Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Niendelee na game ss ya Laliga..... Maana inaonesha hata huyu bossy lady hataliwa maniaje till the dawn.....
 
EPISODE 61

CONTINUE

Niliwasili pale Hospital Massana na nilimkuta Mama wa2 amelala kwenye bench ilibidi nisogee mpaka usawa wake afu nikamshika mkono. Mama wa2 baada ya kuniona alifurahi sana kwakweli maana alikuwa peke yake pale na nilijikuta napatwa na huruma.

“Mama mkwe shida ni nini? Na upo peke yako.”

“Bora hata nimekuona kama unavyoniona hapa niko peke yangu, dada amekwenda kuandaa uji.”

Mama wa2 alinambia Rachel alianza kuumwa kama homa na ghafla hali ilizidi kubadilika ndo kumpeleka pale Massana Hospital, na wakasema itabidi alazwe kwaajili ya uangalizi.

Na mimi niliendelea kukaa na mama wa2 pale kwenye bench na aliishia kulala huku ameegemea kwangu. Saa 11 alfajiri nesi alitoka akasema anaweza kwenda kumuona mtoto na tulikwenda pamoja ndani kwa upande mwingine Rachel hali yake ilikuwa imeanza kurudi sawa.

Muda huu pia dada alikuja na uji hivyo nikapata sababu ya kumuaga mama wa2 pale maana nilitakiwa kwenda Bagamoyo kumuona Bint yake Pili kama nilivyo muahidi. Tuliagana pale na Mama wa2 na alisema atanitumia Pesa za kumnunulia vitu vya kumpelekea.

Nilirudi home kulala maana nilikuwa nimechoka sana, asubuhi niliamshwa na simu ya Iryn na alikuwa akiulizia maendeleo ya mtoto na alisema badae anahitaji twende Capetown Fish Market, na mimi nilimwambia kwa leo itakuwa ngumu maana nitakuwa na mgeni wa kumpokea Airport.

Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 4 asubuhi hivyo nilijiandaa haraka ili niende Bagamoyo kwa Pili. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa anatarajia kuingia saa 11 jioni pale JNIA akitokea Ethiopia.

Nilitoka pale home lakini mipango yangu kichwani nipitie kwanza ukweni nikawasalimie na niwape pole ya msiba maana mama yake alikwenda Moshi sababu ya Msiba. Nilipitia kwanza pale Sokoni Nyuki na nilinunua mazaga ya kupeleka pale ukweni na niliendelea na safari yangu.

Baada ya kuwasili pale ukweni niliwasalimia wote na nilikuwa na mazungumzo private na wife lengo kubwa nilitaka arudi home ili Manuel akija kusalimia amkute pale home na Junior.

Kwa upande mwingine wife alikuwa na safari ya kwenda Moshi kutoa pole maana yeye hakwenda Msibani, hivyo nilimwomba aende alhamis na nitamkatia ticket ya ndege. Nilitumia kama lisaa pale ukweni na niliwaaga nikaondoka kuelekea Bagamoyo maana nilikuwa nakimbizana na muda.

Baada ya kufika Bunju mwisho ilibidi ninue baadhi ya mazaga ya kumpelekea Pili. Ulikuwa ni mwendo wa lisaa mpaka nawasili pale shuleni na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kuomba kuonana na Pili.

Pili baada ya kuitwa na kuniona alifurahi sana na aliishia kunikumbatia na tulitafuta sehemu nzuri tukakaa na tukaanza story pale. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu kwenda Mwanza kwa Baba yake na masuala ya masomo pia. Nilitumia kama lisaa kukaa na Pili na ilibidi nimuage pale ili niwahi kwenda Airport, kwa upande wake alifurahi sana hii siku.

Saa yangu ilikuwa inasoma saa 9 wakati natoka pale Bagamoyo hivyo niliendesha gari kwa kasi sana mpaka nafika pale JNIA terminal 3. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa amewasili tayari pale JNIA na alikuwa akinisubiri mimi tu.

Baada ya kuingia ndani tulionana na Manuel na tuliishia kukukumbatiana kihuni pale na hao tukaanza safari ya kwenda Mbezi Beach. Manuel alikuja Tanzania kwaajili ya masuala ya kazi na alikuwa anatarajia kuondoka jumamosi na mimi ndo nilimshauri akae hotel ya jirani ili iwe rahisi kumfuata na kumrudisha.

Ramada Hotel ndo sehemu ambayo Manuel alifanya booking na baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka room kuweka mabag na baada ya hapo tulikwenda kupata Dinna.

“Man I’m very happy to see you again.”

“Thank you brother how about Alex, Olivia & Sophie?”

“They’re fine so where are we going tonight? I want to party crazy.”

“On sunday the best place to go and we gonna party crazy is Kidimbwi beach.”

“Alright brother let’s go!”

“Do you remember that place?”

“I remember bro! We went crazy that day.”

“Yeah.”

Tuliondoka kwenda Kidimbwi na baada ya kuwasili pale tulikwenda kukaa upande uleule wa siku ile. Tuliagiza vinywaji pale kwa upande wangu kama kawaida nili odda heineken na Manuel aliagiza Vodka bila kusahau mishikaki.

Dada hakuchelewa kutuletea vinywaji na tulianza kukimbiza pale taratibu na muda huu story zilikuwa zimetawala na vicheko. Kwa upande mwingine nilikuwa namuona Manuel yuko makini sana kuangalia pisi. Kwa upande wake kuna pisi aliipenda na alinionesha hivyo nikamwambia mhudumu akija tutamtuma akamuite.

Baada ya mhudumu kuja kuangalia mazingira pale, Manuel alimtuma akamuite dada, kwa upande mwingine ilibidi yule dada ageuke atizame ni nani anamuita na Manuel alimpungia mkono. Dada alikuja kumsikiliza Manuel na waliongea kama dakika 5 hivi, kwa upande wa dada alionekana kuingia line, lakini nilishangaa kuona dada akiondoka.

“Bro what happened? where’s she going?”

“Don’t worry Bro, she’s coming soon.”

Na tuliishia kucheka wote muda huu na tukagonga cheers.

Kama mnakumbuka episode za mwanzoni kabisa nilisema nitawaambia kuhusu Manuel, ni hivi jamaa ni mtu wa mademu sana anapenda p**sy balaa tena yeye anazikubali sana pisi za kiafrica. (Ref: Episode 3)

Baada ya nusu saa yule dem alikuja na Manuel alimwambia aagize kinywaji anachotaka na aliishia kuagiza savanna. Kwa upande mwingine mimi nilikuwa hoi sana maana toka jana nilikuwa sijalala kabisa, hivyo ilivyofika saa 7 tuliondoka maeneo yale na Manuel alikuwa na Pisi yake mpya.

Niliwapeleka mpaka Ramada na mimi nilirudi kulala home na ile asubuhi mapema nilimtumia mama wa2 ujumbe kuwa sitoweza kwenda kumchukua hivyo afanye kurequest usafiri wa kumpeleka kazini.

*******
Saa 4 asubuhi mama J alirudi nyumbani na alianza kufanya usafi wa nyumba pamoja na kupika.

Saa 6 mchana nilikwenda Ramada kumchukua Manuel ili aje home na nilimkuta bado yuko na ile Pisi ya Kidimbwi. Nilimsubiri kama lisaa hivi ndo walitoka na yule dada alikuwa amerequest usafiri na sisi tuliondoka kwenda home.

Wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story za jana na kubwa alikuwa anasema yule mwanamke aliyerudi naye ni amemburudisha sana.

“How much have you paid for sex?”

“Bro! I don’t pay for sex, I just gave her $20 for transport, I’ll meet her again on friday.”

Ilibidi nicheke tu maana Manuel aliongea mambo mengi sana.

Baada ya kuwasili home nilimkaribisha ndani na baada ya kuingia seblen alimkuta Junior anacheza pale na aliishia kumnyanyua na kuanza kucheza naye. Kwa upande mwingine mama J naye alikuja seblen pale na mimi nilifanya utambulisho mfupi pale na tulikwenda kupata lunch.

Tulitumia kama masaa 4 home na wakati wa kuondoka tulipiga picha ya pamoja na familia yangu na nikamrudisha Ramada akapumzke, maana alisema toka arudi na dada hakupata muda wa kulala.(Siku ukibahatika kuja kwangu hii picha iko seblen).

Baada ya kumrudisha pale Hotelin tuliagana na mimi nilirudi home na nilishinda pale nikicheza na Junior. Jioni mama wa2 alinipigia simu na aliomba usiku tuonane pale kwake akirudi kazini, kwa upande mwingine toka niende kwa Pili shuleni hata hatukuweza kuonana bali tuliishia kuwasiliana tu kwa simu.

Usiku nilikwenda kuonana na mama wa2 na hii siku nilikwenda na Junior, baada ya kuwasili kwake niliingia ndani na Rachel baada ya kumuona Junior aliishia kufurahi, na alikuwa akiendelea vizuri. Haikuchukua muda mrefu mama wa2 naye alitoka pale seblen na tukaanza mazungumzo.

“Mkwe mambo naona leo umeamua kuja na mme wetu.”

“Alikuwa ananililia sana nimeona nije naye tu, si unajua nimehamia makazi mapya hata sio mbali na hapa”.

“Itabidi nije nipafahamu makazi mapya.”

“Karibu anytime, kwanza samahani maana jana nilibanwa sana hata nikashindwa kuja nyumbani ili nijue hata maendeleo ya Rachel.”

“Rachel kama unavyomuona hapo amepona tayari ila bado anaendelea na dozi, labda wewe unipe ripoti za Pili huko shuleni.”

“Pili yuko sawa na anaendelea vizuri kutokana na maneno ya matron wake.”

“Alikuwa anaumwa ndomana nilikuomba uende ukamwone na nilitamani tungeenda wote lakini ndo Rachel akaanza kuumwa.”

“Usijali mama mkwe mimi nilikuwakilisha na amefurahi kuliko hata ungeenda wewe, yaani ningekuwa sijaoa Pili angekuwa mke wangu.”

“Na mimi ningekupa bure kabisa na harusi ninge gharamia.”

Tulikuwa tunacheka pale na muda huu mama wa2 aliinuka kwenda ndani na baada ya dakika alirudi pale seblen akiwa ameshika bahasha kubwa ya kaki na akanikabidhi pale.

“Mkwe hizo ni zile Pesa ulizoomba nimekopa kwenye kikundi chetu na hapo tutatakiwa kulipa riba ya 5% kwa miezi 6, vipi kwa upande wako.”

“Mama mkwe mimi nashukuru sana miezi 6 ni mingi nitajibana na kamshahara nako pata niwe nalipa hili deni.”

“Usijali wewe kama unakwama unakuwa unasema tunasaidiana marejesho, nakuamini sana.”

Nilimshukuru mama wa2 kwa kunipigania kupata zile pesa na nilimuaga pale nikaondoka na Junior, Kwa upande mwingine mama wa2 alinambia weekend hii atahamia kwake na pia ameomba emergence ya week 1 kwaajili ya kukamilisha suala hili.

Kwa upande wangu nilikuwa na furaha sana kwa kupata hizi pesa na baada ya kurudi home sikutaka kuchelewa na nilimpigia simu Mzee Mollel ili nimalize vipengele vyote.

Kwa upande mwingine toka sakata la ugomvi wangu na Prisca litokee hakuwai kunitafuta na mimi niliamua kula buyu.

*******
Asubuhi nilikwenda kumchukua Manuel na alikuwa anakwenda Masaki kwaajili ya masuala ya kikazi, hivyo baada ya kumdrop na mimi nilikwenda ofisini kuweka mambo sawa then nikaenda Mikocheni kuendelea na majukumu mengine.

Kwa upande mwingine kulikuwa na mzigo unatarajia kuingia jumatano na Agent alikuwa kanipigia simu kuuliza kama tulifanya malipo before hajakwenda kufuatilia masuala mengine na mimi nilimwambia asubiri kwanza niwasiliane na Bossy.

Baada ya kuwasiliana na Iryn alinambia alishafanya payment na risiti ananitumia soon pia alisema saa 7 mchana niende kwake nikamchukue ili twende kigamboni kwenye zile Apartments.

Muda ulivyotimia nilikwenda kumchukua pale kwake na tuliondoka kwenda Kigamboni na wakati tuko njiani alikuwa ananiangalia sana na mimi nilijifanya kuwa busy na usukani.

“Insider leo umependeza sana.”

“Ahsante sana hata wewe leo uko sexy sana.”

“Thank you, umenichunia sana lakini.”

“Wasiwasi wako tu, mimi niko normal mbona.”

Baada ya kuwasili kigamboni kwenye zile apartments kuna mtu ambaye alikuwa ana kwenda kuonana naye ambaye ni dalali wa kampuni waliyo ingia mkataba wa kutafuta wateja wa zile apartments. Kwa upande mwingine kuna mpangaji alikuwa ametoka hivyo kulikuwa na marekebisho kidogo ya kupanga rangi na vitu vingine.

Baada ya kumaliza ukaguzi alimwita dalali na wakaanza kuongea gharama za kupaka rangi na mimi nilikuwa makini sana ili Iryn asipigwe hata cent maana gharama za ujenzi nazijua.

Iryn pia alimwambia yule Dalali kuanzia leo atakuwa anawasiliana na mimi kwenye masuala ya apartments,

“Kaka next time utakuwa una wasiliana na kaka hapa kuhusu masuala yote ya nyumba sawa?.”

“Sawa dada haina shida.”


Baada ya kumaliza taratibu zote Iryn alitoa pesa za ukarabati na aliendelea kuacha maagizo,

“Sasa kama tulivyoongea nyuma Mikataba mipya itakuwa na Jina langu na masuala yoyote ya kiutendaji utawasiliana na Manager wangu hapa, na utachukua namba yake.”

Ofcourse nilikuwa nafurahi sana Iryn akinitambulisha kama Manager, maana ina sound professional sana.Kitu kingine Iryn sio mwongeaji na hatumii nguvu kubwa kwenye kutoa maagizo yaani ni short and clear.

Baada ya kumalizana na Dalali sisi tuliondoka na tulivyofika pale Ferry sokoni tulinunua Samaki wabichi wa kutosha na wengine Iryn alinunua kwaajili ya Mama Janeth.

Safari yetu ilikuwa twende kwanza Masaki then nimrudishe kwake, kwa upande mwingine alikuwa anataka kwenda kutembelea Salon ya Masaki maana alisema ana muda hajakwenda.

Tulianza kwanza kupeleka samaki kwa mama Janeth na baada ya hapo tulikwenda Salon na baada ya kuwasili pale tulishuka kwa gari na Iryn na tuliongozana kuelekea ndani. Kwa upande mwingine wafanyakazi walionekana pale nje kibarazani wakipiga story na baada ya kumwona Iryn ukimya ukatawala.

Iryn aliwasalimia na tukaingia ndani moja kwa moja sasa ile wakati tumeingia tulikutana na Sumaiya na aliishia kunikata jicho kali sana, kwa upande wangu sikutaka kuendelea kukaa mle ndani hivyo nilimuacha Iryn aendelee kukagua na mimi nilitoka nje.

Muda huu nilimpigia simu Manuel ili kama amemaliza mambo yake nimpitie ili tuondoke na yeye alisema ndani ya nusu saa nikamchukue pale “Double tree” Apartments.

Tulitumia kama nusu saa pale Salon na ilikuwa jioni tayari ya saa 11, tuliondoka pale Salon na nilimwambia Iryn tunapitia kumchukua jamaa yangu. Kwa upande mwingine toka tunakwenda Kigamboni hatukuwa na story sana na Iryn na kwa upande wake ni kama alikuwa anajishtukia,

“Insider naona huna story na mimi kabisa najua jambo lilokukera ila usinifikirie vibaya inabidi utambue hii ni kama biashara zingine.”

“Nisawa ila Kwanini usifocus na kampuni za mama? Bado huko Ufaransa una biashara pia sioni sababu ya wewe kuendelea kuchezea migongo ya watu.”

“Insider hivi umejaribu kufikiri kama mama asingeacha kitu chochote ningekuwa katika hali gani?. Na kipaji cha Massage na nina connection za wateja Worldwide kwanini niache pesa? Unajua kuna ambao wana ujuzi kama wangu na hawana connection kama zangu?”

“Sawa mimi siwezi kupinga maamuzi yako ila unaweza fungua ofisi hapa Tanzania ukawa hata msimamizi.”

“Upo sahihi ndomana unaona kwenye Salon zote tumeweka massage room lakini kwa nature ya wateja nao deal nao itakuwa ngumu sana kunifuata. Pesa nazoingiza huku ni nyingi sana tena situmii nguvu kubwa.”

“Sawa Bossy mimi ni muajiriwa na sio mme wako unaweza fanya chochote ambacho unaona ni sawa kwako.”

“Insider huko umefika mbali sana but niko tayari kuacha kabisa hii biashara lakini kwa masharti kama utakuwa tayari.”

“Masharti gani hayo?”

Na muda huu tulikuwa getin pale “Double tree”na mlinzi akaturuhusu kuingia ndani kwa upande mwingine Manuel alionekana yuko na dada, baada ya kuniona walianza kuja usawa wetu.

Na maongezi yetu ni kama yalikwisha baada ya Manuel kutaka kufungua mlango wa mbele na ukawa uko locked, ilibidi nishushe kioo na alivyo muona Iryn kakaa mbele ilibidi yeye akae nyuma lakini nilishangaa kuona anaingia na ile pisi.

Na mimi muda huu nilifanya utambulisho bila kuchelewa na nilimtambulisha Manuel kwa Iryn kama Kaka yangu na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu, na baada ya utambulisho Manuel alionekana kufurahi sana na safari ikaanza pale.

Tulianza kumdrop Iryn pale kwake na baada ya hapo tuliendelea na safari ya kwenda Ramada hotel Mbezi Beach. Na muda huu Manuel alinitambulisha yule dada ni mpenzi wake wa muda mrefu na anafanyia kazi ubalozi wa Rwanda na ni Mnyarwanda. Ilikuwa ni pisi nzuri sana na hapa nikatambua Manuel ni kitombi sana.

Baada ya kuwasili pale Manuel alisema twende restaurant tukapate dinna maana ilikuwa ni saa 1 usiku tayari. Tulipata dinna ya pamoja na yule dada na tulikuwa tukipiga story nyingi sana muda huu. Manuel alinambia walikutana na yule dada Seacliff Karambezi cafe na baada ya hapo mahusiano yao ndo yalianza na wana kwenda miaka 2 kwasasa.

*******
Asubuhi baada ya kuamka nilifanya mawasiliano na dada Agent kuhusu mzigo na alinambia mpaka mchana utakuwa tayari kwa mimi kwenda kuufata.

Kwa upande mwingine mama J alikuwa anatarajia kuondoka kwenda Moshi kusalimia na kutoa pole za msiba hivyo ilibidi nifanye utaratibu wa kumkatia ticket ya ndege mapema.

Niliondoka kwenda kwenye majukumu yangu ya kila siku na wakati niko Mikocheni nikimalizia kupiga hesabu kabla sijapeleka pesa bank kwa upande mwingine Lucy aliingia ofisini.

“Insider kama unakwenda Mlimani city nataka twende wote.”

“Sawa haina shida mimi niko tayari tunaweza ondoka.”

Tuliongozana pale kuelekea parking na tulianza safari ya kwenda Mlimani City.

“Insider nimechaguliwa kusoma BBA-UDSM, BAC-IFM na Procurement-CBE sasa nishauri hapo rafiki yangu.”

“Kasome BBA afu mwaka wa pili uta major kwenye Finance, kingine UDSM karibu ukitoka ofisini unawahi chuo haraka.”

“Hata Iryn kanishauri nisome hii, kingine amesema atanilipia ada unajua siamini Insider.”

“Lini mlikuwa mnaongea haya?”

“Jumapili, unajua toka uwe naye close tena hata upendo kwangu umeongezeka sana, Jumapili nimeshinda kwake siku nzima.”

“Sawa bhana hongera sana nimefurahi kusikia utalipiwa ada na mimi nitakununulia madaftari rafiki yangu.”

“Hahaha shenzi sana wewe.” Na aliishia kunipiga na kibao cha uchokozi.

Baada ya kuwasili pale Mlimani city mimi nilikwenda Bank na Lucy alisema anakwenda shoppers kununua jug la kuchemshia maji.

Baada ya kumaliza kudeposit pesa niliamua kwenda pale Samakisamaki kupata lunch maana ilikuwa saa 6 mchana tayari na baada ya dakika 10 Lucy alikuja pale na yeye akaagiza msosi.

“Insider hapa si gharama sana?”

“Acha ubahili na wewe weekend hii mshahara unaingia.”

“Mimi sina hela bhana ndomana.”

“Aisee! sawa nitakulipia, hivi Lucy upo kwenye mahusiano?.”

“Kwasasa hapana niko single kama Bossy wako.”

“Aisee Iryn amekwambia yuko single?”

“Kazi kwako baba uwe na wake wa2 au mchepuko mwenye pesa, ningekuwa mimi ningemzalisha kabisa huoni anavyompenda Junior? kaupenda mkojo wako baba, kuliko kumwagia akina Sumaiya bora umwagie kwa Iryn.”

“Sawa bhana tuachane na hizi story.”

Muda huu niliwaza kama Lucy alishinda kwa Iryn siki nzima inawezekana waliongea vingi sana lakini Lucy anaongea kwa mafumbo. Na mimi sikutaka kumuuliza chochote, na baada ya lunch tuliondoka kurudi ofisini.

Nilitulia pale ofisini ili niendelee kubuy time ya kwenda kufuata mzigo Posta na muda huu simu yangu ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Bossy lady. Baada ya kupokea simu yake alitaka twende wote Posta kuchukua mzigo maana yuko bored afu pia ana mazungumzo na mimi.

Saa 10 jioni dada alinambia mzigo upo tayari na mimi niliwasiliana na dereva wa canter ili akaanze kuupakia. Kwa upande mwingine nilikuwa nishakuwa mzoefu tayari na nilikuwa na watu wangu wa kufanya nao kazi.

Nilikwenda kumchukua Iryn pale kwake na baada ya hapo tulianza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani dereva wa Canter alinipigia simu na akanipa taarifa kwamba amemaliza kupakia mzigo hivyo nikamwambia aanze safari tutakutana.

Baada ya kuwasili Posta tulikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kwa dada na tulichukua documents za mzigo tukaondoka. Tulianza kwanza Masaki kushusha mzigo na wakati mzigo unashushwa Iryn alinifuata,

“Insider hawa si tunawaacha waende Mikocheni then sisi tukaongee?”

“Ni sawa tu maana Dereva anajua location labda nimlipe aende.”

Niliongea na Dereva aupeleke mzigo uliobaki Mikocheni ambapo angekutana na Lucy na nilifanya malipo.

Muda huu ilikuwa jioni na Iryn alikuwa na mazungumzo na mimi na alisema twende Capetown fish market, Msasani. Kwa upande wangu nilikuwa ninashauku sana kujua ni nini ambacho Iryn alikuwa anataka kuongea?. Mara ya mwisho alisema yuko tayari kuacha biashara zake za massage lakini kwa masharti.

Baada ya kuwasili pale Capetown ofcourse ilikuwa bado mapema hivyo baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulitafuta sehem nzuri ya pembeni ili tuwe tunapata na upepo wa bahari, na muda huu mhudumu alikuja kutusikiliza na wote tuli odda sea food.

From nowhere nilisikia mtu akiniita “shem……” na ile kugeuka namuona Eva, kumbe toka naingia pale alikuwa ananichora.

“Hi Eva upo?”

“Nipo shem wangu za siku? hatujaonana toka Prisca anaumwa kipindi kile cha mitihani.”

Na muda huu Eva alimsalimia Iryn na akavuta kiti akakaa upande wangu wa kushoto, mara nyingi mimi na Iryn huwa tunakaa opposite (tunatizamana).

“Eva umekuja muda gani hapa?”

“Nimekuja muda sana na best zangu wale pale nyuma.”

Na mimi baada ya kugeuka niliwaona best zake watatu, walikuwa wanakunywa wine.

“Ulikuwa kazini nini?”

“Kama unavyo niona nimetoka field, rafiki yetu alikuwa na birthday akatupa offa ya dinna, hata hivyo ndo naondoka hapa nikaona nije nikusalimie shem wangu.”

“Ahsante sana Eva nashukuru sana.”

Nilikuwa na wakati mgumu sana muda huu maana Eva alianza kuongea masuala ya mimba ya Prisca, Iryn naye alikuwa makini sana muda huu kumsikiliza Eva na hapa nikasema leo nimeyakanyaga.

Eva alikuwa anaongea na mimi lakini sauti yake ilikuwa inasikika vizuri kabisa,

“Prisca alinambia anakaa na Mary kwa sasa kwanini haukai na Prisca na ana mimba yako? Kwa hili shem mimi ndo unaniboa sana, kwanini humajali?”

Ilibidi nimwambie Eva aache hizi story maana nilikuwa napotezesha mada lakini wapi haelewi, na nilihisi amelewa maana haikuwa akili yake muda huu, Eva kwa muda mchache aliongea mambo mengi sana kuhusu Prisca na Mary.

“Eva tutaongea badae sawa?.”

“Shem byee mimi naondoka msalimie Prisca maana toka chuo tufunge hajanitafuta, kila mtu ana pambana na hali yake

Na mimi nilinyamaza kimya hata sikumjibu ila kwa upande mwingine alikuwa kanipiga na kitu kizito sana kichwani. Kwa upande wa Iryn alionekana kubadilika sana na mimi nilihisi Iryn kasikia kila kitu, kwa upande wangu hata sikujali.

Kutokana na Eva kumtaja taja Mary nilijua lazima Iryn kamjua mwanamke anayemuongelea Eva ni Prisca maana Mary alikuwa analifaham jina lake kasoro Prisca tu ambaye alikuwa anafaham ni mdogo wake Mary.

Baada ya Eva kuondoka kwa upande mwingine Iryn naye aliomba tuondoke maana alikuwa amefura sana,

“Insider tuondoke.”

“Si ulisema una mazungumzo na mimi?”

“Hakuna mazungumzo Insider, tuondoke nipeleke home. I am tired of all this bullshit.”

Tuliondoka na Iryn na alikuwa amenuna balaa na macho yalikuwa mekundu sana, na wakati tuko kwa gari Iryn uvumilivu ulimshinda akaanza kuongea,

“Insider unakumbuka nilikwambia something fishy kinaendelea kati yako na kina Mary? Kumbe unadate na mdogo wake muda mrefu mpaka ana mimba yako.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kujibu wala kujitetea muda huu maana mambo yote yalikuwa hadharani. Pia kwa upande wangu nilishangaa kuona Iryn kuwa vile,

“Iryn sasa wewe unachochukia na kuninunia ni nini? Maana hatuna mahusiano yoyote kati yetu.”

Kwa upande wake alinyamaza kimya lakini machozi yalianza kushuka taratibu, Iryn ana machozi ya karibu sana. Muda huu nilishindwa kuelewa kinacho mliza ni nini, nilitoa kitambaa ili nimfute machozi lakini aliishia ku-push mkono wangu,

“Insider leave me alone and don’t touch me again please.”

Baada ya kufika kwake alishuka kwa haraka sana na alikwenda ndani kwa upande wangu sikuwa na choice wala sikujua nifanye nini, maana hata mimi nilikuwa nimevurugwa hivyo niliamua kuondoka.


TO BE CONTINUED
Code zinaanza kufunguka
Kumbe jina la Iryn ni Geneviv
 
EPISODE 61

CONTINUE

Niliwasili pale Hospital Massana na nilimkuta Mama wa2 amelala kwenye bench ilibidi nisogee mpaka usawa wake afu nikamshika mkono. Mama wa2 baada ya kuniona alifurahi sana kwakweli maana alikuwa peke yake pale na nilijikuta napatwa na huruma.

“Mama mkwe shida ni nini? Na upo peke yako.”

“Bora hata nimekuona kama unavyoniona hapa niko peke yangu, dada amekwenda kuandaa uji.”

Mama wa2 alinambia Rachel alianza kuumwa kama homa na ghafla hali ilizidi kubadilika ndo kumpeleka pale Massana Hospital, na wakasema itabidi alazwe kwaajili ya uangalizi.

Na mimi niliendelea kukaa na mama wa2 pale kwenye bench na aliishia kulala huku ameegemea kwangu. Saa 11 alfajiri nesi alitoka akasema anaweza kwenda kumuona mtoto na tulikwenda pamoja ndani kwa upande mwingine Rachel hali yake ilikuwa imeanza kurudi sawa.

Muda huu pia dada alikuja na uji hivyo nikapata sababu ya kumuaga mama wa2 pale maana nilitakiwa kwenda Bagamoyo kumuona Bint yake Pili kama nilivyo muahidi. Tuliagana pale na Mama wa2 na alisema atanitumia Pesa za kumnunulia vitu vya kumpelekea.

Nilirudi home kulala maana nilikuwa nimechoka sana, asubuhi niliamshwa na simu ya Iryn na alikuwa akiulizia maendeleo ya mtoto na alisema badae anahitaji twende Capetown Fish Market, na mimi nilimwambia kwa leo itakuwa ngumu maana nitakuwa na mgeni wa kumpokea Airport.

Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 4 asubuhi hivyo nilijiandaa haraka ili niende Bagamoyo kwa Pili. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa anatarajia kuingia saa 11 jioni pale JNIA akitokea Ethiopia.

Nilitoka pale home lakini mipango yangu kichwani nipitie kwanza ukweni nikawasalimie na niwape pole ya msiba maana mama yake alikwenda Moshi sababu ya Msiba. Nilipitia kwanza pale Sokoni Nyuki na nilinunua mazaga ya kupeleka pale ukweni na niliendelea na safari yangu.

Baada ya kuwasili pale ukweni niliwasalimia wote na nilikuwa na mazungumzo private na wife lengo kubwa nilitaka arudi home ili Manuel akija kusalimia amkute pale home na Junior.

Kwa upande mwingine wife alikuwa na safari ya kwenda Moshi kutoa pole maana yeye hakwenda Msibani, hivyo nilimwomba aende alhamis na nitamkatia ticket ya ndege. Nilitumia kama lisaa pale ukweni na niliwaaga nikaondoka kuelekea Bagamoyo maana nilikuwa nakimbizana na muda.

Baada ya kufika Bunju mwisho ilibidi ninue baadhi ya mazaga ya kumpelekea Pili. Ulikuwa ni mwendo wa lisaa mpaka nawasili pale shuleni na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kuomba kuonana na Pili.

Pili baada ya kuitwa na kuniona alifurahi sana na aliishia kunikumbatia na tulitafuta sehemu nzuri tukakaa na tukaanza story pale. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu kwenda Mwanza kwa Baba yake na masuala ya masomo pia. Nilitumia kama lisaa kukaa na Pili na ilibidi nimuage pale ili niwahi kwenda Airport, kwa upande wake alifurahi sana hii siku.

Saa yangu ilikuwa inasoma saa 9 wakati natoka pale Bagamoyo hivyo niliendesha gari kwa kasi sana mpaka nafika pale JNIA terminal 3. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa amewasili tayari pale JNIA na alikuwa akinisubiri mimi tu.

Baada ya kuingia ndani tulionana na Manuel na tuliishia kukukumbatiana kihuni pale na hao tukaanza safari ya kwenda Mbezi Beach. Manuel alikuja Tanzania kwaajili ya masuala ya kazi na alikuwa anatarajia kuondoka jumamosi na mimi ndo nilimshauri akae hotel ya jirani ili iwe rahisi kumfuata na kumrudisha.

Ramada Hotel ndo sehemu ambayo Manuel alifanya booking na baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka room kuweka mabag na baada ya hapo tulikwenda kupata Dinna.

“Man I’m very happy to see you again.”

“Thank you brother how about Alex, Olivia & Sophie?”

“They’re fine so where are we going tonight? I want to party crazy.”

“On sunday the best place to go and we gonna party crazy is Kidimbwi beach.”

“Alright brother let’s go!”

“Do you remember that place?”

“I remember bro! We went crazy that day.”

“Yeah.”

Tuliondoka kwenda Kidimbwi na baada ya kuwasili pale tulikwenda kukaa upande uleule wa siku ile. Tuliagiza vinywaji pale kwa upande wangu kama kawaida nili odda heineken na Manuel aliagiza Vodka bila kusahau mishikaki.

Dada hakuchelewa kutuletea vinywaji na tulianza kukimbiza pale taratibu na muda huu story zilikuwa zimetawala na vicheko. Kwa upande mwingine nilikuwa namuona Manuel yuko makini sana kuangalia pisi. Kwa upande wake kuna pisi aliipenda na alinionesha hivyo nikamwambia mhudumu akija tutamtuma akamuite.

Baada ya mhudumu kuja kuangalia mazingira pale, Manuel alimtuma akamuite dada, kwa upande mwingine ilibidi yule dada ageuke atizame ni nani anamuita na Manuel alimpungia mkono. Dada alikuja kumsikiliza Manuel na waliongea kama dakika 5 hivi, kwa upande wa dada alionekana kuingia line, lakini nilishangaa kuona dada akiondoka.

“Bro what happened? where’s she going?”

“Don’t worry Bro, she’s coming soon.”

Na tuliishia kucheka wote muda huu na tukagonga cheers.

Kama mnakumbuka episode za mwanzoni kabisa nilisema nitawaambia kuhusu Manuel, ni hivi jamaa ni mtu wa mademu sana anapenda p**sy balaa tena yeye anazikubali sana pisi za kiafrica. (Ref: Episode 3)

Baada ya nusu saa yule dem alikuja na Manuel alimwambia aagize kinywaji anachotaka na aliishia kuagiza savanna. Kwa upande mwingine mimi nilikuwa hoi sana maana toka jana nilikuwa sijalala kabisa, hivyo ilivyofika saa 7 tuliondoka maeneo yale na Manuel alikuwa na Pisi yake mpya.

Niliwapeleka mpaka Ramada na mimi nilirudi kulala home na ile asubuhi mapema nilimtumia mama wa2 ujumbe kuwa sitoweza kwenda kumchukua hivyo afanye kurequest usafiri wa kumpeleka kazini.

*******
Saa 4 asubuhi mama J alirudi nyumbani na alianza kufanya usafi wa nyumba pamoja na kupika.

Saa 6 mchana nilikwenda Ramada kumchukua Manuel ili aje home na nilimkuta bado yuko na ile Pisi ya Kidimbwi. Nilimsubiri kama lisaa hivi ndo walitoka na yule dada alikuwa amerequest usafiri na sisi tuliondoka kwenda home.

Wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story za jana na kubwa alikuwa anasema yule mwanamke aliyerudi naye ni amemburudisha sana.

“How much have you paid for sex?”

“Bro! I don’t pay for sex, I just gave her $20 for transport, I’ll meet her again on friday.”

Ilibidi nicheke tu maana Manuel aliongea mambo mengi sana.

Baada ya kuwasili home nilimkaribisha ndani na baada ya kuingia seblen alimkuta Junior anacheza pale na aliishia kumnyanyua na kuanza kucheza naye. Kwa upande mwingine mama J naye alikuja seblen pale na mimi nilifanya utambulisho mfupi pale na tulikwenda kupata lunch.

Tulitumia kama masaa 4 home na wakati wa kuondoka tulipiga picha ya pamoja na familia yangu na nikamrudisha Ramada akapumzke, maana alisema toka arudi na dada hakupata muda wa kulala.(Siku ukibahatika kuja kwangu hii picha iko seblen).

Baada ya kumrudisha pale Hotelin tuliagana na mimi nilirudi home na nilishinda pale nikicheza na Junior. Jioni mama wa2 alinipigia simu na aliomba usiku tuonane pale kwake akirudi kazini, kwa upande mwingine toka niende kwa Pili shuleni hata hatukuweza kuonana bali tuliishia kuwasiliana tu kwa simu.

Usiku nilikwenda kuonana na mama wa2 na hii siku nilikwenda na Junior, baada ya kuwasili kwake niliingia ndani na Rachel baada ya kumuona Junior aliishia kufurahi, na alikuwa akiendelea vizuri. Haikuchukua muda mrefu mama wa2 naye alitoka pale seblen na tukaanza mazungumzo.

“Mkwe mambo naona leo umeamua kuja na mme wetu.”

“Alikuwa ananililia sana nimeona nije naye tu, si unajua nimehamia makazi mapya hata sio mbali na hapa”.

“Itabidi nije nipafahamu makazi mapya.”

“Karibu anytime, kwanza samahani maana jana nilibanwa sana hata nikashindwa kuja nyumbani ili nijue hata maendeleo ya Rachel.”

“Rachel kama unavyomuona hapo amepona tayari ila bado anaendelea na dozi, labda wewe unipe ripoti za Pili huko shuleni.”

“Pili yuko sawa na anaendelea vizuri kutokana na maneno ya matron wake.”

“Alikuwa anaumwa ndomana nilikuomba uende ukamwone na nilitamani tungeenda wote lakini ndo Rachel akaanza kuumwa.”

“Usijali mama mkwe mimi nilikuwakilisha na amefurahi kuliko hata ungeenda wewe, yaani ningekuwa sijaoa Pili angekuwa mke wangu.”

“Na mimi ningekupa bure kabisa na harusi ninge gharamia.”

Tulikuwa tunacheka pale na muda huu mama wa2 aliinuka kwenda ndani na baada ya dakika alirudi pale seblen akiwa ameshika bahasha kubwa ya kaki na akanikabidhi pale.

“Mkwe hizo ni zile Pesa ulizoomba nimekopa kwenye kikundi chetu na hapo tutatakiwa kulipa riba ya 5% kwa miezi 6, vipi kwa upande wako.”

“Mama mkwe mimi nashukuru sana miezi 6 ni mingi nitajibana na kamshahara nako pata niwe nalipa hili deni.”

“Usijali wewe kama unakwama unakuwa unasema tunasaidiana marejesho, nakuamini sana.”

Nilimshukuru mama wa2 kwa kunipigania kupata zile pesa na nilimuaga pale nikaondoka na Junior, Kwa upande mwingine mama wa2 alinambia weekend hii atahamia kwake na pia ameomba emergence ya week 1 kwaajili ya kukamilisha suala hili.

Kwa upande wangu nilikuwa na furaha sana kwa kupata hizi pesa na baada ya kurudi home sikutaka kuchelewa na nilimpigia simu Mzee Mollel ili nimalize vipengele vyote.

Kwa upande mwingine toka sakata la ugomvi wangu na Prisca litokee hakuwai kunitafuta na mimi niliamua kula buyu.

*******
Asubuhi nilikwenda kumchukua Manuel na alikuwa anakwenda Masaki kwaajili ya masuala ya kikazi, hivyo baada ya kumdrop na mimi nilikwenda ofisini kuweka mambo sawa then nikaenda Mikocheni kuendelea na majukumu mengine.

Kwa upande mwingine kulikuwa na mzigo unatarajia kuingia jumatano na Agent alikuwa kanipigia simu kuuliza kama tulifanya malipo before hajakwenda kufuatilia masuala mengine na mimi nilimwambia asubiri kwanza niwasiliane na Bossy.

Baada ya kuwasiliana na Iryn alinambia alishafanya payment na risiti ananitumia soon pia alisema saa 7 mchana niende kwake nikamchukue ili twende kigamboni kwenye zile Apartments.

Muda ulivyotimia nilikwenda kumchukua pale kwake na tuliondoka kwenda Kigamboni na wakati tuko njiani alikuwa ananiangalia sana na mimi nilijifanya kuwa busy na usukani.

“Insider leo umependeza sana.”

“Ahsante sana hata wewe leo uko sexy sana.”

“Thank you, umenichunia sana lakini.”

“Wasiwasi wako tu, mimi niko normal mbona.”

Baada ya kuwasili kigamboni kwenye zile apartments kuna mtu ambaye alikuwa ana kwenda kuonana naye ambaye ni dalali wa kampuni waliyo ingia mkataba wa kutafuta wateja wa zile apartments. Kwa upande mwingine kuna mpangaji alikuwa ametoka hivyo kulikuwa na marekebisho kidogo ya kupanga rangi na vitu vingine.

Baada ya kumaliza ukaguzi alimwita dalali na wakaanza kuongea gharama za kupaka rangi na mimi nilikuwa makini sana ili Iryn asipigwe hata cent maana gharama za ujenzi nazijua.

Iryn pia alimwambia yule Dalali kuanzia leo atakuwa anawasiliana na mimi kwenye masuala ya apartments,

“Kaka next time utakuwa una wasiliana na kaka hapa kuhusu masuala yote ya nyumba sawa?.”

“Sawa dada haina shida.”


Baada ya kumaliza taratibu zote Iryn alitoa pesa za ukarabati na aliendelea kuacha maagizo,

“Sasa kama tulivyoongea nyuma Mikataba mipya itakuwa na Jina langu na masuala yoyote ya kiutendaji utawasiliana na Manager wangu hapa, na utachukua namba yake.”

Ofcourse nilikuwa nafurahi sana Iryn akinitambulisha kama Manager, maana ina sound professional sana.Kitu kingine Iryn sio mwongeaji na hatumii nguvu kubwa kwenye kutoa maagizo yaani ni short and clear.

Baada ya kumalizana na Dalali sisi tuliondoka na tulivyofika pale Ferry sokoni tulinunua Samaki wabichi wa kutosha na wengine Iryn alinunua kwaajili ya Mama Janeth.

Safari yetu ilikuwa twende kwanza Masaki then nimrudishe kwake, kwa upande mwingine alikuwa anataka kwenda kutembelea Salon ya Masaki maana alisema ana muda hajakwenda.

Tulianza kwanza kupeleka samaki kwa mama Janeth na baada ya hapo tulikwenda Salon na baada ya kuwasili pale tulishuka kwa gari na Iryn na tuliongozana kuelekea ndani. Kwa upande mwingine wafanyakazi walionekana pale nje kibarazani wakipiga story na baada ya kumwona Iryn ukimya ukatawala.

Iryn aliwasalimia na tukaingia ndani moja kwa moja sasa ile wakati tumeingia tulikutana na Sumaiya na aliishia kunikata jicho kali sana, kwa upande wangu sikutaka kuendelea kukaa mle ndani hivyo nilimuacha Iryn aendelee kukagua na mimi nilitoka nje.

Muda huu nilimpigia simu Manuel ili kama amemaliza mambo yake nimpitie ili tuondoke na yeye alisema ndani ya nusu saa nikamchukue pale “Double tree” Apartments.

Tulitumia kama nusu saa pale Salon na ilikuwa jioni tayari ya saa 11, tuliondoka pale Salon na nilimwambia Iryn tunapitia kumchukua jamaa yangu. Kwa upande mwingine toka tunakwenda Kigamboni hatukuwa na story sana na Iryn na kwa upande wake ni kama alikuwa anajishtukia,

“Insider naona huna story na mimi kabisa najua jambo lilokukera ila usinifikirie vibaya inabidi utambue hii ni kama biashara zingine.”

“Nisawa ila Kwanini usifocus na kampuni za mama? Bado huko Ufaransa una biashara pia sioni sababu ya wewe kuendelea kuchezea migongo ya watu.”

“Insider hivi umejaribu kufikiri kama mama asingeacha kitu chochote ningekuwa katika hali gani?. Na kipaji cha Massage na nina connection za wateja Worldwide kwanini niache pesa? Unajua kuna ambao wana ujuzi kama wangu na hawana connection kama zangu?”

“Sawa mimi siwezi kupinga maamuzi yako ila unaweza fungua ofisi hapa Tanzania ukawa hata msimamizi.”

“Upo sahihi ndomana unaona kwenye Salon zote tumeweka massage room lakini kwa nature ya wateja nao deal nao itakuwa ngumu sana kunifuata. Pesa nazoingiza huku ni nyingi sana tena situmii nguvu kubwa.”

“Sawa Bossy mimi ni muajiriwa na sio mme wako unaweza fanya chochote ambacho unaona ni sawa kwako.”

“Insider huko umefika mbali sana but niko tayari kuacha kabisa hii biashara lakini kwa masharti kama utakuwa tayari.”

“Masharti gani hayo?”

Na muda huu tulikuwa getin pale “Double tree”na mlinzi akaturuhusu kuingia ndani kwa upande mwingine Manuel alionekana yuko na dada, baada ya kuniona walianza kuja usawa wetu.

Na maongezi yetu ni kama yalikwisha baada ya Manuel kutaka kufungua mlango wa mbele na ukawa uko locked, ilibidi nishushe kioo na alivyo muona Iryn kakaa mbele ilibidi yeye akae nyuma lakini nilishangaa kuona anaingia na ile pisi.

Na mimi muda huu nilifanya utambulisho bila kuchelewa na nilimtambulisha Manuel kwa Iryn kama Kaka yangu na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu, na baada ya utambulisho Manuel alionekana kufurahi sana na safari ikaanza pale.

Tulianza kumdrop Iryn pale kwake na baada ya hapo tuliendelea na safari ya kwenda Ramada hotel Mbezi Beach. Na muda huu Manuel alinitambulisha yule dada ni mpenzi wake wa muda mrefu na anafanyia kazi ubalozi wa Rwanda na ni Mnyarwanda. Ilikuwa ni pisi nzuri sana na hapa nikatambua Manuel ni kitombi sana.

Baada ya kuwasili pale Manuel alisema twende restaurant tukapate dinna maana ilikuwa ni saa 1 usiku tayari. Tulipata dinna ya pamoja na yule dada na tulikuwa tukipiga story nyingi sana muda huu. Manuel alinambia walikutana na yule dada Seacliff Karambezi cafe na baada ya hapo mahusiano yao ndo yalianza na wana kwenda miaka 2 kwasasa.

*******
Asubuhi baada ya kuamka nilifanya mawasiliano na dada Agent kuhusu mzigo na alinambia mpaka mchana utakuwa tayari kwa mimi kwenda kuufata.

Kwa upande mwingine mama J alikuwa anatarajia kuondoka kwenda Moshi kusalimia na kutoa pole za msiba hivyo ilibidi nifanye utaratibu wa kumkatia ticket ya ndege mapema.

Niliondoka kwenda kwenye majukumu yangu ya kila siku na wakati niko Mikocheni nikimalizia kupiga hesabu kabla sijapeleka pesa bank kwa upande mwingine Lucy aliingia ofisini.

“Insider kama unakwenda Mlimani city nataka twende wote.”

“Sawa haina shida mimi niko tayari tunaweza ondoka.”

Tuliongozana pale kuelekea parking na tulianza safari ya kwenda Mlimani City.

“Insider nimechaguliwa kusoma BBA-UDSM, BAC-IFM na Procurement-CBE sasa nishauri hapo rafiki yangu.”

“Kasome BBA afu mwaka wa pili uta major kwenye Finance, kingine UDSM karibu ukitoka ofisini unawahi chuo haraka.”

“Hata Iryn kanishauri nisome hii, kingine amesema atanilipia ada unajua siamini Insider.”

“Lini mlikuwa mnaongea haya?”

“Jumapili, unajua toka uwe naye close tena hata upendo kwangu umeongezeka sana, Jumapili nimeshinda kwake siku nzima.”

“Sawa bhana hongera sana nimefurahi kusikia utalipiwa ada na mimi nitakununulia madaftari rafiki yangu.”

“Hahaha shenzi sana wewe.” Na aliishia kunipiga na kibao cha uchokozi.

Baada ya kuwasili pale Mlimani city mimi nilikwenda Bank na Lucy alisema anakwenda shoppers kununua jug la kuchemshia maji.

Baada ya kumaliza kudeposit pesa niliamua kwenda pale Samakisamaki kupata lunch maana ilikuwa saa 6 mchana tayari na baada ya dakika 10 Lucy alikuja pale na yeye akaagiza msosi.

“Insider hapa si gharama sana?”

“Acha ubahili na wewe weekend hii mshahara unaingia.”

“Mimi sina hela bhana ndomana.”

“Aisee! sawa nitakulipia, hivi Lucy upo kwenye mahusiano?.”

“Kwasasa hapana niko single kama Bossy wako.”

“Aisee Iryn amekwambia yuko single?”

“Kazi kwako baba uwe na wake wa2 au mchepuko mwenye pesa, ningekuwa mimi ningemzalisha kabisa huoni anavyompenda Junior? kaupenda mkojo wako baba, kuliko kumwagia akina Sumaiya bora umwagie kwa Iryn.”

“Sawa bhana tuachane na hizi story.”

Muda huu niliwaza kama Lucy alishinda kwa Iryn siki nzima inawezekana waliongea vingi sana lakini Lucy anaongea kwa mafumbo. Na mimi sikutaka kumuuliza chochote, na baada ya lunch tuliondoka kurudi ofisini.

Nilitulia pale ofisini ili niendelee kubuy time ya kwenda kufuata mzigo Posta na muda huu simu yangu ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Bossy lady. Baada ya kupokea simu yake alitaka twende wote Posta kuchukua mzigo maana yuko bored afu pia ana mazungumzo na mimi.

Saa 10 jioni dada alinambia mzigo upo tayari na mimi niliwasiliana na dereva wa canter ili akaanze kuupakia. Kwa upande mwingine nilikuwa nishakuwa mzoefu tayari na nilikuwa na watu wangu wa kufanya nao kazi.

Nilikwenda kumchukua Iryn pale kwake na baada ya hapo tulianza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani dereva wa Canter alinipigia simu na akanipa taarifa kwamba amemaliza kupakia mzigo hivyo nikamwambia aanze safari tutakutana.

Baada ya kuwasili Posta tulikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kwa dada na tulichukua documents za mzigo tukaondoka. Tulianza kwanza Masaki kushusha mzigo na wakati mzigo unashushwa Iryn alinifuata,

“Insider hawa si tunawaacha waende Mikocheni then sisi tukaongee?”

“Ni sawa tu maana Dereva anajua location labda nimlipe aende.”

Niliongea na Dereva aupeleke mzigo uliobaki Mikocheni ambapo angekutana na Lucy na nilifanya malipo.

Muda huu ilikuwa jioni na Iryn alikuwa na mazungumzo na mimi na alisema twende Capetown fish market, Msasani. Kwa upande wangu nilikuwa ninashauku sana kujua ni nini ambacho Iryn alikuwa anataka kuongea?. Mara ya mwisho alisema yuko tayari kuacha biashara zake za massage lakini kwa masharti.

Baada ya kuwasili pale Capetown ofcourse ilikuwa bado mapema hivyo baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulitafuta sehem nzuri ya pembeni ili tuwe tunapata na upepo wa bahari, na muda huu mhudumu alikuja kutusikiliza na wote tuli odda sea food.

From nowhere nilisikia mtu akiniita “shem……” na ile kugeuka namuona Eva, kumbe toka naingia pale alikuwa ananichora.

“Hi Eva upo?”

“Nipo shem wangu za siku? hatujaonana toka Prisca anaumwa kipindi kile cha mitihani.”

Na muda huu Eva alimsalimia Iryn na akavuta kiti akakaa upande wangu wa kushoto, mara nyingi mimi na Iryn huwa tunakaa opposite (tunatizamana).

“Eva umekuja muda gani hapa?”

“Nimekuja muda sana na best zangu wale pale nyuma.”

Na mimi baada ya kugeuka niliwaona best zake watatu, walikuwa wanakunywa wine.

“Ulikuwa kazini nini?”

“Kama unavyo niona nimetoka field, rafiki yetu alikuwa na birthday akatupa offa ya dinna, hata hivyo ndo naondoka hapa nikaona nije nikusalimie shem wangu.”

“Ahsante sana Eva nashukuru sana.”

Nilikuwa na wakati mgumu sana muda huu maana Eva alianza kuongea masuala ya mimba ya Prisca, Iryn naye alikuwa makini sana muda huu kumsikiliza Eva na hapa nikasema leo nimeyakanyaga.

Eva alikuwa anaongea na mimi lakini sauti yake ilikuwa inasikika vizuri kabisa,

“Prisca alinambia anakaa na Mary kwa sasa kwanini haukai na Prisca na ana mimba yako? Kwa hili shem mimi ndo unaniboa sana, kwanini humajali?”

Ilibidi nimwambie Eva aache hizi story maana nilikuwa napotezesha mada lakini wapi haelewi, na nilihisi amelewa maana haikuwa akili yake muda huu, Eva kwa muda mchache aliongea mambo mengi sana kuhusu Prisca na Mary.

“Eva tutaongea badae sawa?.”

“Shem byee mimi naondoka msalimie Prisca maana toka chuo tufunge hajanitafuta, kila mtu ana pambana na hali yake

Na mimi nilinyamaza kimya hata sikumjibu ila kwa upande mwingine alikuwa kanipiga na kitu kizito sana kichwani. Kwa upande wa Iryn alionekana kubadilika sana na mimi nilihisi Iryn kasikia kila kitu, kwa upande wangu hata sikujali.

Kutokana na Eva kumtaja taja Mary nilijua lazima Iryn kamjua mwanamke anayemuongelea Eva ni Prisca maana Mary alikuwa analifaham jina lake kasoro Prisca tu ambaye alikuwa anafaham ni mdogo wake Mary.

Baada ya Eva kuondoka kwa upande mwingine Iryn naye aliomba tuondoke maana alikuwa amefura sana,

“Insider tuondoke.”

“Si ulisema una mazungumzo na mimi?”

“Hakuna mazungumzo Insider, tuondoke nipeleke home. I am tired of all this bullshit.”

Tuliondoka na Iryn na alikuwa amenuna balaa na macho yalikuwa mekundu sana, na wakati tuko kwa gari Iryn uvumilivu ulimshinda akaanza kuongea,

“Insider unakumbuka nilikwambia something fishy kinaendelea kati yako na kina Mary? Kumbe unadate na mdogo wake muda mrefu mpaka ana mimba yako.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kujibu wala kujitetea muda huu maana mambo yote yalikuwa hadharani. Pia kwa upande wangu nilishangaa kuona Iryn kuwa vile,

“Iryn sasa wewe unachochukia na kuninunia ni nini? Maana hatuna mahusiano yoyote kati yetu.”

Kwa upande wake alinyamaza kimya lakini machozi yalianza kushuka taratibu, Iryn ana machozi ya karibu sana. Muda huu nilishindwa kuelewa kinacho mliza ni nini, nilitoa kitambaa ili nimfute machozi lakini aliishia ku-push mkono wangu,

“Insider leave me alone and don’t touch me again please.”

Baada ya kufika kwake alishuka kwa haraka sana na alikwenda ndani kwa upande wangu sikuwa na choice wala sikujua nifanye nini, maana hata mimi nilikuwa nimevurugwa hivyo niliamua kuondoka.


TO BE CONTINUED
Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
 
EPISODE 61

CONTINUE

Niliwasili pale Hospital Massana na nilimkuta Mama wa2 amelala kwenye bench ilibidi nisogee mpaka usawa wake afu nikamshika mkono. Mama wa2 baada ya kuniona alifurahi sana kwakweli maana alikuwa peke yake pale na nilijikuta napatwa na huruma.

“Mama mkwe shida ni nini? Na upo peke yako.”

“Bora hata nimekuona kama unavyoniona hapa niko peke yangu, dada amekwenda kuandaa uji.”

Mama wa2 alinambia Rachel alianza kuumwa kama homa na ghafla hali ilizidi kubadilika ndo kumpeleka pale Massana Hospital, na wakasema itabidi alazwe kwaajili ya uangalizi.

Na mimi niliendelea kukaa na mama wa2 pale kwenye bench na aliishia kulala huku ameegemea kwangu. Saa 11 alfajiri nesi alitoka akasema anaweza kwenda kumuona mtoto na tulikwenda pamoja ndani kwa upande mwingine Rachel hali yake ilikuwa imeanza kurudi sawa.

Muda huu pia dada alikuja na uji hivyo nikapata sababu ya kumuaga mama wa2 pale maana nilitakiwa kwenda Bagamoyo kumuona Bint yake Pili kama nilivyo muahidi. Tuliagana pale na Mama wa2 na alisema atanitumia Pesa za kumnunulia vitu vya kumpelekea.

Nilirudi home kulala maana nilikuwa nimechoka sana, asubuhi niliamshwa na simu ya Iryn na alikuwa akiulizia maendeleo ya mtoto na alisema badae anahitaji twende Capetown Fish Market, na mimi nilimwambia kwa leo itakuwa ngumu maana nitakuwa na mgeni wa kumpokea Airport.

Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 4 asubuhi hivyo nilijiandaa haraka ili niende Bagamoyo kwa Pili. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa anatarajia kuingia saa 11 jioni pale JNIA akitokea Ethiopia.

Nilitoka pale home lakini mipango yangu kichwani nipitie kwanza ukweni nikawasalimie na niwape pole ya msiba maana mama yake alikwenda Moshi sababu ya Msiba. Nilipitia kwanza pale Sokoni Nyuki na nilinunua mazaga ya kupeleka pale ukweni na niliendelea na safari yangu.

Baada ya kuwasili pale ukweni niliwasalimia wote na nilikuwa na mazungumzo private na wife lengo kubwa nilitaka arudi home ili Manuel akija kusalimia amkute pale home na Junior.

Kwa upande mwingine wife alikuwa na safari ya kwenda Moshi kutoa pole maana yeye hakwenda Msibani, hivyo nilimwomba aende alhamis na nitamkatia ticket ya ndege. Nilitumia kama lisaa pale ukweni na niliwaaga nikaondoka kuelekea Bagamoyo maana nilikuwa nakimbizana na muda.

Baada ya kufika Bunju mwisho ilibidi ninue baadhi ya mazaga ya kumpelekea Pili. Ulikuwa ni mwendo wa lisaa mpaka nawasili pale shuleni na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kuomba kuonana na Pili.

Pili baada ya kuitwa na kuniona alifurahi sana na aliishia kunikumbatia na tulitafuta sehemu nzuri tukakaa na tukaanza story pale. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu kwenda Mwanza kwa Baba yake na masuala ya masomo pia. Nilitumia kama lisaa kukaa na Pili na ilibidi nimuage pale ili niwahi kwenda Airport, kwa upande wake alifurahi sana hii siku.

Saa yangu ilikuwa inasoma saa 9 wakati natoka pale Bagamoyo hivyo niliendesha gari kwa kasi sana mpaka nafika pale JNIA terminal 3. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa amewasili tayari pale JNIA na alikuwa akinisubiri mimi tu.

Baada ya kuingia ndani tulionana na Manuel na tuliishia kukukumbatiana kihuni pale na hao tukaanza safari ya kwenda Mbezi Beach. Manuel alikuja Tanzania kwaajili ya masuala ya kazi na alikuwa anatarajia kuondoka jumamosi na mimi ndo nilimshauri akae hotel ya jirani ili iwe rahisi kumfuata na kumrudisha.

Ramada Hotel ndo sehemu ambayo Manuel alifanya booking na baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka room kuweka mabag na baada ya hapo tulikwenda kupata Dinna.

“Man I’m very happy to see you again.”

“Thank you brother how about Alex, Olivia & Sophie?”

“They’re fine so where are we going tonight? I want to party crazy.”

“On sunday the best place to go and we gonna party crazy is Kidimbwi beach.”

“Alright brother let’s go!”

“Do you remember that place?”

“I remember bro! We went crazy that day.”

“Yeah.”

Tuliondoka kwenda Kidimbwi na baada ya kuwasili pale tulikwenda kukaa upande uleule wa siku ile. Tuliagiza vinywaji pale kwa upande wangu kama kawaida nili odda heineken na Manuel aliagiza Vodka bila kusahau mishikaki.

Dada hakuchelewa kutuletea vinywaji na tulianza kukimbiza pale taratibu na muda huu story zilikuwa zimetawala na vicheko. Kwa upande mwingine nilikuwa namuona Manuel yuko makini sana kuangalia pisi. Kwa upande wake kuna pisi aliipenda na alinionesha hivyo nikamwambia mhudumu akija tutamtuma akamuite.

Baada ya mhudumu kuja kuangalia mazingira pale, Manuel alimtuma akamuite dada, kwa upande mwingine ilibidi yule dada ageuke atizame ni nani anamuita na Manuel alimpungia mkono. Dada alikuja kumsikiliza Manuel na waliongea kama dakika 5 hivi, kwa upande wa dada alionekana kuingia line, lakini nilishangaa kuona dada akiondoka.

“Bro what happened? where’s she going?”

“Don’t worry Bro, she’s coming soon.”

Na tuliishia kucheka wote muda huu na tukagonga cheers.

Kama mnakumbuka episode za mwanzoni kabisa nilisema nitawaambia kuhusu Manuel, ni hivi jamaa ni mtu wa mademu sana anapenda p**sy balaa tena yeye anazikubali sana pisi za kiafrica. (Ref: Episode 3)

Baada ya nusu saa yule dem alikuja na Manuel alimwambia aagize kinywaji anachotaka na aliishia kuagiza savanna. Kwa upande mwingine mimi nilikuwa hoi sana maana toka jana nilikuwa sijalala kabisa, hivyo ilivyofika saa 7 tuliondoka maeneo yale na Manuel alikuwa na Pisi yake mpya.

Niliwapeleka mpaka Ramada na mimi nilirudi kulala home na ile asubuhi mapema nilimtumia mama wa2 ujumbe kuwa sitoweza kwenda kumchukua hivyo afanye kurequest usafiri wa kumpeleka kazini.

*******
Saa 4 asubuhi mama J alirudi nyumbani na alianza kufanya usafi wa nyumba pamoja na kupika.

Saa 6 mchana nilikwenda Ramada kumchukua Manuel ili aje home na nilimkuta bado yuko na ile Pisi ya Kidimbwi. Nilimsubiri kama lisaa hivi ndo walitoka na yule dada alikuwa amerequest usafiri na sisi tuliondoka kwenda home.

Wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story za jana na kubwa alikuwa anasema yule mwanamke aliyerudi naye ni amemburudisha sana.

“How much have you paid for sex?”

“Bro! I don’t pay for sex, I just gave her $20 for transport, I’ll meet her again on friday.”

Ilibidi nicheke tu maana Manuel aliongea mambo mengi sana.

Baada ya kuwasili home nilimkaribisha ndani na baada ya kuingia seblen alimkuta Junior anacheza pale na aliishia kumnyanyua na kuanza kucheza naye. Kwa upande mwingine mama J naye alikuja seblen pale na mimi nilifanya utambulisho mfupi pale na tulikwenda kupata lunch.

Tulitumia kama masaa 4 home na wakati wa kuondoka tulipiga picha ya pamoja na familia yangu na nikamrudisha Ramada akapumzke, maana alisema toka arudi na dada hakupata muda wa kulala.(Siku ukibahatika kuja kwangu hii picha iko seblen).

Baada ya kumrudisha pale Hotelin tuliagana na mimi nilirudi home na nilishinda pale nikicheza na Junior. Jioni mama wa2 alinipigia simu na aliomba usiku tuonane pale kwake akirudi kazini, kwa upande mwingine toka niende kwa Pili shuleni hata hatukuweza kuonana bali tuliishia kuwasiliana tu kwa simu.

Usiku nilikwenda kuonana na mama wa2 na hii siku nilikwenda na Junior, baada ya kuwasili kwake niliingia ndani na Rachel baada ya kumuona Junior aliishia kufurahi, na alikuwa akiendelea vizuri. Haikuchukua muda mrefu mama wa2 naye alitoka pale seblen na tukaanza mazungumzo.

“Mkwe mambo naona leo umeamua kuja na mme wetu.”

“Alikuwa ananililia sana nimeona nije naye tu, si unajua nimehamia makazi mapya hata sio mbali na hapa”.

“Itabidi nije nipafahamu makazi mapya.”

“Karibu anytime, kwanza samahani maana jana nilibanwa sana hata nikashindwa kuja nyumbani ili nijue hata maendeleo ya Rachel.”

“Rachel kama unavyomuona hapo amepona tayari ila bado anaendelea na dozi, labda wewe unipe ripoti za Pili huko shuleni.”

“Pili yuko sawa na anaendelea vizuri kutokana na maneno ya matron wake.”

“Alikuwa anaumwa ndomana nilikuomba uende ukamwone na nilitamani tungeenda wote lakini ndo Rachel akaanza kuumwa.”

“Usijali mama mkwe mimi nilikuwakilisha na amefurahi kuliko hata ungeenda wewe, yaani ningekuwa sijaoa Pili angekuwa mke wangu.”

“Na mimi ningekupa bure kabisa na harusi ninge gharamia.”

Tulikuwa tunacheka pale na muda huu mama wa2 aliinuka kwenda ndani na baada ya dakika alirudi pale seblen akiwa ameshika bahasha kubwa ya kaki na akanikabidhi pale.

“Mkwe hizo ni zile Pesa ulizoomba nimekopa kwenye kikundi chetu na hapo tutatakiwa kulipa riba ya 5% kwa miezi 6, vipi kwa upande wako.”

“Mama mkwe mimi nashukuru sana miezi 6 ni mingi nitajibana na kamshahara nako pata niwe nalipa hili deni.”

“Usijali wewe kama unakwama unakuwa unasema tunasaidiana marejesho, nakuamini sana.”

Nilimshukuru mama wa2 kwa kunipigania kupata zile pesa na nilimuaga pale nikaondoka na Junior, Kwa upande mwingine mama wa2 alinambia weekend hii atahamia kwake na pia ameomba emergence ya week 1 kwaajili ya kukamilisha suala hili.

Kwa upande wangu nilikuwa na furaha sana kwa kupata hizi pesa na baada ya kurudi home sikutaka kuchelewa na nilimpigia simu Mzee Mollel ili nimalize vipengele vyote.

Kwa upande mwingine toka sakata la ugomvi wangu na Prisca litokee hakuwai kunitafuta na mimi niliamua kula buyu.

*******
Asubuhi nilikwenda kumchukua Manuel na alikuwa anakwenda Masaki kwaajili ya masuala ya kikazi, hivyo baada ya kumdrop na mimi nilikwenda ofisini kuweka mambo sawa then nikaenda Mikocheni kuendelea na majukumu mengine.

Kwa upande mwingine kulikuwa na mzigo unatarajia kuingia jumatano na Agent alikuwa kanipigia simu kuuliza kama tulifanya malipo before hajakwenda kufuatilia masuala mengine na mimi nilimwambia asubiri kwanza niwasiliane na Bossy.

Baada ya kuwasiliana na Iryn alinambia alishafanya payment na risiti ananitumia soon pia alisema saa 7 mchana niende kwake nikamchukue ili twende kigamboni kwenye zile Apartments.

Muda ulivyotimia nilikwenda kumchukua pale kwake na tuliondoka kwenda Kigamboni na wakati tuko njiani alikuwa ananiangalia sana na mimi nilijifanya kuwa busy na usukani.

“Insider leo umependeza sana.”

“Ahsante sana hata wewe leo uko sexy sana.”

“Thank you, umenichunia sana lakini.”

“Wasiwasi wako tu, mimi niko normal mbona.”

Baada ya kuwasili kigamboni kwenye zile apartments kuna mtu ambaye alikuwa ana kwenda kuonana naye ambaye ni dalali wa kampuni waliyo ingia mkataba wa kutafuta wateja wa zile apartments. Kwa upande mwingine kuna mpangaji alikuwa ametoka hivyo kulikuwa na marekebisho kidogo ya kupanga rangi na vitu vingine.

Baada ya kumaliza ukaguzi alimwita dalali na wakaanza kuongea gharama za kupaka rangi na mimi nilikuwa makini sana ili Iryn asipigwe hata cent maana gharama za ujenzi nazijua.

Iryn pia alimwambia yule Dalali kuanzia leo atakuwa anawasiliana na mimi kwenye masuala ya apartments,

“Kaka next time utakuwa una wasiliana na kaka hapa kuhusu masuala yote ya nyumba sawa?.”

“Sawa dada haina shida.”


Baada ya kumaliza taratibu zote Iryn alitoa pesa za ukarabati na aliendelea kuacha maagizo,

“Sasa kama tulivyoongea nyuma Mikataba mipya itakuwa na Jina langu na masuala yoyote ya kiutendaji utawasiliana na Manager wangu hapa, na utachukua namba yake.”

Ofcourse nilikuwa nafurahi sana Iryn akinitambulisha kama Manager, maana ina sound professional sana.Kitu kingine Iryn sio mwongeaji na hatumii nguvu kubwa kwenye kutoa maagizo yaani ni short and clear.

Baada ya kumalizana na Dalali sisi tuliondoka na tulivyofika pale Ferry sokoni tulinunua Samaki wabichi wa kutosha na wengine Iryn alinunua kwaajili ya Mama Janeth.

Safari yetu ilikuwa twende kwanza Masaki then nimrudishe kwake, kwa upande mwingine alikuwa anataka kwenda kutembelea Salon ya Masaki maana alisema ana muda hajakwenda.

Tulianza kwanza kupeleka samaki kwa mama Janeth na baada ya hapo tulikwenda Salon na baada ya kuwasili pale tulishuka kwa gari na Iryn na tuliongozana kuelekea ndani. Kwa upande mwingine wafanyakazi walionekana pale nje kibarazani wakipiga story na baada ya kumwona Iryn ukimya ukatawala.

Iryn aliwasalimia na tukaingia ndani moja kwa moja sasa ile wakati tumeingia tulikutana na Sumaiya na aliishia kunikata jicho kali sana, kwa upande wangu sikutaka kuendelea kukaa mle ndani hivyo nilimuacha Iryn aendelee kukagua na mimi nilitoka nje.

Muda huu nilimpigia simu Manuel ili kama amemaliza mambo yake nimpitie ili tuondoke na yeye alisema ndani ya nusu saa nikamchukue pale “Double tree” Apartments.

Tulitumia kama nusu saa pale Salon na ilikuwa jioni tayari ya saa 11, tuliondoka pale Salon na nilimwambia Iryn tunapitia kumchukua jamaa yangu. Kwa upande mwingine toka tunakwenda Kigamboni hatukuwa na story sana na Iryn na kwa upande wake ni kama alikuwa anajishtukia,

“Insider naona huna story na mimi kabisa najua jambo lilokukera ila usinifikirie vibaya inabidi utambue hii ni kama biashara zingine.”

“Nisawa ila Kwanini usifocus na kampuni za mama? Bado huko Ufaransa una biashara pia sioni sababu ya wewe kuendelea kuchezea migongo ya watu.”

“Insider hivi umejaribu kufikiri kama mama asingeacha kitu chochote ningekuwa katika hali gani?. Na kipaji cha Massage na nina connection za wateja Worldwide kwanini niache pesa? Unajua kuna ambao wana ujuzi kama wangu na hawana connection kama zangu?”

“Sawa mimi siwezi kupinga maamuzi yako ila unaweza fungua ofisi hapa Tanzania ukawa hata msimamizi.”

“Upo sahihi ndomana unaona kwenye Salon zote tumeweka massage room lakini kwa nature ya wateja nao deal nao itakuwa ngumu sana kunifuata. Pesa nazoingiza huku ni nyingi sana tena situmii nguvu kubwa.”

“Sawa Bossy mimi ni muajiriwa na sio mme wako unaweza fanya chochote ambacho unaona ni sawa kwako.”

“Insider huko umefika mbali sana but niko tayari kuacha kabisa hii biashara lakini kwa masharti kama utakuwa tayari.”

“Masharti gani hayo?”

Na muda huu tulikuwa getin pale “Double tree”na mlinzi akaturuhusu kuingia ndani kwa upande mwingine Manuel alionekana yuko na dada, baada ya kuniona walianza kuja usawa wetu.

Na maongezi yetu ni kama yalikwisha baada ya Manuel kutaka kufungua mlango wa mbele na ukawa uko locked, ilibidi nishushe kioo na alivyo muona Iryn kakaa mbele ilibidi yeye akae nyuma lakini nilishangaa kuona anaingia na ile pisi.

Na mimi muda huu nilifanya utambulisho bila kuchelewa na nilimtambulisha Manuel kwa Iryn kama Kaka yangu na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu, na baada ya utambulisho Manuel alionekana kufurahi sana na safari ikaanza pale.

Tulianza kumdrop Iryn pale kwake na baada ya hapo tuliendelea na safari ya kwenda Ramada hotel Mbezi Beach. Na muda huu Manuel alinitambulisha yule dada ni mpenzi wake wa muda mrefu na anafanyia kazi ubalozi wa Rwanda na ni Mnyarwanda. Ilikuwa ni pisi nzuri sana na hapa nikatambua Manuel ni kitombi sana.

Baada ya kuwasili pale Manuel alisema twende restaurant tukapate dinna maana ilikuwa ni saa 1 usiku tayari. Tulipata dinna ya pamoja na yule dada na tulikuwa tukipiga story nyingi sana muda huu. Manuel alinambia walikutana na yule dada Seacliff Karambezi cafe na baada ya hapo mahusiano yao ndo yalianza na wana kwenda miaka 2 kwasasa.

*******
Asubuhi baada ya kuamka nilifanya mawasiliano na dada Agent kuhusu mzigo na alinambia mpaka mchana utakuwa tayari kwa mimi kwenda kuufata.

Kwa upande mwingine mama J alikuwa anatarajia kuondoka kwenda Moshi kusalimia na kutoa pole za msiba hivyo ilibidi nifanye utaratibu wa kumkatia ticket ya ndege mapema.

Niliondoka kwenda kwenye majukumu yangu ya kila siku na wakati niko Mikocheni nikimalizia kupiga hesabu kabla sijapeleka pesa bank kwa upande mwingine Lucy aliingia ofisini.

“Insider kama unakwenda Mlimani city nataka twende wote.”

“Sawa haina shida mimi niko tayari tunaweza ondoka.”

Tuliongozana pale kuelekea parking na tulianza safari ya kwenda Mlimani City.

“Insider nimechaguliwa kusoma BBA-UDSM, BAC-IFM na Procurement-CBE sasa nishauri hapo rafiki yangu.”

“Kasome BBA afu mwaka wa pili uta major kwenye Finance, kingine UDSM karibu ukitoka ofisini unawahi chuo haraka.”

“Hata Iryn kanishauri nisome hii, kingine amesema atanilipia ada unajua siamini Insider.”

“Lini mlikuwa mnaongea haya?”

“Jumapili, unajua toka uwe naye close tena hata upendo kwangu umeongezeka sana, Jumapili nimeshinda kwake siku nzima.”

“Sawa bhana hongera sana nimefurahi kusikia utalipiwa ada na mimi nitakununulia madaftari rafiki yangu.”

“Hahaha shenzi sana wewe.” Na aliishia kunipiga na kibao cha uchokozi.

Baada ya kuwasili pale Mlimani city mimi nilikwenda Bank na Lucy alisema anakwenda shoppers kununua jug la kuchemshia maji.

Baada ya kumaliza kudeposit pesa niliamua kwenda pale Samakisamaki kupata lunch maana ilikuwa saa 6 mchana tayari na baada ya dakika 10 Lucy alikuja pale na yeye akaagiza msosi.

“Insider hapa si gharama sana?”

“Acha ubahili na wewe weekend hii mshahara unaingia.”

“Mimi sina hela bhana ndomana.”

“Aisee! sawa nitakulipia, hivi Lucy upo kwenye mahusiano?.”

“Kwasasa hapana niko single kama Bossy wako.”

“Aisee Iryn amekwambia yuko single?”

“Kazi kwako baba uwe na wake wa2 au mchepuko mwenye pesa, ningekuwa mimi ningemzalisha kabisa huoni anavyompenda Junior? kaupenda mkojo wako baba, kuliko kumwagia akina Sumaiya bora umwagie kwa Iryn.”

“Sawa bhana tuachane na hizi story.”

Muda huu niliwaza kama Lucy alishinda kwa Iryn siki nzima inawezekana waliongea vingi sana lakini Lucy anaongea kwa mafumbo. Na mimi sikutaka kumuuliza chochote, na baada ya lunch tuliondoka kurudi ofisini.

Nilitulia pale ofisini ili niendelee kubuy time ya kwenda kufuata mzigo Posta na muda huu simu yangu ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Bossy lady. Baada ya kupokea simu yake alitaka twende wote Posta kuchukua mzigo maana yuko bored afu pia ana mazungumzo na mimi.

Saa 10 jioni dada alinambia mzigo upo tayari na mimi niliwasiliana na dereva wa canter ili akaanze kuupakia. Kwa upande mwingine nilikuwa nishakuwa mzoefu tayari na nilikuwa na watu wangu wa kufanya nao kazi.

Nilikwenda kumchukua Iryn pale kwake na baada ya hapo tulianza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani dereva wa Canter alinipigia simu na akanipa taarifa kwamba amemaliza kupakia mzigo hivyo nikamwambia aanze safari tutakutana.

Baada ya kuwasili Posta tulikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kwa dada na tulichukua documents za mzigo tukaondoka. Tulianza kwanza Masaki kushusha mzigo na wakati mzigo unashushwa Iryn alinifuata,

“Insider hawa si tunawaacha waende Mikocheni then sisi tukaongee?”

“Ni sawa tu maana Dereva anajua location labda nimlipe aende.”

Niliongea na Dereva aupeleke mzigo uliobaki Mikocheni ambapo angekutana na Lucy na nilifanya malipo.

Muda huu ilikuwa jioni na Iryn alikuwa na mazungumzo na mimi na alisema twende Capetown fish market, Msasani. Kwa upande wangu nilikuwa ninashauku sana kujua ni nini ambacho Iryn alikuwa anataka kuongea?. Mara ya mwisho alisema yuko tayari kuacha biashara zake za massage lakini kwa masharti.

Baada ya kuwasili pale Capetown ofcourse ilikuwa bado mapema hivyo baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulitafuta sehem nzuri ya pembeni ili tuwe tunapata na upepo wa bahari, na muda huu mhudumu alikuja kutusikiliza na wote tuli odda sea food.

From nowhere nilisikia mtu akiniita “shem……” na ile kugeuka namuona Eva, kumbe toka naingia pale alikuwa ananichora.

“Hi Eva upo?”

“Nipo shem wangu za siku? hatujaonana toka Prisca anaumwa kipindi kile cha mitihani.”

Na muda huu Eva alimsalimia Iryn na akavuta kiti akakaa upande wangu wa kushoto, mara nyingi mimi na Iryn huwa tunakaa opposite (tunatizamana).

“Eva umekuja muda gani hapa?”

“Nimekuja muda sana na best zangu wale pale nyuma.”

Na mimi baada ya kugeuka niliwaona best zake watatu, walikuwa wanakunywa wine.

“Ulikuwa kazini nini?”

“Kama unavyo niona nimetoka field, rafiki yetu alikuwa na birthday akatupa offa ya dinna, hata hivyo ndo naondoka hapa nikaona nije nikusalimie shem wangu.”

“Ahsante sana Eva nashukuru sana.”

Nilikuwa na wakati mgumu sana muda huu maana Eva alianza kuongea masuala ya mimba ya Prisca, Iryn naye alikuwa makini sana muda huu kumsikiliza Eva na hapa nikasema leo nimeyakanyaga.

Eva alikuwa anaongea na mimi lakini sauti yake ilikuwa inasikika vizuri kabisa,

“Prisca alinambia anakaa na Mary kwa sasa kwanini haukai na Prisca na ana mimba yako? Kwa hili shem mimi ndo unaniboa sana, kwanini humajali?”

Ilibidi nimwambie Eva aache hizi story maana nilikuwa napotezesha mada lakini wapi haelewi, na nilihisi amelewa maana haikuwa akili yake muda huu, Eva kwa muda mchache aliongea mambo mengi sana kuhusu Prisca na Mary.

“Eva tutaongea badae sawa?.”

“Shem byee mimi naondoka msalimie Prisca maana toka chuo tufunge hajanitafuta, kila mtu ana pambana na hali yake

Na mimi nilinyamaza kimya hata sikumjibu ila kwa upande mwingine alikuwa kanipiga na kitu kizito sana kichwani. Kwa upande wa Iryn alionekana kubadilika sana na mimi nilihisi Iryn kasikia kila kitu, kwa upande wangu hata sikujali.

Kutokana na Eva kumtaja taja Mary nilijua lazima Iryn kamjua mwanamke anayemuongelea Eva ni Prisca maana Mary alikuwa analifaham jina lake kasoro Prisca tu ambaye alikuwa anafaham ni mdogo wake Mary.

Baada ya Eva kuondoka kwa upande mwingine Iryn naye aliomba tuondoke maana alikuwa amefura sana,

“Insider tuondoke.”

“Si ulisema una mazungumzo na mimi?”

“Hakuna mazungumzo Insider, tuondoke nipeleke home. I am tired of all this bullshit.”

Tuliondoka na Iryn na alikuwa amenuna balaa na macho yalikuwa mekundu sana, na wakati tuko kwa gari Iryn uvumilivu ulimshinda akaanza kuongea,

“Insider unakumbuka nilikwambia something fishy kinaendelea kati yako na kina Mary? Kumbe unadate na mdogo wake muda mrefu mpaka ana mimba yako.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kujibu wala kujitetea muda huu maana mambo yote yalikuwa hadharani. Pia kwa upande wangu nilishangaa kuona Iryn kuwa vile,

“Iryn sasa wewe unachochukia na kuninunia ni nini? Maana hatuna mahusiano yoyote kati yetu.”

Kwa upande wake alinyamaza kimya lakini machozi yalianza kushuka taratibu, Iryn ana machozi ya karibu sana. Muda huu nilishindwa kuelewa kinacho mliza ni nini, nilitoa kitambaa ili nimfute machozi lakini aliishia ku-push mkono wangu,

“Insider leave me alone and don’t touch me again please.”

Baada ya kufika kwake alishuka kwa haraka sana na alikwenda ndani kwa upande wangu sikuwa na choice wala sikujua nifanye nini, maana hata mimi nilikuwa nimevurugwa hivyo niliamua kuondoka.


TO BE CONTINUED
"Tukapiga ramance ghafla simu ikaita. Alikuwa ni mama wawili."
"Fish market akatokea Eva"
Following closely these incidences!
 
EPISODE 61

CONTINUE

Niliwasili pale Hospital Massana na nilimkuta Mama wa2 amelala kwenye bench ilibidi nisogee mpaka usawa wake afu nikamshika mkono. Mama wa2 baada ya kuniona alifurahi sana kwakweli maana alikuwa peke yake pale na nilijikuta napatwa na huruma.

“Mama mkwe shida ni nini? Na upo peke yako.”

“Bora hata nimekuona kama unavyoniona hapa niko peke yangu, dada amekwenda kuandaa uji.”

Mama wa2 alinambia Rachel alianza kuumwa kama homa na ghafla hali ilizidi kubadilika ndo kumpeleka pale Massana Hospital, na wakasema itabidi alazwe kwaajili ya uangalizi.

Na mimi niliendelea kukaa na mama wa2 pale kwenye bench na aliishia kulala huku ameegemea kwangu. Saa 11 alfajiri nesi alitoka akasema anaweza kwenda kumuona mtoto na tulikwenda pamoja ndani kwa upande mwingine Rachel hali yake ilikuwa imeanza kurudi sawa.

Muda huu pia dada alikuja na uji hivyo nikapata sababu ya kumuaga mama wa2 pale maana nilitakiwa kwenda Bagamoyo kumuona Bint yake Pili kama nilivyo muahidi. Tuliagana pale na Mama wa2 na alisema atanitumia Pesa za kumnunulia vitu vya kumpelekea.

Nilirudi home kulala maana nilikuwa nimechoka sana, asubuhi niliamshwa na simu ya Iryn na alikuwa akiulizia maendeleo ya mtoto na alisema badae anahitaji twende Capetown Fish Market, na mimi nilimwambia kwa leo itakuwa ngumu maana nitakuwa na mgeni wa kumpokea Airport.

Saa yangu ilikuwa inaonesha ni saa 4 asubuhi hivyo nilijiandaa haraka ili niende Bagamoyo kwa Pili. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa anatarajia kuingia saa 11 jioni pale JNIA akitokea Ethiopia.

Nilitoka pale home lakini mipango yangu kichwani nipitie kwanza ukweni nikawasalimie na niwape pole ya msiba maana mama yake alikwenda Moshi sababu ya Msiba. Nilipitia kwanza pale Sokoni Nyuki na nilinunua mazaga ya kupeleka pale ukweni na niliendelea na safari yangu.

Baada ya kuwasili pale ukweni niliwasalimia wote na nilikuwa na mazungumzo private na wife lengo kubwa nilitaka arudi home ili Manuel akija kusalimia amkute pale home na Junior.

Kwa upande mwingine wife alikuwa na safari ya kwenda Moshi kutoa pole maana yeye hakwenda Msibani, hivyo nilimwomba aende alhamis na nitamkatia ticket ya ndege. Nilitumia kama lisaa pale ukweni na niliwaaga nikaondoka kuelekea Bagamoyo maana nilikuwa nakimbizana na muda.

Baada ya kufika Bunju mwisho ilibidi ninue baadhi ya mazaga ya kumpelekea Pili. Ulikuwa ni mwendo wa lisaa mpaka nawasili pale shuleni na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kuomba kuonana na Pili.

Pili baada ya kuitwa na kuniona alifurahi sana na aliishia kunikumbatia na tulitafuta sehemu nzuri tukakaa na tukaanza story pale. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu kwenda Mwanza kwa Baba yake na masuala ya masomo pia. Nilitumia kama lisaa kukaa na Pili na ilibidi nimuage pale ili niwahi kwenda Airport, kwa upande wake alifurahi sana hii siku.

Saa yangu ilikuwa inasoma saa 9 wakati natoka pale Bagamoyo hivyo niliendesha gari kwa kasi sana mpaka nafika pale JNIA terminal 3. Kwa upande mwingine Manuel alikuwa amewasili tayari pale JNIA na alikuwa akinisubiri mimi tu.

Baada ya kuingia ndani tulionana na Manuel na tuliishia kukukumbatiana kihuni pale na hao tukaanza safari ya kwenda Mbezi Beach. Manuel alikuja Tanzania kwaajili ya masuala ya kazi na alikuwa anatarajia kuondoka jumamosi na mimi ndo nilimshauri akae hotel ya jirani ili iwe rahisi kumfuata na kumrudisha.

Ramada Hotel ndo sehemu ambayo Manuel alifanya booking na baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka room kuweka mabag na baada ya hapo tulikwenda kupata Dinna.

“Man I’m very happy to see you again.”

“Thank you brother how about Alex, Olivia & Sophie?”

“They’re fine so where are we going tonight? I want to party crazy.”

“On sunday the best place to go and we gonna party crazy is Kidimbwi beach.”

“Alright brother let’s go!”

“Do you remember that place?”

“I remember bro! We went crazy that day.”

“Yeah.”

Tuliondoka kwenda Kidimbwi na baada ya kuwasili pale tulikwenda kukaa upande uleule wa siku ile. Tuliagiza vinywaji pale kwa upande wangu kama kawaida nili odda heineken na Manuel aliagiza Vodka bila kusahau mishikaki.

Dada hakuchelewa kutuletea vinywaji na tulianza kukimbiza pale taratibu na muda huu story zilikuwa zimetawala na vicheko. Kwa upande mwingine nilikuwa namuona Manuel yuko makini sana kuangalia pisi. Kwa upande wake kuna pisi aliipenda na alinionesha hivyo nikamwambia mhudumu akija tutamtuma akamuite.

Baada ya mhudumu kuja kuangalia mazingira pale, Manuel alimtuma akamuite dada, kwa upande mwingine ilibidi yule dada ageuke atizame ni nani anamuita na Manuel alimpungia mkono. Dada alikuja kumsikiliza Manuel na waliongea kama dakika 5 hivi, kwa upande wa dada alionekana kuingia line, lakini nilishangaa kuona dada akiondoka.

“Bro what happened? where’s she going?”

“Don’t worry Bro, she’s coming soon.”

Na tuliishia kucheka wote muda huu na tukagonga cheers.

Kama mnakumbuka episode za mwanzoni kabisa nilisema nitawaambia kuhusu Manuel, ni hivi jamaa ni mtu wa mademu sana anapenda p**sy balaa tena yeye anazikubali sana pisi za kiafrica. (Ref: Episode 3)

Baada ya nusu saa yule dem alikuja na Manuel alimwambia aagize kinywaji anachotaka na aliishia kuagiza savanna. Kwa upande mwingine mimi nilikuwa hoi sana maana toka jana nilikuwa sijalala kabisa, hivyo ilivyofika saa 7 tuliondoka maeneo yale na Manuel alikuwa na Pisi yake mpya.

Niliwapeleka mpaka Ramada na mimi nilirudi kulala home na ile asubuhi mapema nilimtumia mama wa2 ujumbe kuwa sitoweza kwenda kumchukua hivyo afanye kurequest usafiri wa kumpeleka kazini.

*******
Saa 4 asubuhi mama J alirudi nyumbani na alianza kufanya usafi wa nyumba pamoja na kupika.

Saa 6 mchana nilikwenda Ramada kumchukua Manuel ili aje home na nilimkuta bado yuko na ile Pisi ya Kidimbwi. Nilimsubiri kama lisaa hivi ndo walitoka na yule dada alikuwa amerequest usafiri na sisi tuliondoka kwenda home.

Wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story za jana na kubwa alikuwa anasema yule mwanamke aliyerudi naye ni amemburudisha sana.

“How much have you paid for sex?”

“Bro! I don’t pay for sex, I just gave her $20 for transport, I’ll meet her again on friday.”

Ilibidi nicheke tu maana Manuel aliongea mambo mengi sana.

Baada ya kuwasili home nilimkaribisha ndani na baada ya kuingia seblen alimkuta Junior anacheza pale na aliishia kumnyanyua na kuanza kucheza naye. Kwa upande mwingine mama J naye alikuja seblen pale na mimi nilifanya utambulisho mfupi pale na tulikwenda kupata lunch.

Tulitumia kama masaa 4 home na wakati wa kuondoka tulipiga picha ya pamoja na familia yangu na nikamrudisha Ramada akapumzke, maana alisema toka arudi na dada hakupata muda wa kulala.(Siku ukibahatika kuja kwangu hii picha iko seblen).

Baada ya kumrudisha pale Hotelin tuliagana na mimi nilirudi home na nilishinda pale nikicheza na Junior. Jioni mama wa2 alinipigia simu na aliomba usiku tuonane pale kwake akirudi kazini, kwa upande mwingine toka niende kwa Pili shuleni hata hatukuweza kuonana bali tuliishia kuwasiliana tu kwa simu.

Usiku nilikwenda kuonana na mama wa2 na hii siku nilikwenda na Junior, baada ya kuwasili kwake niliingia ndani na Rachel baada ya kumuona Junior aliishia kufurahi, na alikuwa akiendelea vizuri. Haikuchukua muda mrefu mama wa2 naye alitoka pale seblen na tukaanza mazungumzo.

“Mkwe mambo naona leo umeamua kuja na mme wetu.”

“Alikuwa ananililia sana nimeona nije naye tu, si unajua nimehamia makazi mapya hata sio mbali na hapa”.

“Itabidi nije nipafahamu makazi mapya.”

“Karibu anytime, kwanza samahani maana jana nilibanwa sana hata nikashindwa kuja nyumbani ili nijue hata maendeleo ya Rachel.”

“Rachel kama unavyomuona hapo amepona tayari ila bado anaendelea na dozi, labda wewe unipe ripoti za Pili huko shuleni.”

“Pili yuko sawa na anaendelea vizuri kutokana na maneno ya matron wake.”

“Alikuwa anaumwa ndomana nilikuomba uende ukamwone na nilitamani tungeenda wote lakini ndo Rachel akaanza kuumwa.”

“Usijali mama mkwe mimi nilikuwakilisha na amefurahi kuliko hata ungeenda wewe, yaani ningekuwa sijaoa Pili angekuwa mke wangu.”

“Na mimi ningekupa bure kabisa na harusi ninge gharamia.”

Tulikuwa tunacheka pale na muda huu mama wa2 aliinuka kwenda ndani na baada ya dakika alirudi pale seblen akiwa ameshika bahasha kubwa ya kaki na akanikabidhi pale.

“Mkwe hizo ni zile Pesa ulizoomba nimekopa kwenye kikundi chetu na hapo tutatakiwa kulipa riba ya 5% kwa miezi 6, vipi kwa upande wako.”

“Mama mkwe mimi nashukuru sana miezi 6 ni mingi nitajibana na kamshahara nako pata niwe nalipa hili deni.”

“Usijali wewe kama unakwama unakuwa unasema tunasaidiana marejesho, nakuamini sana.”

Nilimshukuru mama wa2 kwa kunipigania kupata zile pesa na nilimuaga pale nikaondoka na Junior, Kwa upande mwingine mama wa2 alinambia weekend hii atahamia kwake na pia ameomba emergence ya week 1 kwaajili ya kukamilisha suala hili.

Kwa upande wangu nilikuwa na furaha sana kwa kupata hizi pesa na baada ya kurudi home sikutaka kuchelewa na nilimpigia simu Mzee Mollel ili nimalize vipengele vyote.

Kwa upande mwingine toka sakata la ugomvi wangu na Prisca litokee hakuwai kunitafuta na mimi niliamua kula buyu.

*******
Asubuhi nilikwenda kumchukua Manuel na alikuwa anakwenda Masaki kwaajili ya masuala ya kikazi, hivyo baada ya kumdrop na mimi nilikwenda ofisini kuweka mambo sawa then nikaenda Mikocheni kuendelea na majukumu mengine.

Kwa upande mwingine kulikuwa na mzigo unatarajia kuingia jumatano na Agent alikuwa kanipigia simu kuuliza kama tulifanya malipo before hajakwenda kufuatilia masuala mengine na mimi nilimwambia asubiri kwanza niwasiliane na Bossy.

Baada ya kuwasiliana na Iryn alinambia alishafanya payment na risiti ananitumia soon pia alisema saa 7 mchana niende kwake nikamchukue ili twende kigamboni kwenye zile Apartments.

Muda ulivyotimia nilikwenda kumchukua pale kwake na tuliondoka kwenda Kigamboni na wakati tuko njiani alikuwa ananiangalia sana na mimi nilijifanya kuwa busy na usukani.

“Insider leo umependeza sana.”

“Ahsante sana hata wewe leo uko sexy sana.”

“Thank you, umenichunia sana lakini.”

“Wasiwasi wako tu, mimi niko normal mbona.”

Baada ya kuwasili kigamboni kwenye zile apartments kuna mtu ambaye alikuwa ana kwenda kuonana naye ambaye ni dalali wa kampuni waliyo ingia mkataba wa kutafuta wateja wa zile apartments. Kwa upande mwingine kuna mpangaji alikuwa ametoka hivyo kulikuwa na marekebisho kidogo ya kupanga rangi na vitu vingine.

Baada ya kumaliza ukaguzi alimwita dalali na wakaanza kuongea gharama za kupaka rangi na mimi nilikuwa makini sana ili Iryn asipigwe hata cent maana gharama za ujenzi nazijua.

Iryn pia alimwambia yule Dalali kuanzia leo atakuwa anawasiliana na mimi kwenye masuala ya apartments,

“Kaka next time utakuwa una wasiliana na kaka hapa kuhusu masuala yote ya nyumba sawa?.”

“Sawa dada haina shida.”


Baada ya kumaliza taratibu zote Iryn alitoa pesa za ukarabati na aliendelea kuacha maagizo,

“Sasa kama tulivyoongea nyuma Mikataba mipya itakuwa na Jina langu na masuala yoyote ya kiutendaji utawasiliana na Manager wangu hapa, na utachukua namba yake.”

Ofcourse nilikuwa nafurahi sana Iryn akinitambulisha kama Manager, maana ina sound professional sana.Kitu kingine Iryn sio mwongeaji na hatumii nguvu kubwa kwenye kutoa maagizo yaani ni short and clear.

Baada ya kumalizana na Dalali sisi tuliondoka na tulivyofika pale Ferry sokoni tulinunua Samaki wabichi wa kutosha na wengine Iryn alinunua kwaajili ya Mama Janeth.

Safari yetu ilikuwa twende kwanza Masaki then nimrudishe kwake, kwa upande mwingine alikuwa anataka kwenda kutembelea Salon ya Masaki maana alisema ana muda hajakwenda.

Tulianza kwanza kupeleka samaki kwa mama Janeth na baada ya hapo tulikwenda Salon na baada ya kuwasili pale tulishuka kwa gari na Iryn na tuliongozana kuelekea ndani. Kwa upande mwingine wafanyakazi walionekana pale nje kibarazani wakipiga story na baada ya kumwona Iryn ukimya ukatawala.

