grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Tanga ilikuwa zamani bhana, enzi zile miaka ya 80 wakati nasoma Usagara Sec, Tanga ulikuwa ni mkoa wa 2 au wa 3 kwa ukubwa kama sijakosea. Lakini tokea walipoua viwanda vya Mbolea (TFC), CIC, Sikh Saw Mills, Chuma (T) Ltd, NASACO, BANDARI, Shirika la Reli, Zao la Mkonge nk, kila kitu kimeanguka chali imebaki Kiwanda cha Saruji tu...Mbunge Zitto Kabwe alitoa takwimu hizo kwenye page yake ya facebook muda si mrefu!Mtwara,Lindi then Tanga kwa umaskini Tanzania!!