Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kweli hujafa hujaumbika...!!!!
Wenzenu wa miaka ya 1947 tushindwa hata kujua laana iliyoikumba hii dunia imetoka wapi!!
Kijana wa watu keshakata shauri...iwe ni kutumika, kufa, kufaidi au kupotea kabisa, yeye yuko tayari!!
Namfikiria sana mama yangu ninapojiweka kwenye nafasi ya hawa watoto......!!!!!
Wenzenu wa miaka ya 1947 tushindwa hata kujua laana iliyoikumba hii dunia imetoka wapi!!
Kijana wa watu keshakata shauri...iwe ni kutumika, kufa, kufaidi au kupotea kabisa, yeye yuko tayari!!
Namfikiria sana mama yangu ninapojiweka kwenye nafasi ya hawa watoto......!!!!!