Iryn aliwasalimia na tukaingia ndani moja kwa moja sasa ile wakati tumeingia tulikutana na Sumaiya na aliishia kunikata jicho kali sana, kwa upande wangu sikutaka kuendelea kukaa mle ndani hivyo nilimuacha Iryn aendelee kukagua na mimi nilitoka nje.

Muda huu nilimpigia simu Manuel ili kama amemaliza mambo yake nimpitie ili tuondoke na yeye alisema ndani ya nusu saa nikamchukue pale “Double tree” Apartments.

Tulitumia kama nusu saa pale Salon na ilikuwa jioni tayari ya saa 11, tuliondoka pale Salon na nilimwambia Iryn tunapitia kumchukua jamaa yangu. Kwa upande mwingine toka tunakwenda Kigamboni hatukuwa na story sana na Iryn na kwa upande wake ni kama alikuwa anajishtukia,

“Insider naona huna story na mimi kabisa najua jambo lilokukera ila usinifikirie vibaya inabidi utambue hii ni kama biashara zingine.”

“Nisawa ila Kwanini usifocus na kampuni za mama? Bado huko Ufaransa una biashara pia sioni sababu ya wewe kuendelea kuchezea migongo ya watu.”

“Insider hivi umejaribu kufikiri kama mama asingeacha kitu chochote ningekuwa katika hali gani?. Na kipaji cha Massage na nina connection za wateja Worldwide kwanini niache pesa? Unajua kuna ambao wana ujuzi kama wangu na hawana connection kama zangu?”

“Sawa mimi siwezi kupinga maamuzi yako ila unaweza fungua ofisi hapa Tanzania ukawa hata msimamizi.”

“Upo sahihi ndomana unaona kwenye Salon zote tumeweka massage room lakini kwa nature ya wateja nao deal nao itakuwa ngumu sana kunifuata. Pesa nazoingiza huku ni nyingi sana tena situmii nguvu kubwa.”

“Sawa Bossy mimi ni muajiriwa na sio mme wako unaweza fanya chochote ambacho unaona ni sawa kwako.”

“Insider huko umefika mbali sana but niko tayari kuacha kabisa hii biashara lakini kwa masharti kama utakuwa tayari.”

“Masharti gani hayo?”

Na muda huu tulikuwa getin pale “Double tree”na mlinzi akaturuhusu kuingia ndani kwa upande mwingine Manuel alionekana yuko na dada, baada ya kuniona walianza kuja usawa wetu.

Na maongezi yetu ni kama yalikwisha baada ya Manuel kutaka kufungua mlango wa mbele na ukawa uko locked, ilibidi nishushe kioo na alivyo muona Iryn kakaa mbele ilibidi yeye akae nyuma lakini nilishangaa kuona anaingia na ile pisi.

Na mimi muda huu nilifanya utambulisho bila kuchelewa na nilimtambulisha Manuel kwa Iryn kama Kaka yangu na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu, na baada ya utambulisho Manuel alionekana kufurahi sana na safari ikaanza pale.

Tulianza kumdrop Iryn pale kwake na baada ya hapo tuliendelea na safari ya kwenda Ramada hotel Mbezi Beach. Na muda huu Manuel alinitambulisha yule dada ni mpenzi wake wa muda mrefu na anafanyia kazi ubalozi wa Rwanda na ni Mnyarwanda. Ilikuwa ni pisi nzuri sana na hapa nikatambua Manuel ni kitombi sana.

Baada ya kuwasili pale Manuel alisema twende restaurant tukapate dinna maana ilikuwa ni saa 1 usiku tayari. Tulipata dinna ya pamoja na yule dada na tulikuwa tukipiga story nyingi sana muda huu. Manuel alinambia walikutana na yule dada Seacliff Karambezi cafe na baada ya hapo mahusiano yao ndo yalianza na wana kwenda miaka 2 kwasasa.

*******
Asubuhi baada ya kuamka nilifanya mawasiliano na dada Agent kuhusu mzigo na alinambia mpaka mchana utakuwa tayari kwa mimi kwenda kuufata.

Kwa upande mwingine mama J alikuwa anatarajia kuondoka kwenda Moshi kusalimia na kutoa pole za msiba hivyo ilibidi nifanye utaratibu wa kumkatia ticket ya ndege mapema.

Niliondoka kwenda kwenye majukumu yangu ya kila siku na wakati niko Mikocheni nikimalizia kupiga hesabu kabla sijapeleka pesa bank kwa upande mwingine Lucy aliingia ofisini.

“Insider kama unakwenda Mlimani city nataka twende wote.”

“Sawa haina shida mimi niko tayari tunaweza ondoka.”

Tuliongozana pale kuelekea parking na tulianza safari ya kwenda Mlimani City.

“Insider nimechaguliwa kusoma BBA-UDSM, BAC-IFM na Procurement-CBE sasa nishauri hapo rafiki yangu.”

“Kasome BBA afu mwaka wa pili uta major kwenye Finance, kingine UDSM karibu ukitoka ofisini unawahi chuo haraka.”

“Hata Iryn kanishauri nisome hii, kingine amesema atanilipia ada unajua siamini Insider.”

“Lini mlikuwa mnaongea haya?”

“Jumapili, unajua toka uwe naye close tena hata upendo kwangu umeongezeka sana, Jumapili nimeshinda kwake siku nzima.”

“Sawa bhana hongera sana nimefurahi kusikia utalipiwa ada na mimi nitakununulia madaftari rafiki yangu.”

“Hahaha shenzi sana wewe.” Na aliishia kunipiga na kibao cha uchokozi.

Baada ya kuwasili pale Mlimani city mimi nilikwenda Bank na Lucy alisema anakwenda shoppers kununua jug la kuchemshia maji.

Baada ya kumaliza kudeposit pesa niliamua kwenda pale Samakisamaki kupata lunch maana ilikuwa saa 6 mchana tayari na baada ya dakika 10 Lucy alikuja pale na yeye akaagiza msosi.

“Insider hapa si gharama sana?”

“Acha ubahili na wewe weekend hii mshahara unaingia.”

“Mimi sina hela bhana ndomana.”

“Aisee! sawa nitakulipia, hivi Lucy upo kwenye mahusiano?.”

“Kwasasa hapana niko single kama Bossy wako.”

“Aisee Iryn amekwambia yuko single?”

“Kazi kwako baba uwe na wake wa2 au mchepuko mwenye pesa, ningekuwa mimi ningemzalisha kabisa huoni anavyompenda Junior? kaupenda mkojo wako baba, kuliko kumwagia akina Sumaiya bora umwagie kwa Iryn.”

“Sawa bhana tuachane na hizi story.”

Muda huu niliwaza kama Lucy alishinda kwa Iryn siki nzima inawezekana waliongea vingi sana lakini Lucy anaongea kwa mafumbo. Na mimi sikutaka kumuuliza chochote, na baada ya lunch tuliondoka kurudi ofisini.

Nilitulia pale ofisini ili niendelee kubuy time ya kwenda kufuata mzigo Posta na muda huu simu yangu ilianza kuita na kucheki alikuwa ni Bossy lady. Baada ya kupokea simu yake alitaka twende wote Posta kuchukua mzigo maana yuko bored afu pia ana mazungumzo na mimi.

Saa 10 jioni dada alinambia mzigo upo tayari na mimi niliwasiliana na dereva wa canter ili akaanze kuupakia. Kwa upande mwingine nilikuwa nishakuwa mzoefu tayari na nilikuwa na watu wangu wa kufanya nao kazi.

Nilikwenda kumchukua Iryn pale kwake na baada ya hapo tulianza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani dereva wa Canter alinipigia simu na akanipa taarifa kwamba amemaliza kupakia mzigo hivyo nikamwambia aanze safari tutakutana.

Baada ya kuwasili Posta tulikwenda moja kwa moja mpaka ofisini kwa dada na tulichukua documents za mzigo tukaondoka. Tulianza kwanza Masaki kushusha mzigo na wakati mzigo unashushwa Iryn alinifuata,

“Insider hawa si tunawaacha waende Mikocheni then sisi tukaongee?”

“Ni sawa tu maana Dereva anajua location labda nimlipe aende.”

Niliongea na Dereva aupeleke mzigo uliobaki Mikocheni ambapo angekutana na Lucy na nilifanya malipo.

Muda huu ilikuwa jioni na Iryn alikuwa na mazungumzo na mimi na alisema twende Capetown fish market, Msasani. Kwa upande wangu nilikuwa ninashauku sana kujua ni nini ambacho Iryn alikuwa anataka kuongea?. Mara ya mwisho alisema yuko tayari kuacha biashara zake za massage lakini kwa masharti.

Baada ya kuwasili pale Capetown ofcourse ilikuwa bado mapema hivyo baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulitafuta sehem nzuri ya pembeni ili tuwe tunapata na upepo wa bahari, na muda huu mhudumu alikuja kutusikiliza na wote tuli odda sea food.

From nowhere nilisikia mtu akiniita “shem……” na ile kugeuka namuona Eva, kumbe toka naingia pale alikuwa ananichora.

“Hi Eva upo?”

“Nipo shem wangu za siku? hatujaonana toka Prisca anaumwa kipindi kile cha mitihani.”

Na muda huu Eva alimsalimia Iryn na akavuta kiti akakaa upande wangu wa kushoto, mara nyingi mimi na Iryn huwa tunakaa opposite (tunatizamana).

“Eva umekuja muda gani hapa?”

“Nimekuja muda sana na best zangu wale pale nyuma.”

Na mimi baada ya kugeuka niliwaona best zake watatu, walikuwa wanakunywa wine.

“Ulikuwa kazini nini?”

“Kama unavyo niona nimetoka field, rafiki yetu alikuwa na birthday akatupa offa ya dinna, hata hivyo ndo naondoka hapa nikaona nije nikusalimie shem wangu.”

“Ahsante sana Eva nashukuru sana.”

Nilikuwa na wakati mgumu sana muda huu maana Eva alianza kuongea masuala ya mimba ya Prisca, Iryn naye alikuwa makini sana muda huu kumsikiliza Eva na hapa nikasema leo nimeyakanyaga.

Eva alikuwa anaongea na mimi lakini sauti yake ilikuwa inasikika vizuri kabisa,

“Prisca alinambia anakaa na Mary kwa sasa kwanini haukai na Prisca na ana mimba yako? Kwa hili shem mimi ndo unaniboa sana, kwanini humajali?”

Ilibidi nimwambie Eva aache hizi story maana nilikuwa napotezesha mada lakini wapi haelewi, na nilihisi amelewa maana haikuwa akili yake muda huu, Eva kwa muda mchache aliongea mambo mengi sana kuhusu Prisca na Mary.

“Eva tutaongea badae sawa?.”

“Shem byee mimi naondoka msalimie Prisca maana toka chuo tufunge hajanitafuta, kila mtu ana pambana na hali yake

Na mimi nilinyamaza kimya hata sikumjibu ila kwa upande mwingine alikuwa kanipiga na kitu kizito sana kichwani. Kwa upande wa Iryn alionekana kubadilika sana na mimi nilihisi Iryn kasikia kila kitu, kwa upande wangu hata sikujali.

Kutokana na Eva kumtaja taja Mary nilijua lazima Iryn kamjua mwanamke anayemuongelea Eva ni Prisca maana Mary alikuwa analifaham jina lake kasoro Prisca tu ambaye alikuwa anafaham ni mdogo wake Mary.

Baada ya Eva kuondoka kwa upande mwingine Iryn naye aliomba tuondoke maana alikuwa amefura sana,

“Insider tuondoke.”

“Si ulisema una mazungumzo na mimi?”

“Hakuna mazungumzo Insider, tuondoke nipeleke home. I am tired of all this bullshit.”

Tuliondoka na Iryn na alikuwa amenuna balaa na macho yalikuwa mekundu sana, na wakati tuko kwa gari Iryn uvumilivu ulimshinda akaanza kuongea,

“Insider unakumbuka nilikwambia something fishy kinaendelea kati yako na kina Mary? Kumbe unadate na mdogo wake muda mrefu mpaka ana mimba yako.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kujibu wala kujitetea muda huu maana mambo yote yalikuwa hadharani. Pia kwa upande wangu nilishangaa kuona Iryn kuwa vile,

“Iryn sasa wewe unachochukia na kuninunia ni nini? Maana hatuna mahusiano yoyote kati yetu.”

Kwa upande wake alinyamaza kimya lakini machozi yalianza kushuka taratibu, Iryn ana machozi ya karibu sana. Muda huu nilishindwa kuelewa kinacho mliza ni nini, nilitoa kitambaa ili nimfute machozi lakini aliishia ku-push mkono wangu,

“Insider leave me alone and don’t touch me again please.”

Baada ya kufika kwake alishuka kwa haraka sana na alikwenda ndani kwa upande wangu sikuwa na choice wala sikujua nifanye nini, maana hata mimi nilikuwa nimevurugwa hivyo niliamua kuondoka.


TO BE CONTINUED
CHAI CHAI CHAI ILA TAMU
 
Stori ilianza ikiwa ya ukweli lakini baada ya kupata umaarufu basi jamaa kaamua kuiweka iwe na vitu vingi vya kutunga.

Leo ndio mara ya kwanza naweka komenti na ndio mara ya tatu ninaisoma juujuu na kuruka vitu vingi visivyo na muelekeo.

Ikishafikia hatua kama hiyo huwa naachana na mwandishi.

Kila la kheri mnapoendelea.
 
Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
Kujisahau kupo nakumbuka kwenye Uzi wa marehemu leadermoe najisahau najikuta najifichua mwenyewe uzuri nilikuwa nashtuka mapema na edit haraka kabla mtu haja reply ndo inakuwa basi tena wewe hata uki edit aloe quote au reply inabaki vile vile.
 
Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
Duuh! kumbe hadi wazee wa kwenye makombora ya kina Putin mnasomaga kimya kimya !!? kweli insaida kajua kuwabamba 🤣 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom