minzakunza
Senior Member
- Oct 15, 2015
- 150
- 357
Wanaweza ila sasa ndo kila anaekutana nae mume wa mtu Grizz, muajemi, insider wote mtoto wa watu anatia huruma jamaniKwani wanaume za watu hawapaswi kula nyama safi?
Wanaweza ila sasa ndo kila anaekutana nae mume wa mtu Grizz, muajemi, insider wote mtoto wa watu anatia huruma jamaniKwani wanaume za watu hawapaswi kula nyama safi?
Wanaweza ila sasa ndo kila anaekutana nae mume wa mtu Grizz, muajemi, insider wote mtoto wa watu anatia huruma jamani
20:3120:22
Nitakujulisha jumatatu ngoja nimalizane na weekend na kesho ibada,Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.
Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.
Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.
Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
20:50 INSIDER MAN wapiio20:31
Nimetoka kununua Leo jioni Pure German Shepherd Long coat laki nane. Tena muuzaji anasema huyu nimekupa kwasababu amebaki pekeakeMilioni 3 zote kununua mbwa 😳 nyiee kweli watu mna pesa za jumla na rejareja🙌🙌🙌🙌🙌!
khaa....mwambie mafisi wanakufa na alosto ya kipande chao pendwaJunior ana hariri story soon itakuwa kwa air.
Twaisubiri hapaJunior ana hariri story soon itakuwa kwa air.
Akijazie nyama vizurJunior ana hariri story soon itakuwa kwa air.
Like father like son 😂 😂 😂Junior naye mkubwa ana pisi yake mbona
Tupo Mzee mkuu, watoto wa ET Leo Tena wamelipuliwa pale pale OT😆😆😆😆😆😆😆Wanangu wa Arsenal mpo?