwelikweli. Kwa upande wangu nilikuwa nawasikilizia wazungu lakini walikuwa bado hawataki kutoka, hivyo niliendela kuongeza spidi maana nilikuwa nasikia raha sana.

“Baby I am tired you’re hurting me.”

“I’m cummin soon baby I can feel it.”

“Don’t take so long please…”

Haikuchukua muda mrefu na wazungu wakatoka shwaah!, match haikuwa ndefu sana lakini nilikuwa hoi sana na Iryn naye aliishia kulala huku amenikumbatia.

******
Asubuhi baada ya kuamka pale kitandani nilikuwa peke yangu, Iryn alikuwa kanitangulia kuamka, nilicheki muda na ilikuwa saa 3 asubuhi na kwa upande mwingine Mama mlinzi alikuwa kanipigia simu. Nilim-call back na kubwa alikuwa anataka kunikabidhi key ya gari, kwa upande wake hakuwa na maswali sana maana kama mtu mzima alikuwa kashaelewa kilichokuwa kinachoendelea. Nilimshukuru sana kwa kunipa ruhusa na nilimwambia tumeyajenga tayari na kwa upande wake alifurahi sana kuzisikia hizi taarifa. Huyu mama mlinzi ni tunapatana sana kwakweli hizi elfu 10, 20 nampaga sana ndomana hakusita kuniruhusu kuingia ndani.

Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nikasema nivae nguo kabisa lakini cha ajabu sikuziona nguo zangu na nilitafuta kote sikuziona. Nilitoka chumbani kwenda seblen na Iryn alikuwa jikoni anapika na baada ya kumuuliza nguo zangu akanambia amezifua,

“Mummy sasa naondokaje?”

“Utabidi usubiri zikauke sawa? Nisingeweza kukuruhusu utoke na nguo chafu pia nataka mchana twende wote ofisini.”

“Sasa mbona umesahau kufua boxer?”

“Ulikuwa umeivaa afu sikutaka kukuamsha maana kama kazi jana umeifanya, leo ndo nimejua kwanini mama J anakupenda sana.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kusema ilibidi niwe mpole tu na nilikaa seblen nimetulia na boxer yangu kama baba mwenye nyumba. Baada ya dakika fupi niliandaliwa soup dining na alikuwa katengeneza na chapati za maji, tukawa tunakula pale kwa leo hakuwa na aibu kabisa na tulikuwa tunaongea sana,

“Mummy wewe ni mtamu sana nimetembea na wanawake tofauti ila wewe ni kiboko hata hukinai.”

“Insider unajua umenichubua sana jana usiku, hata kukojoa tu nasikia maumivu.”

Ukweli hata mimi muda ule nilikuwa nasikilizia maumivu maana mashine yangu ilikuwa inauma balaa,

“Pole sana si unajua na ugwadu sana wife hayupo.”

“Na mdogo wake Mary mwenye mimba yako?”

“Prisca hana mimba yangu lakini ukweli alikuwa mchepuko wangu.”

“Insider nilikuwa nawasikia vizuri mnavyoongea hivi mama J akizipata hizi taarifa atajisikiaje?”

“Iryn ukweli yule demu hajui kinachoendelea kati yangu na Prisca, ni kwamba Prisca Mimba iliharibika toka kipindi kile niko Dodoma hata home nilikwenda sababu ya hili na ilibidi niongee na mama.”

Na muda huu nilijifanya kama nimeumizwa sana na lile tukio hivyo niliinuka nikaacha kula nikaenda kukaa kwenye coach, muda huu Iryn naye aliinuka akaja kwenye coach.

“Insider pole what happened?”

“Hata sijui mimi nilipigiwa simu na Mary na akanipa hizi taarifa ila mama yake anasema Prisca ana matatizo yake binafsi kwenye uzazi.”

“Mhh! haimake sense watakuwa wametoa. Na alikuwa anajua kuwa una mke?”

“Na ndo kitu cha kwanza kumwambia before hatujaamua kuwa kwenye mahusiano, na kusema wametoa mimba sidhani kama wamefanya hili maana imeharibika ina miezi 3. Hata hivyo ilitokea bahati mbaya kwanza najuta sana kuingia naye kwenye mahusiano na huyu mwanamke lakini haya yote alisababisha mama J, mpaka nikaanza kuchepuka. Tumeachana hata hivyo.”

“I don’t trust you, since nikutane naye pale Palm village I knew nyinyi ni wapenzi ila ulinikatalia, nimekuja kujua live lakini bado unanidanganya.”

“So you don’t trust me?”

Nilitoa simu yangu kumuonesha chats zake alizokuwa ametuma kuhusu kuniomba nisimwache na yuko tayari kufuata sheria zangu zote. Iryn baada ya kuziona zile texts za Prisca alianza kuhuzunika na alikuwa anatoa kejeli,

“So mmeachana jana?”

“Jana ndo ilikuwa officially ila nilimwacha toka sakata la mimba litokee sema sikutaka kumwambia direct kipindi kile maana ningeweza kumsababishia matatizo ya kiafya.”

“Okay but sidhani kama mtaachana maana anaonekana bado anakupenda na hataki kukupoteza, unajua baada ya kusex na wewe nimebaini kwanini hawa wanawake wanakupenda?. Kwa muda mrefu nilikuwa najiuliza sana haiwezekani akina Lucy, Sumaiya, Asmah na huu mchepuko wako wakung’ang’anie hivi, Insider You’re fuckin’ beast.”

“Kwahiyo unataka kusema nimetembea na rafiki yako Lucy? na Asmah bado unaamini?”

“Atleast can I trust Lucy but not for Asmah, najua mnakutana kwa siri hata kwenye apartment yake huwa unakwenda, hizi taarifa nazipata.”

“Sio kweli na huyo anayekwambia haya anakudanganya mummy, mimi na Asmah hatuna kitu chochote tunachofanya, kuwa makini sana yasijekuwa kama ya Muajemi.”

“Tuachane na haya, mama anasemaje kuhusu hili suala la huyu b*tch?”

“Mama alimind sana na alinisitiza sana tuachane before it’s too late.”

“Kwa upande wako ulikuwa tayari kuwa na mtoto wa nje? na vipi kama mama J angejua unafikiri ingekuwaje?”

“Ndio nilikuwa tayari maana mtoto ni baraka na kuhusu mama J ningekuja kumwambia hata badae huko nadhani angeelewa tu, maana yeye ndo aliyasababisha.”

“Insider kwa hili pole sana, nimekuonea huruma ina onekana lilikuumiza sana but kila kitu ni mipango ya Mungu huwezi jua pia alikuepusha na nini, twende tukale.”

“Na siku ile ulitaka kuongea nini?”

“Hata usithubutu kutaka kuniuliza kuhusu ile siku maana uliniumiza sana, na pia naomba kwa hiki tulichofanya ibaki kuwa siri yetu na hakitakuja kujirudia tena, ni accident hata sijui imekuaje tumesex.”

“Sawa haina shida mimi sijakuforce kunipa coochie ni wewe uliyenipa kwa ridhaa yako, nafurahi leo nimeweka historia ya kumla moja ya mwanamke mrembo hapa Duniani. Hii siku sitokuja kuisahau hapa Duniani mpaka nakufa, nashukuru sana kwa kunitunuku mummy, mimi naheshimu sana mawazo yako, najua unanipenda sana lakini una act like you don’t care.”

“Insider una vituko sana wewe.”

“Naona furaha yako imerudi maana jana umepiga bao nyingi sana.”

“Mimi naenda kulala mpaka naamka nguo zako zitakuwa zimekauka.”

Iryn alikwenda kulala na mimi nilikuwa nimekaa pale seblen na muda huu nilikuwa nawaza “ni nani ambaye anampa Iryn udaku?, Maana mimi na Asmah tunakutana kwa siri sana, hapana hili lazima nilifanyie kazi na nitaanza research.”

Kwa upande mwingine utamu wa Iryn ulinipagawisha na nilijikuta natamani kuendelea kuwa naye maana utamu nilioupata ni wa kipekee, hivyo niliona bora nimtongoze tu ifahamike moja maana hata yeye ananipenda maybe anasubiri mimi nimfungukie. Ukweli nilikuwa nimetembea na wanawake tofauti lakini sio sana maana mimi sio muhuni, lakini Iryn ana utofauti sana asee ni mlaini, ananyumbulika kitandani, anajua mapenzi afu coochie yake ni hot, Prisca alikuwa ananipagawisha lakini Iryn funga kazi. Naomba tuishie hapa, that night was crazy.

BETTER LATE THAN NEVER

Drake- Virginia Beach

ITAENDELEA
Nimependa ulivoandika kiundani unavomkaza iryn😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom