vitu viwili vina umuhimu wake mkuu,kuna vitu kama maharage inabid sometime vipatiwe jiko la mkaaEpora just out of interest. Kwa nini unatumia vyote mkaa na gesi na sio kimojawapo?
Epora just out of interest. Kwa nini unatumia vyote mkaa na gesi na sio kimojawapo?
vitu viwili vina umuhimu wake mkuu,kuna vitu kama maharage inabid sometime vipatiwe jiko la mkaa
Ukipika ubwawa kwa mfano, gesi haiwezi kukupatia mahaba, so unatumia mkaa kuyatengeneza
NB, Mahaba= ukoko
Ukoko mbwembwe jamani unatakiwa ukipika ubwabwa sufuria linabakia safi kabisa harafu ukoko ni upotezaji wa resources so ni vyema kuuepuka maana vyakula vinavyopanda bei harafu unaweka na mbwembwe tena aise inakuwa shughuri
Sababu nyingine bana!!Ukipika ubwawa kwa mfano, gesi haiwezi kukupatia mahaba, so unatumia mkaa kuyatengeneza
NB, Mahaba= ukoko
Kwa mliotumia gesi kwa muda mrefu hivi mtungi ule wa ujazo wa gesi kg15 kwa makisio unaweza ukapikia kwa muda gani kwa familia ya watu watatu?
Ndondo haziwezi kupikwa kwenye jiko la gesi?
Kwa mliotumia gesi kwa muda mrefu hivi mtungi ule wa ujazo wa gesi kg15 kwa makisio unaweza ukapikia kwa muda gani kwa familia ya watu watatu?
kati ya miezi mitano hadi sita, inategemea unapika mara ngapi kwa siku
Kwa mliotumia gesi kwa muda mrefu hivi mtungi ule wa ujazo wa gesi kg15 kwa makisio unaweza ukapikia kwa muda gani kwa familia ya watu watatu?
Gesi si nafuu tena!!! Mkaa ni nafuu kuliko gesi na umeme!!! JAPO KAMPENI ZINASEMA KINYUME CHAKE
acha uongo, anakuwa akipika nn? Labda chai tu!
vitu viwili vina umuhimu wake mkuu,kuna vitu kama maharage inabid sometime vipatiwe jiko la mkaa