jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Kwenye Orodha ya watu ambao moja kwa moja watakuwa wamechangia vurugu hata mauaji ya wananchi wakidai katiba mpya ni Fredrick Werema..Kwani kwa Maoni yake haoni kuwa Taifa linahitaji katiba Mpya..anataka ileile ya CCM ya Mwaka 77 iendelee kujaziwa vilaka..!majina mengine ambayo yapo kwenye orodha hadi sasa ni Celina Kombani, Lewis Makame na John Tendwa...Tusubiri Tutapata wengi zaidi tuendako..!