Jimbo la Mbozi magharibi halina Mbunge Momba

Apr 9, 2012
78
8
Ukisoma kichwa juu,utafikiria mengi na kushangaa lakini watu husema ukishangaa ya musa.......... ,. Ukweli mbunge huyu hajawahi kanyaga makao makuu ya wilaya tangu iteuliwe na Rais kuwa wilaya mpya sembuse kulala pale makao makuu ya wilaya ni wilaya na jimbo pekee tangia lianze shule zote za wilaya hiyo ni ziro achilia mbali matokeo ya mwaka huu. Huyu mbunge Silinde hana ushawishi wowote kuwa nini tatizo na nini kifanyike.

Hospitali za wilaya mpya kukosa dawa hususani kituo cha afya Ndalambo na makao makuu ya wilaya Chitete kuwa na dispensary isiyo na dawa,wilaya ni yatima haina mbunge anaye shawishi yote haya wala kufanya mikutano na wananchi hata siku moja.

Wadau wa wilaya waishio Dar es salaam Dodoma au Mbeya mjini kwake huyu mbunge Silinde ni upuuzi na kuwa anajiamini anajua yote licha ya ukweli kuwa kazaliwa Dsm mchikichini na hajui historia ya wilaya ile wala chimbuko lake.

Mimi sina chama ila nina mapenzi na wilaya yangu mpya iliyokosa maendeleo tangia uhuru hadi leo inakosa mshawishi wa wilaya ile, nilitegemea Mbunge tena kijana lakini ni kinyume.

Narudia ni mpenzi wa uzawa na sina uchama mimi wilaya kwanza chama au siasa baadaye mwisho uchaguzi ujao wajitokeza wapenda Mbozi na kujua uchungu wa uduni wa wilaya yetu ili awahamasishe wananchi na kuisimamia serikali ilete maendeleo kule ,wanambozi changieni ukweli wa jambo hili. Najenga hoja tena hatuna mbunge.
 
Silinde hapa itabidi ujibu mwenyewe, kama anavyofanya Mnyika.
Simshauri Silinde kuja kujibu ujinga kama huu. Sidhani kama huyu ni mkazi wa Mbozi, sina hakika kama upeo wa mleta mada uko sawa sawa.

*Mambo mengi yakimaendeleo ambayo Silinde aliyaahidi alishatolea ufafanuzi humu JF na pia kuna thread iliyomhusu wakati anahojiwa na Star Tv, kwa mfano

1/AFYA:Aliahidi vitanda katika vituo vya Afya na ametekeleza.

2/MAJI: Tayari ameshachimba visima kadhaa, kuna mradi wa Kanisa Katoliki(Calitex) unaendelea kujengwa, na mradi wa Benki ya dunia umeanza.

3/HAMASA YA MAENDELEO: Ameshafanya mikutano kadhaa Dar na wazaliwa wa Mbozi kuhusu maendeleo ya Mbozi 2012.

4/KERO ZA WANANCHI:Anapambana na serikali na halmashauri kila kukisha ili kufutwa kwa mlolongo wa kodi na makato ya ushuru yasiyokuwa na tija kwa mwananchi wa kawaida wa Mbozi. Katika hili wananchi wengi sana wako bega kwa bega na wananchi wake.

5/MIKUTANO:Mpaka kufikia mwaka jana alikuwa ameshafanya mikutano ya kukutana na wananchi wote katika kila kijiji katika jimbo lake kwa lengo la kusikiliza kero na kupanga maendeleo yao.
Na hata sasa ukimuhitaji unaweza kumpata katika ofisi yake ya mbunge, kwani muda mwingi yuko jimboni kwake.

6/KUKUBALIKA: Kwa sasa anakubalika zaidi na wananchi wengi jimboni Kwake kuliko hata wakati anagombea(Mfano: Tukio la makamu wa rais na msafara wake kukataliwa mbele ya wananchi wa Tunduma, mpaka ikabidi aitwe Silinde kuwatuliza!!)

