Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,165
🤣🤣🤣jamaa mzee wa chengaNa vipi kuhusu hali ya kuweweseka kwa Bwana Insider siku kadhaa baada ya kifo cha Mzee Pama....Usiku alikua anamuota sana na kuweweseka
Siku atatuambia "Ile nataka kumvua bra Iryn , ghafla nikasikia simu ikiita, kucheck alikua ni Mama J, nikakuta na ujumbe wapo Mloganzila Junior kameza kijiko" na utaamini
Story nyingi zile za vijiwe by kahawa kariakoo na posta