Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Huu ni msemo wa wahenga, hasa unatufundisha kuwa
Motto hushabihiana tabia na baba yake ama mama yake
Raisi ndiye kiongozi mkuu kwa mfumo wa serikali ya Tanzania
Ikiwa ana watoto wengi kwanzia ngazi ya mawaziri
Hadi ngazi ya mwisho kiutendaji katika taasisi za umma
ambao ni wasaidizi wake katika swala zima la utekelezaji wa majukumu
Na wengi wao ni wezi wa maliza umma, je ina maana hiyo
Tabia wameshabihiana na baba yao? (Rais)
Maana ni vigumu kuwa jasiri na kumkanya mwanao au
Kumwadhibu, kwa tabia mbaya, ambazo hata mzazi unazo,
Wahenga walisema,...' tena mototo wa nyoka ni nyoka'
Tanzania nani wa kumwadhibu mwenzie kwa ufisadi kwa ujasiri???
Motto hushabihiana tabia na baba yake ama mama yake
Raisi ndiye kiongozi mkuu kwa mfumo wa serikali ya Tanzania
Ikiwa ana watoto wengi kwanzia ngazi ya mawaziri
Hadi ngazi ya mwisho kiutendaji katika taasisi za umma
ambao ni wasaidizi wake katika swala zima la utekelezaji wa majukumu
Na wengi wao ni wezi wa maliza umma, je ina maana hiyo
Tabia wameshabihiana na baba yao? (Rais)
Maana ni vigumu kuwa jasiri na kumkanya mwanao au
Kumwadhibu, kwa tabia mbaya, ambazo hata mzazi unazo,
Wahenga walisema,...' tena mototo wa nyoka ni nyoka'
Tanzania nani wa kumwadhibu mwenzie kwa ufisadi kwa ujasiri???