Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir


sheikh Mohamed, nina imani hekima yako ni zaidi ya hilo jawabu lako japo juu.

tafadhali sana soma katikati ya mistari nilichokiandika. ninaweza nisiwe mweledi sana kukuzidi, lakini ninaamnini sauti yangu ya unyonge inaweza kuwa imebeba wito maalumu unaostahili kusikizwa nawe.

tafadhali sana sheikh..

M Mbabe,

Tafadhali sana na mimi nakuomba kwa unyonge, umasikini, kokosa elimu
kwetu na fursa zote hebu nasi tusikize juu ya hii hali yetu.

Naamini nawe una uwezo wa kuelewa historia ya wazee wangu na nini
walifanya, na shida walizobeba kwa matumaini mema ya baadae.

Tuijue historia yetu itatusaidia.

Tafadhali sana ikiwa hujasoma kitabu changu soma na uwaone wazee
wangu.

Ukiwajua wazee wangu utanijua na mimi na ninaposimamia.

Kalamu yangu naamini siku zote inaandika ambayo yanastahili kusikizwa
na watu wakatafakari.

Nasikitika kuwa badala ya jibu kutolewa na wahusika.
Jibu unatoa wewe.

Mimi niko chini ya miguu yako.
Msitupuuze.

Tusikizeni kilio chetu.
 
Bukoba Vijijini,
Ahsante kwa hayo ulioandika.

Waislam baada ya uhuru 1961 waliitisha Muslim Congress mwaka 1962 na
1963 na wakaweka mipango ya elimu chini ya East African Muslim Welfare
Society (EAMWS) chini ya uongozi wa Tewa Said Tewa.

In Sha Allah iko siku nitaweka hapa nini kilitokea baada ya kujulikana kuwa
Waislam sasa watapiga hatua katika elimu.

Hii ni mada ya kujitegemea.

EAMWS ikapigwa marufuku kuwa si chama halali hakitakiwi Tanzania na Mufti
Sheikh Hassan bin Amir
aliyekuwa akihimiza elimu kwa Waislam akafukuzwa
nchini.

Serikali ikawaundia Waislam BAKWATA.

Kaka inaonekana kuna mengi ambayo watu hawayajui hivyo nakuomba sana ukipata nafasi ebu tupe kiundani juu ya hii EAMWS maana itatusaidia kuelewa mambo mengi na juhudi binafsi za muslim kujiendeleza katka elimu.

Asante kaka .
 
nilimsoma kwenye raia mwema, huyo sheikh na ilivyoelezewa ni waislam wenzie walimtenga na kumgwaya na akanyong'onyea sana kwa mawazo na akabaki akiwa mpweke, BAKWATA ambalo ni baraza kuu walimuona hafai pia, hivyo harakati zake zote zilizimwa, lakini muda upo, Mzee Said bado una nafasi ukishirikiana na barubaru na wenzio msiwe wazee wa kutoa mada yemen na kwingineko, kaeni chini tafuteni wafadhili muanzishe vyuo vyenu, mimi tarehe 19th nimenunua kadi ya milioni moja kuchangia upanuzi wa chuo kikuu cha Tumaini, mgeni rasmi ni Mheshimiwa JK, so nawausia ndugu zangu mnaolilia usawa, usawa unaanza na kuchukua hatua thabiti za kusimamia mambo yenu kupitia resources zenu ............................ sasa sina hakika ni kwanini hivi vyuo hamkuvianzisha basi wakati wa Mwinyi, mpaka mkaja kunyang'anya chuo cha TANESCO Morogoro, mkapewa nyie, sijui tuanzishe mada huku kudai kile chuo kirudi ?? usawa upi mwautaka hata mahakama itayojadili mambo yenu nayo kodi yangu iwalipie thubuttttttuuuu !!!
 
Kaka inaonekana kuna mengi ambayo watu hawayajui hivyo nakuomba sana ukipata nafasi ebu tupe kiundani juu ya hii EAMWS maana itatusaidia kuelewa mambo mengi na juhudi binafsi za muslim kujiendeleza katka elimu.

Asante kaka .

muwache kupora vyuo kama cha TANESCO muanzishe vyenu EMWAS bado ina nafasi, pale mtaani kwetu kuna kijidaftari cha ujenzi wa msikiti, nikasema hebu na mie nichangie, maana kwakweli wanaswalisha vizuri na sina ugomvi kabisa na maendeleo kama hayo kuangalia kidaftari salalalaaaaa michango mnaandikisha shs 200 nikaona hapa nikiweka nyekundu itaishia mfukoni kwa ustaadhi, hebu jaribuni kufanya mambo yenu vizuri sio kututisha na majambia na kupora vituo vya polisi
 
nilimsoma kwenye raia mwema, huyo sheikh na ilivyoelezewa ni waislam wenzie walimtenga na kumgwaya na akanyong'onyea sana kwa mawazo na akabaki akiwa mpweke, BAKWATA ambalo ni baraza kuu walimuona hafai pia, hivyo harakati zake zote zilizimwa, lakini muda upo, Mzee Said bado una nafasi ukishirikiana na barubaru na wenzio msiwe wazee wa kutoa mada yemen na kwingineko, kaeni chini tafuteni wafadhili muanzishe vyuo vyenu, mimi tarehe 19th nimenunua kadi ya milioni moja kuchangia upanuzi wa chuo kikuu cha Tumaini, mgeni rasmi ni Mheshimiwa JK, so nawausia ndugu zangu mnaolilia usawa, usawa unaanza na kuchukua hatua thabiti za kusimamia mambo yenu kupitia resources zenu ............................ sasa sina hakika ni kwanini hivi vyuo hamkuvianzisha basi wakati wa Mwinyi, mpaka mkaja kunyang'anya chuo cha TANESCO Morogoro, mkapewa nyie, sijui tuanzishe mada huku kudai kile chuo kirudi ?? usawa upi mwautaka hata mahakama itayojadili mambo yenu nayo kodi yangu iwalipie thubuttttttuuuu !!!

If you are such miss informed or Ignorant why this had been going on for the last 50 years you better shy away from commenting please. I bet you are not iin calibre to Mr. Mohammed Said.
 
Swali la kujiuliza ni iweje hii leo baada ya miaka 57 kupita Sheikh Suleiman Takadir anarejeshwa upya katika historia ya kupigani uhuru wa Tanganyika? Hiki ni kitendawili kinachongoja kuteguliwa.


Nani anamrejesha? hivi harakati za kudai uhuru,miaka hiyo zingefanyika mkoa wa kilimanjaro au mbeya,hilo baraza la wazee wa TANU,wajumbe wake wangekuwa wa imani ipi? wakati harakati za kudai uhuru zinaendelea DSM,je wakazi wa mikoa mingine walikuwa wamelala wakisubili wa islam wa DAR wawaletee uhuru?

= wakisubiri
 
Leo hii Tanzania tuna rais mwislamu, Mmakamu wa Rais pia ni mwislamu (tena yule conservative mwenyewe ambaye pale UDSM alikuwa ameifanya Masjid kama ofisi yake ndogo); yaani mkiristo wa juu kimadaraka ni Waziri mkuu tu ambaye anaweza kuondolewa madarakani wakati wowote na rais lakini unakuta kuna watu wanaohubiri kuwa "Waislam huonekana wanadhulumiwa na serikali" ni jambo la kushangaza sana. Wahubiri wa aina hii ni wale ambao hata uwape nini hawataridhika mpaka pale nchi nzima itakapokuwa ni ya waislamu tupu tena wa aina wanayotaka wenyewe kama ISIS inavyotaka. Je wasiokuwa waislamu hawana haki ya kuishi nchi hii? Tunaelekea wapi?
 
Kweli kabisa...nisichoelewa ni kwanini unashabikia sana udini kwa kigezo cha Nyerere. Udini tuufanye sisi halafu matusi yaende kwa Nyerere. Inamsaidia nani? Jamii yetu inaumwa...inahitaji tiba ya kweli. Tusipofungua macho na kuona hilo tutaadhirika. Nyerere amekuja na kwenda. Leo tupo mimi na wewe na wengine waliopo. Changamoto zetu lazima tuzikabiri wenyewe kwa heshima na maridhiano. Tunao uwezo huo kama hatutasukumwa na egoes zetu.

Sishangai mambo mengi yanakwama sababu nyuma ya kila ajenda tumeficha unafiki wetu

= tuzikabili
 
Huo ni mtizamo wako binafsi. Usilazimishe mtizamo wako kihistoria uwe ndiyo msimamo "official". Mada zako nyingi zimejikita katika Uislamu na Pwani ya Tanganyika. Nikutaarifu tu kwa mimi niliyetoka "interior" Tanganyika kwa mara ya kwanza nimekutana na waislamu (sisi kule kwetu tunaita "Waswahili") mwaka 1970 ukichukulia maanani nimezaliwa miaka ya 50. Lakini chama cha TANU nimekisikia mwaka wa 1964. Waswahili walikuwa confined to the coastal belt na vision yao kabla ya Nyerere sidhani kwamba ilikuwa kubwa kwa sababu malengo yao yalikuwa ni ya kijamii zaidi kuliko kisiasa. TAA ilibadilika sana Nyerere alivyoingia kwa sababu ailibadilisha vision na mission ya TAA kuwa political rather than social. The very fact kwamba mtu mmoja alileta mabadiliko makubwa kiasi hicho wakati kundi la waswahili hawakuweza kufanya hivyo mpaka Nyerere alipofika, ndicho kinachokukwaza sana na unafikiri labda Nyerere aliwakandamiza. Historia imejaa mifano mingi tu ya namna mtu mmoja anavyoweza kuhamasisha watu kwa lengo fulani. Hivyo mantiki yako ni very narrow na hii haishangazi sana kwa kuwa "Religion has never been the best argument to base on, unless mtu umefilisika kabisa kifikra".

Maswali:

1) Hiyo "interior" ya Tanganyika / Tanzania ni ipi ambayo ilikuwa haina Waislam na wala haiwajui Waislam mpaka 1970? mbona huweki wazi? au kuzimu?

2) Kwanini Nyerere asidai Uhuru kutokea huko huko "interior" na akaja Dar? kwa wazee wa Kiislaam?

3) Mbona wwe hujatuletea msimamo wako wa Kihistoria ya Tanganyika ya huko "interior" iwe ya Uhuru au yoyote ile, ili tufaidike?
 

Mkuu Maalim Mohamed Said, kwanza asante kwa kisa hiki cha Mzee wako, Sheikh Suleiman Takadir, ila sio kweli kuwa Mzee huyu hatajatwa popote kwenye historia ya Tanu, kwa sababu mimi nimelisikia jina la Sheikh Suleiman Takadir siku nyingi, kabla sijakusoma wewe, hivyo lazima kuna mahali alitajwa hadi mimi kumjua!, na sio kutajwa tuu, nadhani ia kuna namna alienziwa, sikumbuki vizuri, lakini nahisi niliwahi kulisikia jina la Mtaa fulani ukiitwa Takadiri japo sikumbuki vizuri!.

Kusikia tu? kila mtu wa Dar kalisikia hilo.

Tuoneshe lilipotajwa kihistoria, kama hauna kaa kimya ujisomee.

Usituletee porojo, kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Mohamed Said nasikitika kwanini unakwepa maswali nijibu kwa manufaa ya wengine maana yawezekana unajambo zuri kuliko nijuwavyo mimi maana wakati wakugombea uhuru nilikuwa na miaka19 na kila mmoja wetu tulikuwa tunapigania kupata uhuru nasio kutawaliwa na dini ipi sasa nijibu maswali yangu nadhani unaweza kuyaona nyuma
Nijuavyo mimi nikuwa umeleta mada hii ili kutuelimisha sasa mbona unaleta hadithi badala ya majibu
Ingawa yawezekana ukawa unaniweka kwenye kundi fulani ila siku huko nijibu kwa faida yangu na wengine

Mwaka gani? maana Uhuru kutokana na historia ulianza kugombewa zamani sana, tumemsoma Al Alama Mohamed Said akitupa historia ya maji maji, jinsi mababu zetu walivyopigania Uhuru wao.

Jee, vita ya majimaji ulikuwa na miaka 19?
 
Last edited by a moderator:
Mwaka gani? maana Uhuru kutokana na historia ulianza kugombewa zamani sana, tumemsoma Al Alama Mohamed Said akitupa historia ya maji maji, jinsi mababu zetu walivyopigania Uhuru wao.

Jee, vita ya majimaji ulikuwa na miaka 19?
Wakati wa vita ya Majimaji Tanganyika haikuwepo na akina Sykes walikuwa bado ni raia wa Africa Kusini.
 
Kusikia tu? kila mtu wa Dar kalisikia hilo.

Tuoneshe lilipotajwa kihistoria, kama hauna kaa kimya ujisomee.

Usituletee porojo, kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Sasa Faiza mtu MDINI wa aina ya Sheikh Takadir unamtaja kwenye HISTORIA ya nchi ipi? Mbona hakuna hata msikiti uloopewa jina hili pamoja kuipenda DINI yake sana?
 
Mkuu Mazoko hili kashaambiwa sana sijui kwanini hataki kutoka kwenye kichaka cha udini.
Mzee Mohamed Said kajihalalisha kwa udini. Hawezi kutoka humo. Kawaingiza na marehemu wengi kwenye UDINI huo ili kujijengea ka-legitimacy ka aina flani hivi. Hawezi kubadilika.
 
Last edited by a moderator:
Kusikia tu? kila mtu wa Dar kalisikia hilo.

Tuoneshe lilipotajwa kihistoria, kama hauna kaa kimya ujisomee.

Usituletee porojo, kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Mhamasishaji wa kupiga fatwa tuu ataje wapi kwa lipi?.
Endeleeni tuu kupiga mikelele humu, huku shule zetu zikiendelea kutesa kwenye top ten, huku zenu zikiendelea kuzungusha kule mkiani!. Chuo kikuu hicho mmepewa sadaka, kimewashinda, na mahakama za kadhi mtapewa na zitawashinda!, wengine hawana wajuacho, ama wachangiacho zaidi tuu ya kupiga adhana!.

Kama Sheikh Takadir alikuwa muhimu kihivyo wa kustahili kuenziwa, then si mumuenzi nyinyi mnaoujua umuhimu wake!.
Pale Arusha tunao uwanja wa Sheikh Amri Abeid, sijamsikia Sheikh Kassin Bin Jumaa anaenziwa vipi?, Sijamsikia Sheikh Hemed Bin Jumaa bin Hemed, anaenziwa vipi!, sijamsikia Sheikh Nurdeen Husein anaenziwa vipi!, sijamsikia Sheikh Said Comorean anaenziwa vipi, sijamsikia Sheikh Omar Jabir anenziwa vipi, why only Sheikh Takadir?!.

Hizi lugha za porojo, kuhororoja na kubwabwaja, nazo kakufunza Maalim Al Alama Mohamed Said?!.

Pasco
 
Mhamasishaji wa kupiga fatwa tuu ataje wapi kwa lipi?.
Endeleeni tuu kupiga mikelele humu, huku shule zetu zikiendelea kutesa kwenye top ten, huku zenu zikiendelea kuzungusha kule mkiani!. Chuo kikuu hicho mmepewa sadaka, kimewashinda, na mahakama za kadhi mtapewa na zitawashinda!, wengine hawana wajuacho, ama wachangiacho zaidi tuu ya kupiga adhana!.

Kama Sheikh Takadir alikuwa muhimu kihivyo wa kustahili kuenziwa, then si mumuenzi nyinyi mnaoujua umuhimu wake!.
Pale Arusha tunao uwanja wa Sheikh Amri Abeid, sijamsikia Sheikh Kassin Bin Jumaa anaenziwa vipi?, Sijamsikia Sheikh Hemed Bin Jumaa bin Hemed, anaenziwa vipi!, sijamsikia Sheikh Nurdeen Husein anaenziwa vipi!, sijamsikia Sheikh Said Comorean anaenziwa vipi, sijamsikia Sheikh Omar Jabir anenziwa vipi, why only Sheikh Takadir?!.

Hizi lugha za porojo, kuhororoja na kubwabwaja, nazo kakufunza Maalim Al Alama Mohamed Said?!.

Pasco

Pasco,
Imam Shaffi alikuwa akisema kuwa yeye anaweza kusimama kwa hoja hata
na watu mia lakini akitokea mjinga mmoja tu basi yeye huwa keshashindwa.
 
Wakati wa vita ya Majimaji Tanganyika haikuwepo na akina Sykes walikuwa bado ni raia wa Africa Kusini.

WildCard,
Unapenda mjadala lakini hufanyi maandalizi ukasoma kile unachotaka kujadili.

Isome historia ya Tanganyika vizuri.
Baada ya Berlin Conference Wajerumani wakaja Tanganyika kuja kuifanya koloni.

Wananchi walikataa uvamizi huu wakaamua kupigananao.
Bushiri bin Salim alisimama Pangani kupinga uvamizi huu na Mkwawa pia.

Wajerumani wasingeweza kupata jeshi Tanganyika ambalo lingepigana dhidi
ya ndugu zao hivyo Wissman akenda Mozambique kwenye kijiji cha Kwalikunyi
huko ndiko alipoweka mkataba na Chief Mohosh ndipo wakaja hawa Wazulu
kama jeshi la mamluki.

Ndani ya jeshi hili alikuwapo Sykes Mbuwane.

Wajerumani wakenda Sudan huko nako wakachukua askari mamluki wa Kinubi
wakawaleta Tanganyika.

Jeshi likawa limekamilika na vita ikaanza dhidi ya Bushir na Mkwawa.
Bushiri akakamatwa akanyongwa na historia ya Mkwawa ni mashuhuri.
 
Back
Top Bottom