*NOTE
Kazi kuu za mbunge ni
1/KUHAMASISHA maendeleo jimboni kwake.

2/KUISIMAMIA serikali bungeni na katika halmashauri.

3/KUIHOJI serikali bungeni.

4/KUWAWAKILISHA wananchi wake katika vyombo vya kutunga sheria(Eg.Bungeni)

5/KUPITISHA/KUTOPITISHA budget ya serikali bungeni.
 
Simshauri Silinde kuja kujibu ujinga kama huu. Sidhani kama huyu ni mkazi wa Mbozi, sina hakika kama upeo wa mleta mada uko sawa sawa.

*Mambo mengi yakimaendeleo ambayo Silinde aliyaahidi alishatolea ufafanuzi humu JF na pia kuna thread iliyomhusu wakati anahojiwa na Star Tv, kwa mfano

1/AFYA:Aliahidi vitanda katika vituo vya Afya na ametekeleza.

2/MAJI: Tayari ameshachimba visima kadhaa, kuna mradi wa Kanisa Katoliki(Calitex) unaendelea kujengwa, na mradi wa Benki ya dunia umeanza.

3/HAMASA YA MAENDELEO: Ameshafanya mikutano kadhaa Dar na wazaliwa wa Mbozi kuhusu maendeleo ya Mbozi 2012.

4/KERO ZA WANANCHI:Anapambana na serikali na halmashauri kila kukisha ili kufutwa kwa mlolongo wa kodi na makato ya ushuru yasiyokuwa na tija kwa mwananchi wa kawaida wa Mbozi. Katika hili wananchi wengi sana wako bega kwa bega na wananchi wake.

5/MIKUTANO:Mpaka kufikia mwaka jana alikuwa ameshafanya mikutano ya kukutana na wananchi wote katika kila kijiji katika jimbo lake kwa lengo la kusikiliza kero na kupanga maendeleo yao.
Na hata sasa ukimuhitaji unaweza kumpata katika ofisi yake ya mbunge, kwani muda mwingi yuko jimboni kwake.

6/KUKUBALIKA: Kwa sasa anakubalika zaidi na wananchi wengi jimboni Kwake kuliko hata wakati anagombea(Mfano: Tukio la makamu wa rais na msafara wake kukataliwa mbele ya wananchi wa Tunduma, mpaka ikabidi aitwe Silinde kuwatuliza!!)

*NOTE
Kazi kuu za mbunge ni
1/KUHAMASISHA maendeleo jimboni kwake.

2/KUISIMAMIA serikali bungeni na katika halmashauri.

3/KUIHOJI serikali bungeni.

4/KUWAWAKILISHA wananchi wake katika vyombo vya kutunga sheria(Eg.Bungeni)

5/KUPITISHA/KUTOPITISHA budget ya serikali bungeni.
Mbunge kutoa taarifa periodically ni muhimu, ili tuonyeshe transparency tofauti na CCM, hana maana mbaya.
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care
 
Mikoa mipya na wilaya mpya ni kupeana ulaji na washkaji! Utawala wa majimbo ndio jibu la malalamiko yako! Tafakari chukua hatua.
 
unapokuwa unaweka uzi hapa jf inatakiwa kufanya utafiti sio unakulupuka tu na kudanganya watanzania. mbunge wetu silinde toka kachukua jimbo ameweza kuzunguka jimbo zima akiongea na wananchi pamoja na kuchukua kelo mbalimbali za wananchi. kiujumla jimbo letu kijographia ni jimbo ambolo ni pana sana kiasi kwamba kutatua matatizo yote yaliyo achwa na ccm inahitaji mda. mbunge wetu wana momba tuna mpenda sana kiukweli mpaka sasa kwaaliyo yafanya anastaili kusifiwa na kupongezwa. mleta maada ni mnafki kwani mbunge kwa mda mfupi kwakutumia mshahara wake ameweza kuchimba visima kadha huku akisisitiza kuwa huu ni mwanzo tu ameweza kununua magodoro na mashuka na kusambaza katika zahanati za momba.kwa hayo tu kidogo hakuna mbunge wa ccm ambaye amewai piga kazi kama ambayo kijana huyu ambavyo ameweza kuifaya kwa moyo mmoja.
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care
We mtu sikia!
Suala la maji katika wilaya mpya ungeenda idara ya maji au wilayani, kwa vyovyote waxa maelezo na hao ndo wanaochukua kodi yako, pili habari ya silinde kwamba kazaliwa mchikichini dar, au baba yake ni mnyamwezi ni dalili za wazi kwamba unalo ovu moyoni mwako na chuki isiyo na breki!

Kama mbunge wako wa zamani ambaye babu na bibi na mjomba ake shangazi yake waliozaliwa hapo angekuwa na uchungu na nyie si angekuwa amewawekea yeye hayo maji?

Silinde ana miaka 2 tu tangu awe mbunge, wajomba zako tangu waanze kubadilishana ubunge wana muda gani? achana na silinde bwana, mwache dogo afanye kazi!
 
Simshauri Silinde kuja kujibu ujinga kama huu. Sidhani kama huyu ni mkazi wa Mbozi, sina hakika kama upeo wa mleta mada uko sawa sawa.

*Mambo mengi yakimaendeleo ambayo Silinde aliyaahidi alishatolea ufafanuzi humu JF na pia kuna thread iliyomhusu wakati anahojiwa na Star Tv, kwa mfano

1/AFYA:Aliahidi vitanda katika vituo vya Afya na ametekeleza.

2/MAJI: Tayari ameshachimba visima kadhaa, kuna mradi wa Kanisa Katoliki(Calitex) unaendelea kujengwa, na mradi wa Benki ya dunia umeanza.

3/HAMASA YA MAENDELEO: Ameshafanya mikutano kadhaa Dar na wazaliwa wa Mbozi kuhusu maendeleo ya Mbozi 2012.

4/KERO ZA WANANCHI:Anapambana na serikali na halmashauri kila kukisha ili kufutwa kwa mlolongo wa kodi na makato ya ushuru yasiyokuwa na tija kwa mwananchi wa kawaida wa Mbozi. Katika hili wananchi wengi sana wako bega kwa bega na wananchi wake.

5/MIKUTANO:Mpaka kufikia mwaka jana alikuwa ameshafanya mikutano ya kukutana na wananchi wote katika kila kijiji katika jimbo lake kwa lengo la kusikiliza kero na kupanga maendeleo yao.
Na hata sasa ukimuhitaji unaweza kumpata katika ofisi yake ya mbunge, kwani muda mwingi yuko jimboni kwake.

6/KUKUBALIKA: Kwa sasa anakubalika zaidi na wananchi wengi jimboni Kwake kuliko hata wakati anagombea(Mfano: Tukio la makamu wa rais na msafara wake kukataliwa mbele ya wananchi wa Tunduma, mpaka ikabidi aitwe Silinde kuwatuliza!!)

*NOTE
Kazi kuu za mbunge ni
1/KUHAMASISHA maendeleo jimboni kwake.

2/KUISIMAMIA serikali bungeni na katika halmashauri.

3/KUIHOJI serikali bungeni.

4/KUWAWAKILISHA wananchi wake katika vyombo vya kutunga sheria(Eg.Bungeni)

5/KUPITISHA/KUTOPITISHA budget ya serikali bungeni.

acha wananchi waongee wenyewe i dont tink if yu ril hav a ful exposure ya jimbo analoliongelea huyu mwananchi na kwa hivyo basi ile part ambayo inamis kwako wa2 km hawa ndio kazi yao ku expose na sis tujue cuz kwa maelezo yako tu unaoneka unainterest flani kwa huyo mh dats y umebez kwenye politycal play ya silinde badala yakubez kwenye political analysis ya wat Hon silinde said
 
unapokuwa unaweka uzi hapa jf inatakiwa kufanya utafiti sio unakulupuka tu na kudanganya watanzania. mbunge wetu silinde toka kachukua jimbo ameweza kuzunguka jimbo zima akiongea na wananchi pamoja na kuchukua kelo mbalimbali za wananchi. kiujumla jimbo letu kijographia ni jimbo ambolo ni pana sana kiasi kwamba kutatua matatizo yote yaliyo achwa na ccm inahitaji mda. mbunge wetu wana momba tuna mpenda sana kiukweli mpaka sasa kwaaliyo yafanya anastaili kusifiwa na kupongezwa. mleta maada ni mnafki kwani mbunge kwa mda mfupi kwakutumia mshahara wake ameweza kuchimba visima kadha huku akisisitiza kuwa huu ni mwanzo tu ameweza kununua magodoro na mashuka na kusambaza katika zahanati za momba.kwa hayo tu kidogo hakuna mbunge wa ccm ambaye amewai piga kazi kama ambayo kijana huyu ambavyo ameweza kuifaya kwa moyo mmoja.

kijana arguement yako imejaa ushabik wa chama mwanzo mwisho bila kuzingitia emphasis ya mtoaji wa uzi huu kuwa yy si CDM wala CCM, Nalazimika kuamini kuwa aliyoyasema huyu mwananchi yaweza kua yanaukweli cuz mnaoipinga sana hoja hii mna political interest ya chama na kumpa backup silinde, huyu mwanamboz hajaoona contribution ya silinde in de cummunity development level, let us here more the authentic mbozians
 
Ukisoma kichwa juu,utafikiria mengi na kushangaa lakini watu husema ukishangaa ya musa.......... ,. Ukweli mbunge huyu hajawahi kanyaga makao makuu ya wilaya tangu iteuliwe na Rais kuwa wilaya mpya sembuse kulala pale makao makuu ya wilaya ni wilaya na jimbo pekee tangia lianze shule zote za wilaya hiyo ni ziro achilia mbali matokeo ya mwaka huu. Huyu mbunge Silinde hana ushawishi wowote kuwa nini tatizo na nini kifanyike.

Hospitali za wilaya mpya kukosa dawa hususani kituo cha afya Ndalambo na makao makuu ya wilaya Chitete kuwa na dispensary isiyo na dawa,wilaya ni yatima haina mbunge anaye shawishi yote haya wala kufanya mikutano na wananchi hata siku moja.

Wadau wa wilaya waishio Dar es salaam Dodoma au Mbeya mjini kwake huyu mbunge Silinde ni upuuzi na kuwa anajiamini anajua yote licha ya ukweli kuwa kazaliwa Dsm mchikichini na hajui historia ya wilaya ile wala chimbuko lake.

Mimi sina chama ila nina mapenzi na wilaya yangu mpya iliyokosa maendeleo tangia uhuru hadi leo inakosa mshawishi wa wilaya ile, nilitegemea Mbunge tena kijana lakini ni kinyume.

Narudia ni mpenzi wa uzawa na sina uchama mimi wilaya kwanza chama au siasa baadaye mwisho uchaguzi ujao wajitokeza wapenda Mbozi na kujua uchungu wa uduni wa wilaya yetu ili awahamasishe wananchi na kuisimamia serikali ilete maendeleo kule ,wanambozi changieni ukweli wa jambo hili. Najenga hoja tena hatuna mbunge.
Mleta huu uzi... Hebu njoo Mbozi Magharibi, itisha mkutano wa Hadhara kisha waeleze hayo yote iliyoyaeleza jf
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care

WEWE SI MKABILA!! WAKATI UMESHAJIANIKA JINSI ULIVYO MKABILA, fyoko kabisa wewe!! ulikuwa huna hoja yoyote ila kilichokusukuma ni ukabila tuu, fyoko kabisa wewe kwa mara ya pili!
 
We ndugu yangu unanikumbusha mbali sana wakati nikisoma Meta Sec. pale Mbeya jamaa wa kwenu Mbozi kutokana na uelewa wao mdogo tulikuwa tuanawatania kuwa Mbunge wao alisimama na kuuliza bungeni kuwa Treni ya Express(TAZARA) haisimami Mbozi. Akaulizwa inasimama wapi akajibu Tunduma akaambiwa Tunduma iko wilaya gani akasema Mbozi basi jamaa(Mheshimiwa) yule akaambiwa kaa umeshajijibu.. Sichala think proper kaka.



unapokuwa unaweka uzi hapa jf inatakiwa kufanya utafiti sio unakulupuka tu na kudanganya watanzania. mbunge wetu silinde toka kachukua jimbo ameweza kuzunguka jimbo zima akiongea na wananchi pamoja na kuchukua kelo mbalimbali za wananchi. kiujumla jimbo letu kijographia ni jimbo ambolo ni pana sana kiasi kwamba kutatua matatizo yote yaliyo achwa na ccm inahitaji mda. mbunge wetu wana momba tuna mpenda sana kiukweli mpaka sasa kwaaliyo yafanya anastaili kusifiwa na kupongezwa. mleta maada ni mnafki kwani mbunge kwa mda mfupi kwakutumia mshahara wake ameweza kuchimba visima kadha huku akisisitiza kuwa huu ni mwanzo tu ameweza kununua magodoro na mashuka na kusambaza katika zahanati za momba.kwa hayo tu kidogo hakuna mbunge wa ccm ambaye amewai piga kazi kama ambayo kijana huyu ambavyo ameweza kuifaya kwa moyo mmoja.
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care
Kumbe wewe ni gonjwa la akili,hovyoo,kwani nani kaukweka wewe kuwa msemaji wa wilaya,kwanza kiswahili chenyewe shida tupu mbaguzi mkubwa wewe,Na hili la ubaguzi ndo lililokufanya uje na huu -----.kama watu wana taarifa wana taarifa za maendeleo wilaya ya mbozi magharibi na ni wadau wa hayo maendeleo husika,kwasababu tu si wenyeji au wazawa wa mbozi basi hawana haki ya kuweka taarifa au kuongelea hilo hapa jukwaani,lol! wewe ni mbwiga kweli.
 
We unajiita sanga unasema ni ujinga sawa ,ww umejieleza kirefu kipumbavu mambo ya ilani mi sipo kwenye siasa ccm wala cdm mi mwanambozi magharibi we Sanga we mukinga wa makete au muhamiajitu mi nikujajie vijiji naming'ongo haina maji Yala haina maji ,nkala hainamaji makamba haina maji,ndalambo haina maji ,nk ww hujui hatavijiji hivi we mupambe nuksi ,lini sanga ukawa msemaji wa Wilaya ya mombap,unauchungu gani ww?acha tuseme wanambozi hata huyoSILINDE ,babayake ni munyamwezi mlowezi hana asili ya mbozi kujihami kwenu kwa sera za kuorodhesha munachafua vyama fanya utafiti ujuaji ni ujuha kila mtu anajua kudanganya kama unavyofanya ww Sanga nenda makete kwenu bado wananchi kule wanamatatizo mi sio mkabila lakini sikubali matusi eti huu ujinga pls take care

"Mupambe" "Mukinga" mimi nmeona hapa tu ila nawaachia Mbozi yenu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa mambo ambayo wabunge wa ccm wanayaonyesha bungeni ni wazi kama jimbo limeshikiliwa na ccm huwezi hesabu kama una mbunge maana waendapo bungeni ni kuwakandamiza wananchi badala ya kutekelza kile kilichowapeleka ambapo ni kuwatetea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom