Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Jimbo la Siha lina changamoto nyingi ikiwemo Miundombinu,Afya,Elimu na uwajibikaji wa watendaji wa Serikali.Mbunge wa Siha Mh.Agrey Mwandri amekuwa Mbunge kwa miaka Kumi sasa na japo kuwa kofia ya pili ndani ya serikali ya Ccm tena wizara nyeti ya TAMISEMI ameshindwa kufanya mambo ya msingi na pia ameshidwa kutatua kero za wana wa Siha kwani kero kubwa zikiwemo Elimu,Afya,Miundombinu ya barabara na Masoko bora bado ni kero zinazo wakabili watoto,baba,mama,bibi na babu zake Mh Mwandri ambaye anasikifa sana kwa majibu mazuri ndani ya Bunge hili hali akiwa amewasahau wapiga kura wake tena ambao uwakumbuka tuu wakiwa na misiba na pia wakati wa kampeni akiwafuata kwenye vilabu vya mbege na kuwanunulia ikiwa ni njia ya kuomba kura.NAOMBA MSAADA WA MAWAZO TUWASAIDIE VIPI WANA SIHA.