Kutokana na udhaifu mkubwa wa wabunge wa enzi zote toka CCM kwa jimbo hili kunakosababisha majanga kwa wakazi wa jimbo la Chalinze kuna dalili zote CHADEMA kuchukua jimbo. Kuna mikakati mikali ya Cdm kuhakikisha jimbo linakombolewa.
Huwezi amini kuwa jimbo la Chalinze ndiko nyumbani kwakwe JK maana huduma za jamii ni mbovu mno sijui km ni Tanzania nzima, ila chalinze zahanati zote hazina dawa kabisa labda ARv feki, shule za msingi km mabanda ya kuku unaweza kuona majengo ya madarasa sasa nenda kaingie ndani uone km nguruwe wanapumnzika humo mahandaki kufa mtu, walimu haba mfano shule ya Pongwe ina walimu wawili acha huko kibindu, mkange talawanda, mbwewe, miyono nk. Maji ndiyo usiseme lakini pamoja na matatizo yote hayo MBUNGE WA JIMBO hata hajulikani alipo tangu apite kuomba kula hadi wa leo. Nawasilisha.
Huwezi amini kuwa jimbo la Chalinze ndiko nyumbani kwakwe JK maana huduma za jamii ni mbovu mno sijui km ni Tanzania nzima, ila chalinze zahanati zote hazina dawa kabisa labda ARv feki, shule za msingi km mabanda ya kuku unaweza kuona majengo ya madarasa sasa nenda kaingie ndani uone km nguruwe wanapumnzika humo mahandaki kufa mtu, walimu haba mfano shule ya Pongwe ina walimu wawili acha huko kibindu, mkange talawanda, mbwewe, miyono nk. Maji ndiyo usiseme lakini pamoja na matatizo yote hayo MBUNGE WA JIMBO hata hajulikani alipo tangu apite kuomba kula hadi wa leo. Nawasilisha.