Elections 2010 Jimboni kwa Lowassa kwawaka moto

rimbocho

Member
Jan 11, 2010
73
3
Kutoka katika vyanzo vya kuaminika inasemekana matokeo ya Kura za maoni huko Monduli bado ni kitendawili kwani zimesharudiwa lakini bado hazijatangazwa na inasemekana kesho jumatano wanarudia tena.

Hata hivyo wananchi wa Monduli wamesema kama zitarudiwa mara ya tatu yaani kesho basi hawapigi tena kura na wanarudisha kadi za CCM. Chadema ni wakati wenu huu kwani hata nyani atkitaka kufa miti yote huteleza.
 
mbona hii habari ni tamu, nakumbuka niliwahi kusoma kuwa Lowasa ashinda kwa kishindo kura za maoni kupitia kigazeti cha Mtanzania .
 
Imekuwaje tena?! Si EL alikwishatangazwa kushinda kwa asilimia 100!

Mtume/ Christ has risen in deed. Kuna kitu kinafukuta huko, would like to hear more. Inawezekana this is the begining of the end, and may be the end of the begining.
 
Tuendelee kuwa na imani thabiti, karatasi tu ndo mwamuzi mwaka huu. Hata wakiiba lakini watakuwa wamepata ujumbe
 
Nimeambiwa na dada mmoja wa kimasai kutokea huko Monduli kuwa kuna wizi wa kura uliofanywa na watu wa Lowassa lakini Dr Toure hakukubaliana na matokeoa ya haraka haraka yaliyotangazwa kabla ya kuhseabu na kuhakiki kura; hivyo akaamua kufuatilia kwa karibu na sasa inawezekana kweli kuna mabadiliko. Dada huyu anadai kuwa Lowassa siyo mmasai hivyo asingeweza kupata kura za wamasai dhidi ya Dr Toure ambaye ni mmasai halisi na anaheshimiwa sana mwiongoni mwa wamasai. Hata hivyo, it might be REDIO MBAO, kwa sababu hicho siyo chanzo cha habari kinachoweza kuaminika sana.
 
Nimeambiwa na dada mmoja wa kimasai kutokea huko Monduli kuwa kuna wizi wa kura uliofanywa na watu wa Lowassa lakini Dr Toure hakukubaliana na matokeoa ya haraka haraka yaliyotangazwa kabla ya kuhseabu na kuhakiki kura; hivyo akaamua kufuatilia kwa karibu na sasa inawezekana kweli kuna mabadiliko. Dada huyu anadai kuwa Lowassa siyo mmasai hivyo asingeweza kupata kura za wamasai dhidi ya Dr Toure ambaye ni mmasai halisi na anaheshimiwa sana mwiongoni mwa wamasai. Hata hivyo, it might be REDIO MBAO, kwa sababu hicho siyo chanzo cha habari kinachoweza kuaminika sana.

tangu lini Mmasai akawa JAMBAZI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom