Chadema Musoma Wanaharakati
Japokuwa Musoma ni jimbo linaloongozwa na majembe ya CHADEMA kila kona, lakini sifurahishwi na utendaji wa baadhi ya madiwani pamoja na mbunge wake waliopewa ridhaa na wananchi kuwaongoza. Huu ndio muda muaafaka wa sisi kujipanga ili kuhakikisha jimbo hili pamoja na kata zake zinabaki mikononi mwetu 2015.
Kata ya mwisenge ambayo iko chini ya Mheshimiwa Bwire Nyamwero Bwire (DIWANI-CHADEMA),ndio kata inayolalamikiwa sana na wananchi wake kutokana na mheshimiwa huyu kutokuwa karibu na watu wake. Mwaka juzi tulichagua viongozi wa matawi na kata,lakini hadi leo imebaki kuwa simulizi tu,kwani viongozi hawafanyi kazi zao ipasavyo kwani ni wanafiki,mafisadi na ni waoga.
Hali hii inawapa wenzetu wa CCM kuendelea kujiimarisha wakati walikuwa wameisha lowa tepetepe..
Pongezi nyingi ziende kwa diwani wa makoko Mh. RENATUS ALLOYCE kwani ameonyesha kuwajali sana wapiga kura wake na wale wote wanaoendeleza harakati za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa BEBERU CCM.
Pamoja tunaweza.
PEOPLESS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Japokuwa Musoma ni jimbo linaloongozwa na majembe ya CHADEMA kila kona, lakini sifurahishwi na utendaji wa baadhi ya madiwani pamoja na mbunge wake waliopewa ridhaa na wananchi kuwaongoza. Huu ndio muda muaafaka wa sisi kujipanga ili kuhakikisha jimbo hili pamoja na kata zake zinabaki mikononi mwetu 2015.
Kata ya mwisenge ambayo iko chini ya Mheshimiwa Bwire Nyamwero Bwire (DIWANI-CHADEMA),ndio kata inayolalamikiwa sana na wananchi wake kutokana na mheshimiwa huyu kutokuwa karibu na watu wake. Mwaka juzi tulichagua viongozi wa matawi na kata,lakini hadi leo imebaki kuwa simulizi tu,kwani viongozi hawafanyi kazi zao ipasavyo kwani ni wanafiki,mafisadi na ni waoga.
Hali hii inawapa wenzetu wa CCM kuendelea kujiimarisha wakati walikuwa wameisha lowa tepetepe..
Pongezi nyingi ziende kwa diwani wa makoko Mh. RENATUS ALLOYCE kwani ameonyesha kuwajali sana wapiga kura wake na wale wote wanaoendeleza harakati za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa BEBERU CCM.
Pamoja tunaweza.
PEOPLESS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!