Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.

Embu check Strategies insurance ila bei zao zimechangamka.
 
Jubilee nitawacheki j3 natafuta kampuni nyingine afu nifanye comparison
Issue ya Health Insurance ni changamoto kiukweli.
Hawa private insurance zipo nyingi, ila tatizo ni coverage yake. Mf. Kuna Strategies, Sanlam, Britam, Jubilee n.k
Lakini swali la kujiuliza hapo ni hospitali ngapi zinapokea hizo bima??
Mimi kwa uzoefu wangu nakushauri ni bora uwacheki Jubilee insurance maana katika private health insurance wao ndo wana coverage kubwa zaidi.
 
Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
Hao watoto wanasoma?
 
Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
Hii ya watoto kwa NHIF wanataka ulipie kupitia shule kwa gharama hiyohiyo, na shule kuna kiwango cha idadi ya watoto wafikiwe ndio wanakubali, watoto 100...
Angalia jubilee

Sent from my SM-S908E using JamiiForums mobile app
 
Heri wana JF,

Paka hapa tulipofika katika story hii kuna mengi ya kujifunza kwa watu wote hasa:-


1.Uaminifu. Hii ni priceless yaani kama hujazaliwa nao basi jifunze ni bidhaa adimu mno.

2.Kuwa mtoaji.Duniani wanasema mkono unaotoa ndio unaopokea.

3.Kuzingatia muda. Hii itaonyesha userious wako na watu kuweza kukupa dili wakijua uko chap.

4.Kukwepa au kujikinga na uzinzi uwe umeoa au hujaoa n vice versa is true.Hili litakuepusha na mengi sana yanayoonekana na yasiyoonekana.

5.Usimdharau yeyote haijalishi unamjua au humjui.Be humble

6.Kuzingatia ibada ni muhimu sana usione vyaelea …………. ,rejea msomali na muajemi

Kwa uchache ni hayo ila yapo mengi.
 
Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
Strategies jaribu huko wapo vizuri na wameenea hosp nyingi kwa sasa
 
Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
Kama ni watoto wanaoishi kwenye vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu inawezekana hata NHIF kupata bima . Shida ni ikiwa hao 10 wako vituo tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom