Jimbo la Mbozi magharibi halina Mbunge Momba

ukisoma kichwa juu,utafikiria mengi na kushangaa lakini watu husema ukishangaa ya musa.......... ,. Ukweli mbunge huyu hajawahi kanyaga makao makuu ya wilaya tangu iteuliwe na rais kuwa wilaya mpya sembuse kulala pale makao makuu ya wilaya ni wilaya na jimbo pekee tangia lianze shule zote za wilaya hiyo ni ziro achilia mbali matokeo ya mwaka huu. Huyu mbunge silinde hana ushawishi wowote kuwa nini tatizo na nini kifanyike.

Hospitali za wilaya mpya kukosa dawa hususani kituo cha afya ndalambo na makao makuu ya wilaya chitete kuwa na dispensary isiyo na dawa,wilaya ni yatima haina mbunge anaye shawishi yote haya wala kufanya mikutano na wananchi hata siku moja.

Wadau wa wilaya waishio dar es salaam dodoma au mbeya mjini kwake huyu mbunge silinde ni upuuzi na kuwa anajiamini anajua yote licha ya ukweli kuwa kazaliwa dsm mchikichini na hajui historia ya wilaya ile wala chimbuko lake.

Mimi sina chama ila nina mapenzi na wilaya yangu mpya iliyokosa maendeleo tangia uhuru hadi leo inakosa mshawishi wa wilaya ile, nilitegemea mbunge tena kijana lakini ni kinyume.

Narudia ni mpenzi wa uzawa na sina uchama mimi wilaya kwanza chama au siasa baadaye mwisho uchaguzi ujao wajitokeza wapenda mbozi na kujua uchungu wa uduni wa wilaya yetu ili awahamasishe wananchi na kuisimamia serikali ilete maendeleo kule ,wanambozi changieni ukweli wa jambo hili. Najenga hoja tena hatuna mbunge.

avha upumbavu wako wewe nimfahamu siline vizuri tu nimesoma naye sekondary mbeya, silinde wazazi wake wapo mbozi na yeye nimzaliwa wa mbozi hata kabila lake, amekulia mbozi, ccm bangi zinawasumbua ninyi sema kingine mjinga wewe!
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care


We ni mkabila huna lolote mara Silinde ni Mnyamwezi,mara Sanga ni Mkinga aende kwao Makete usituletee siasa zako za kikabila kama za Kenya hapa.Mbunge wangu ni wenje ma kwao ni Shirati ila anatetea watu wa chini hiyo kwangu inatisha sijali ni kabila gani,anarangi gani.
I am proud kuwa Mtanzania hiyo pekee inatosha.
 
we unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyosilinde ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care
nakubaliana na sanga we nimjinga na ujinga umerithi toka kwa mijiccm mwenzako, mbona dar woote tunaongozwa na wakuja acha ukabila wako hapa mpuuzi wewe!
 
Ukisoma kichwa juu,utafikiria mengi na kushangaa lakini watu husema ukishangaa ya musa.......... ,. Ukweli mbunge huyu hajawahi kanyaga makao makuu ya wilaya tangu iteuliwe na Rais kuwa wilaya mpya sembuse kulala pale makao makuu ya wilaya ni wilaya na jimbo pekee tangia lianze shule zote za wilaya hiyo ni ziro achilia mbali matokeo ya mwaka huu. Huyu mbunge Silinde hana ushawishi wowote kuwa nini tatizo na nini kifanyike.

Hospitali za wilaya mpya kukosa dawa hususani kituo cha afya Ndalambo na makao makuu ya wilaya Chitete kuwa na dispensary isiyo na dawa,wilaya ni yatima haina mbunge anaye shawishi yote haya wala kufanya mikutano na wananchi hata siku moja.

Wadau wa wilaya waishio Dar es salaam Dodoma au Mbeya mjini kwake huyu mbunge Silinde ni upuuzi na kuwa anajiamini anajua yote licha ya ukweli kuwa kazaliwa Dsm mchikichini na hajui historia ya wilaya ile wala chimbuko lake.

Mimi sina chama ila nina mapenzi na wilaya yangu mpya iliyokosa maendeleo tangia uhuru hadi leo inakosa mshawishi wa wilaya ile, nilitegemea Mbunge tena kijana lakini ni kinyume.

Narudia ni mpenzi wa uzawa na sina uchama mimi wilaya kwanza chama au siasa baadaye mwisho uchaguzi ujao wajitokeza wapenda Mbozi na kujua uchungu wa uduni wa wilaya yetu ili awahamasishe wananchi na kuisimamia serikali ilete maendeleo kule ,wanambozi changieni ukweli wa jambo hili. Najenga hoja tena hatuna mbunge.

Anaboresha kwanza Tunduma alipopatia ubunge.!!
 
kijana arguement yako imejaa ushabik wa chama mwanzo mwisho bila kuzingitia emphasis ya mtoaji wa uzi huu kuwa yy si CDM wala CCM, Nalazimika kuamini kuwa aliyoyasema huyu mwananchi yaweza kua yanaukweli cuz mnaoipinga sana hoja hii mna political interest ya chama na kumpa backup silinde, huyu mwanamboz hajaoona contribution ya silinde in de cummunity development level, let us here more the authentic mbozians

wana momba wana mtambua silinde kama raisi huu si ushabiki bali ni ukweli.makam wa raisi analijua hili ninalolitamka.kwani kijana huyu ndiye aliye mnusulu makamu wa raisi baada ya kuwaomba wamsikilize alipo kuwa tunduma kuzindua soko.kijana alitumia busala za hali ya juu sana.pia wana momba kwasasa tunaishi tukiwa huru.kwani wakati ccm ilipo kuwa ikitawala kila krismas na mwakampya kulikuwa na mladi wa kamatakamata policcm wakishilikiana na mbunge siame pamoja na diwani wake aden kamatakamata hiyo kwasasa hakuna kwani mbunge amekuwa mkali sana.ninawasisi kwamba inawezekana mweka uzi akawa ni kati ya watu ambao walikuwa wakifaidi matunda ya kamatakamata ambapo vijana wali kuwa wakitozwa fedha nyingi iliwaachiliwe
 
Bwana Erasto nadhani unahoja nzuri sema unamuhemko kwenye vidole,kwa kifupi silinde ameweza fika sehemu ambazo watu bado wanajuwa rais ni nyerere,ninachompendea silinde anasikiliza na anatenda,ie mwishoni mwa december mwaka jana kulikuwa na tatizo la njaa kamsamba(pamoja na kuwa kitovu cha kilimo cha mpunga)nilimtaarifa na alilifanyia kazi ndani ya mda mfupi,changamoto ya maji ni historical kwa sasa ivi ameweza kuchimba visima na bado anaendelea,swala la kufeli ni policy ya ccm kuvuna wajinga wengi ili iwatawale kirahisi,kuna changamoto ambazo umezitoa zinatija lakini unapoleta ukabila unakuwa umepoteza maana,mfano wabunge wa dar wangapi ni wazaramu?????Think Critically and Creatively,changamoto za miaka 49 haziwezi malizwa kwa miaka2,watu bado wanaimani na mbunge wao ie michango ya secondari kutoka 10000 mpaka2500 wakati vwawa ni 10000 imeleta utofauti sana mkuu!!!!
 
wana momba wana mtambua silinde kama raisi huu si ushabiki bali ni ukweli.makam wa raisi analijua hili ninalolitamka.kwani kijana huyu ndiye aliye mnusulu makamu wa raisi baada ya kuwaomba wamsikilize alipo kuwa tunduma kuzindua soko.kijana alitumia busala za hali ya juu sana.pia wana momba kwasasa tunaishi tukiwa huru.kwani wakati ccm ilipo kuwa ikitawala kila krismas na mwakampya kulikuwa na mladi wa kamatakamata policcm wakishilikiana na mbunge siame pamoja na diwani wake aden kamatakamata hiyo kwasasa hakuna kwani mbunge amekuwa mkali sana.ninawasisi kwamba inawezekana mweka uzi akawa ni kati ya watu ambao walikuwa wakifaidi matunda ya kamatakamata ambapo vijana wali kuwa wakitozwa fedha nyingi iliwaachiliwe

yote yanawezekana cuz u ar all vowing to be indigeneous wa mboz
 
kijana arguement yako imejaa ushabik wa chama mwanzo mwisho bila kuzingitia emphasis ya mtoaji wa uzi huu kuwa yy si CDM wala CCM, Nalazimika kuamini kuwa aliyoyasema huyu mwananchi yaweza kua yanaukweli cuz mnaoipinga sana hoja hii mna political interest ya chama na kumpa backup silinde, huyu mwanamboz hajaoona contribution ya silinde in de cummunity development level, let us here more the authentic mbozians

Yepi ni kweli? Mbozi wanawabunge tangu uhuru. Maendeleo gani walifanya?
Ukweli upi? Ukabila wa mleta hoja:

  1. Silinde ni mnyamwezi (hasitahiri kuwa mbunge wa Mbozi)
  2. Mjibu hoja mmoja ni mkinga.(kwa hiyo hoja zake akazitolee ukingani huko sio mbozi)
 
kwa nini kila cku mnawasema wa cdm tu maccm hamuyaoni? hv magamba huwa hamna boja ee? kuhusu masuala ya dawa c ccm na serikali yake hawapeleki fedha za kununua dawa. sio kila kitu mbunge.
 
Naomba nirudie mi wilaya kwanza,siasa baadaye ,huyu mbunge hakuna anaye muchukia personally kama yeye tunajua yupo atapita ,ninachosema yeye kama mbunge anatakiwa awe muhamasishaji muchukua hoja kwa wananchi mbalimbali waliopo mbozi na nje ya mbozi ,yeye amekuwa na kiburi cha yote haya ,kule mbozi kunamatatizo ya kihistoria na sababu zipo ni eneo ambalo tangu 197o shule za msingi hazikutoa mwanafunzi kwenda secondari zaidi ya shule 30 auzote za mbozi magharibi,sasa shule za kata zimekuja sawa nazo mtindo uleule vijana wote ziro ,nauliza mbunge makini atataka hoja na sababu ya jambo hili ,umeme na barabara za lami ni ndoto tarafa za msangano na kamusamba ,hakuna zao la biashara maeneo mengi ya wilaya ,hapa mbunge anapaswa akae na wataalamu wa kilimo wa wilaya nini kifanyike huu ndio ukombozi wa mbunge sio eti musilipe michango ndio sifa za mbunge hii ni danganya toto matatizo yanabaki palepale narudia hatuna mbunge ,huyu hata kijiji cha Msangano alipozaliwa siame haendi,anaendekeza visa na roho mbaya,kuna Mzee,SIMWITA,alifarikiambaye alikuwa katibu tarafa na diwani wa kamusamba ,mbunge aliitwa kwenye kilio hakuja akiwa Dsm ,kisa mbunge wa zamani alikuwepo pale sasa pimeni roho ya bwana mdogo huyu ni nzuri?unaapa kutumikia watu siyo kuendekeza roho mbaya,mwisho nendeni waandishi wa habari mukajue ukweli huu bila kubase kwenye vyama,mbozi magharibi kwanza,Naanda kitabu cha uchaguzi sisi tusio na vyama tupate mbozi njema
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care

Sasa ww unaleta ukabila ambao tunaupiga vita. Halafu naona kama una hasira hadi unachokiandika hakieleweki. Tuliza hasira halafu njoo tena.
 
Kumbe wewe ni gonjwa la akili,hovyoo,kwani nani kaukweka wewe kuwa msemaji wa wilaya,kwanza kiswahili chenyewe shida tupu mbaguzi mkubwa wewe,Na hili la ubaguzi ndo lililokufanya uje na huu -----.kama watu wana taarifa wana taarifa za maendeleo wilaya ya mbozi magharibi na ni wadau wa hayo maendeleo husika,kwasababu tu si wenyeji au wazawa wa mbozi basi hawana haki ya kuweka taarifa au kuongelea hilo hapa jukwaani,lol! wewe ni mbwiga kweli.
Jamani nyie Wanyakyusa na Wakinga mna matatizo gani mmeambiwa humu JF ni mahali pa kutolea matatizo ya Mbozi kwanini msigangamale makavuta maji wenyewemiaka yote mlikuwa wapi mpaka mnamuona Silinde mbaya
Pili nimegundua mnaweka ushabiki na ukabila, angalieni wenzenu wa majimbo km ya Hai, Vunjo, Moshi Mjini wanatafuta vyanzo vyao na wanasonga mbele nyie wa Mbozi mnataka mpaka mtafuniwe na mnaleta matusi mnataka UBUNGE tu hapa
Hizi thread za ubinafsi MODS zitoe
quote_icon.png
By Erasto..sichila
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie SILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care
 
Ukisoma kichwa juu,utafikiria mengi na kushangaa lakini watu husema ukishangaa ya musa.......... ,. Ukweli mbunge huyu hajawahi kanyaga makao makuu ya wilaya tangu iteuliwe na Rais kuwa wilaya mpya sembuse kulala pale makao makuu ya wilaya ni wilaya na jimbo pekee tangia lianze shule zote za wilaya hiyo ni ziro achilia mbali matokeo ya mwaka huu. Huyu mbunge Silinde hana ushawishi wowote kuwa nini tatizo na nini kifanyike. Hospitali za wilaya mpya kukosa dawa hususani kituo cha afya Ndalambo na makao makuu ya wilaya Chitete kuwa na dispensary isiyo na dawa,wilaya ni yatima haina mbunge anaye shawishi yote haya wala kufanya mikutano na wananchi hata siku moja. Wadau wa wilaya waishio Dar es salaam Dodoma au Mbeya mjini kwake huyu mbunge Silinde ni upuuzi na kuwa anajiamini anajua yote licha ya ukweli kuwa kazaliwa Dsm mchikichini na hajui historia ya wilaya ile wala chimbuko lake. Mimi sina chama ila nina mapenzi na wilaya yangu mpya iliyokosa maendeleo tangia uhuru hadi leo inakosa mshawishi wa wilaya ile, nilitegemea Mbunge tena kijana lakini ni kinyume. Narudia ni mpenzi wa uzawa na sina uchama mimi wilaya kwanza chama au siasa baadaye mwisho uchaguzi ujao wajitokeza wapenda Mbozi na kujua uchungu wa uduni wa wilaya yetu ili awahamasishe wananchi na kuisimamia serikali ilete maendeleo kule ,wanambozi changieni ukweli wa jambo hili. Najenga hoja tena hatuna mbunge.
Nikiwa kama mkazi wa jimbo la mbozi magharibi (tdm) naomba kuweka sahihi madai ya erasto sichila binafsi toka nimeanza kuwa makini na masuala ya siasa ktk jimbo langu la mbozi maghrb limeongozwa na wabunge kama simpasa, dr. siame then silinde. Nikianza kuwaelezea na kuwatofautisha kati yao ni kwamba Simpasa na Siame toka wawe wabunge mimi binafsi sijaona cha maana walichokifanya kwa jimbo langu japo walikaa kwa kipindi cha miaka mitano kila mmoja. Upande wa madai kuwa Silinde hajafanya lolote ni unafiki na chuki, binafsi nimeyaona mengi ambayo silinde ameyafanya ndani ya muda mfupi ndani ya miaka takribani miwili. Nitayataja machache tu kuthibitisha ukweli huu kwamba ktk kituo cha afya cha Tunduma hapo awali kabla ya silinde kilikuwa hakitamaniki kwa kutokuwa na magodoro, wodi na hata gari ya kubeba wagonjwa lakini baada ya mbunge silinde kuingia madarakani aliamua kununua magodoro ya kutosha wodi zote na kuchoma yote chakavu na kufanya hali shwari ktk kituo hicho pia kununua gari la kusaidia kubeba wagonjwa. Haya ni machache tu japo kuna mengi kama miradi ya maji ambayo sasa inafanya kazi na hata juzi kabla hajaenda jkt alikuwa makao makuu ya wilaya kwa ukaguzi wa shughuli za maendeleo. Ushauri wangu ni kwamba tunaomba watu kufanya research kabla ya kupost chochote humu ndani kamwe huwezifananisha Silinde na Wabunge waliopita na kama ndio propaganda zako dhidi yake umeshindwa sisi wana mbozi magharb tunamkubali sana , Kamanda piga kazi usisikilize propaganda za magamba
 
Naomba nirudie mi wilaya kwanza,siasa baadaye ,huyu mbunge hakuna anaye muchukia personally kama yeye tunajua yupo atapita ,ninachosema yeye kama mbunge anatakiwa awe muhamasishaji muchukua hoja kwa wananchi mbalimbali waliopo mbozi na nje ya mbozi ,yeye amekuwa na kiburi cha yote haya ,kule mbozi kunamatatizo ya kihistoria na sababu zipo ni eneo ambalo tangu 197o shule za msingi hazikutoa mwanafunzi kwenda secondari zaidi ya shule 30 auzote za mbozi magharibi,sasa shule za kata zimekuja sawa nazo mtindo uleule vijana wote ziro ,nauliza mbunge makini atataka hoja na sababu ya jambo hili ,umeme na barabara za lami ni ndoto tarafa za msangano na kamusamba ,hakuna zao la biashara maeneo mengi ya wilaya ,hapa mbunge anapaswa akae na wataalamu wa kilimo wa wilaya nini kifanyike huu ndio ukombozi wa mbunge sio eti musilipe michango ndio sifa za mbunge hii ni danganya toto matatizo yanabaki palepale narudia hatuna mbunge ,huyu hata kijiji cha Msangano alipozaliwa siame haendi,anaendekeza visa na roho mbaya,kuna Mzee,SIMWITA,alifarikiambaye alikuwa katibu tarafa na diwani wa kamusamba ,mbunge aliitwa kwenye kilio hakuja akiwa Dsm ,kisa mbunge wa zamani alikuwepo pale sasa pimeni roho ya bwana mdogo huyu ni nzuri?unaapa kutumikia watu siyo kuendekeza roho mbaya,mwisho nendeni waandishi wa habari mukajue ukweli huu bila kubase kwenye vyama,mbozi magharibi kwanza,Naanda kitabu cha uchaguzi sisi tusio na vyama tupate mbozi njema

Ninachokiona hapa kwanza unawalisha watu uongo na tafiti zako za ubabaishaji ukiona ktk red kuwa silinde anatakiwa kuchukua hoja kwa wananchi sasa we ndugu unataka jamaa achukuaje hoja za matatizo ya wananchi sababu amefanya hivyo mara kadhaa na ndo maana mi napata wasisi kuwa wewe si mkazi wa mbozi magharib alafu naona si mfuatiliaji mzuri wa masuala anayofanya mbunge, pili ktk msiba wa mzee Simwite Silinde hakuweza kufika siku ileile kutokana na kuwa mbali kikazi lakina ndani ya wiki ileile alifika na kuwapa pole wafiwa na hata hivyo unatakiwa kujua kuwa mbunge si kila msiba ataenda kutokana na kuwa na majukumu mengi. Tatu, ndiyo maana nasema we si mwana mbozi magharb sababu hata takwimu za ufaulu wa wanafunz huzifahamu nashangaa unasema "vijana wote ziro" si kweli sababu kuna shule kama chikanamlilo sec, jk nyerere sec, momba sec n.k zimefanya vizuri sasa hizo takwimu zako ni za wap?
Chuki kwa Silinde haikufikishi kokote, ukitaka kuona Mbunge wetu amefanya mengi na anakubalika njoo ufanye mkutano wa hadhara na useme unayoyasema uone kama tutakusikiliza.
 
unapokuwa unaweka uzi hapa jf inatakiwa kufanya utafiti sio unakulupuka tu na kudanganya watanzania. mbunge wetu silinde toka kachukua jimbo ameweza kuzunguka jimbo zima akiongea na wananchi pamoja na kuchukua kelo mbalimbali za wananchi. kiujumla jimbo letu kijographia ni jimbo ambolo ni pana sana kiasi kwamba kutatua matatizo yote yaliyo achwa na ccm inahitaji mda. mbunge wetu wana momba tuna mpenda sana kiukweli mpaka sasa kwaaliyo yafanya anastaili kusifiwa na kupongezwa. mleta maada ni mnafki kwani mbunge kwa mda mfupi kwakutumia mshahara wake ameweza kuchimba visima kadha huku akisisitiza kuwa huu ni mwanzo tu ameweza kununua magodoro na mashuka na kusambaza katika zahanati za momba.kwa hayo tu kidogo hakuna mbunge wa ccm ambaye amewai piga kazi kama ambayo kijana huyu ambavyo ameweza kuifaya kwa moyo mmoja.

safi kwa kuhoji,LAKINI NAOMBA UNIAMBIE LINI SILINDE ALIKUWA MAKAO MAKUU YA WILAYA? LINI SILINDE AMEFANYA MKUTANO NA WANANCH? NI VISIMA GANI MNAVYOSEMA AMECHIMBA KWA MSHAHARA WAKE? VINGAPI HIVYO VISIMA? LINI KAJA HATA KUKEMEA UOZO,UBADHILIFU,HUJUMA AU KUZUNGUMZIA KERO ZINAZOTOKABILI WANA MOMBA? USIJE UKAWA UNAJIBU UKO DSM UKAONA MIKUTANO ANAYOFANYA MNYIKA NA WANAUBUNGO UKAJUA NDIO SILINDE..SHULE HUKU JIMBONI KWAKE ZERO TUPU HATAKI KUJA HATA KUONGEA NA WADAU WA ELIMU HUKU JIMBONI WAKASHAURIANA ATLEAST MWAKANI TUPUNGUZE HIZO ZERO,KAZI YENU KUMTETEA ETI ASIJIBU HOJA ANAZOULIZWA WHAT THE HELL? HATA AKIULIZWA MARA 1000000 ANATAKIWA AJIBU,SIO UNAMWAMBIA ETI AENDE JFF OR MARA STAR TV ASHATOLEA MAJIBU UO NI UHUNI MKUBWA MNAO MFUNDISHA,
 
wana momba wana mtambua silinde kama raisi huu si ushabiki bali ni ukweli.makam wa raisi analijua hili ninalolitamka.kwani kijana huyu ndiye aliye mnusulu makamu wa raisi baada ya kuwaomba wamsikilize alipo kuwa tunduma tkuzindua soko.kijana alitumia busala za hali ya juu sana.pia wana momba kwasasa tunaishi tukiwa huru.kwani wakati ccm ilipo kuwa ikitawala kila krismas na mwakampya kulikuwa na mladi wa kamatakamata policcm wakishilikiana na mbunge siame pamoja na diwani wake aden kamatakamata hiyo kwasasa hakuna kwani mbunge amekuwa mkali sana.ninawasisi kwamba inawezekana mweka uzi akawa ni kati ya watu ambao walikuwa wakifaidi matunda ya kamatakamata ambapo vijana wali kuwa wakitozwa fedha nyingi iliwaachiliwe
Sasa nimeelewa kumbe jamaa ni mgambo wa manispaa na silinde anawabania wasiwakandamize wananchi, ok, basi sasa naelewa vizuri kwa nini anatoka jasho
 
kijana arguement yako imejaa ushabik wa chama mwanzo mwisho bila kuzingitia emphasis ya mtoaji wa uzi huu kuwa yy si CDM wala CCM, Nalazimika kuamini kuwa aliyoyasema huyu mwananchi yaweza kua yanaukweli cuz mnaoipinga sana hoja hii mna political interest ya chama na kumpa backup silinde, huyu mwanamboz hajaoona contribution ya silinde in de cummunity development level, let us here more the authentic mbozians

Hata angesema yeye ni CDM au CCM isingebadilisha kwamba anachuki na Silinde au Cdm. Asijivike kwenye hicho kimvuli angetoa hoja yake bila kuweka hicho kibwagizo uongo hapo isingebadilisha kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom