WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #21
Je habari na ya huyo kiongozi wa 5 star zina uhusiano?
Boss hata miye nilitaka kumuuliza Fidel.... ila Fidel kasema muuaji ni mwarabu.
Huyu Serial Killer siyo mwarabu, wala hakumjeruhi marehemu mahali popote.Tena usiku wake muuaji alitoka kwenda kununua mishkaki! Akarudi wakalala. Inasadikiwa huenda alitilia humo sumu maana marehemu alitapika sana.Matapishi yalikutwa chumbani.Nitashangaa sana kama watashindwa kufanya investigation haraka ku baini muuaji maana kuna mashahidi kadhaawaliomuona muuaji kwa macho na wanamwelezea vizur sana jinsi alivyo.