<br />Mlimani ct kumekucha..<br />
Wizi nje nje,<br />
kuanzia vitu vidogo hadi wizi wa magari.
<br /><i>Usahihi ni <b>Selander Bridge </b>na siyo Salender au Sarenda</i>
<br />kwa ujumla wake, dar is a very dangerous place to live...
<b><u>Kijitonyama, Sinza na Mikocheni:</u></b><br />
Mitaa ya Sayansi, Makumbusho na Maeneo ya Mikocheni Rose Garden ni hatari sana kwa kina dada na kina kaka ambao huninginiza mabegi ya laptop na mapochi makwapani mwao.<br />
Kuna kundi la vijana linatumia magari kukwapua mabegi na mapochi hayo.<br />
Wanachofanya ni kwamba dereva anapunguza mwendo na kukusogelea kisha abiria aliokuwa nao hukwapua mikoba hiyo na kukimbia.<br />
Simu pia huibiwa kwa mtindo huo.<br />
<br />
<b><u>Mbagala:</u></b><br />
Mitaa yote ya Mbagala Charambe, Hadi Kiburugwa hi hatari sana kwa kuwa kuna kundi la vibaka linaloitwa Mbwa Mwitu. Kundi hili hupora fedha, simu na kila ulichonacho hadi viatu. Ukikutana nao wanakushambulia kwa vipisi vya nondo na kukuibia huku wakikuacha huna fahamu.<br />
<br />
<b><u>Girrafe Hotel:</u></b><br />
Kwenye maegesho ya hoteli hii ni hatari sana kwa wenye tabia ya kuacha mali za thamani ndani ya magari yao.<br />
Kuna kundi la vijana likishirikiana na walinzi wa hotel
<br />kwa ujumla wake, dar is a very dangerous place to live...
<br />Mlimani city ni noumaaa!! <br />
Kuna jamaa yangu mmoja aliibiwa VX, alichanganyikiwa jamaa akawa anaitafuta gari mfukoni!
<br />Mkuu, maeneo ulioyataja kweli ni ya kujihdhari sana!<br />
Maeneo ya mtaa wa Congo Kariakoo ni hatari kwa vibaka waporaji haswa kwa wanawake, maeneo ya Mchikichini Ilala ni hatari sana kwa vibaka waporaji!<br />
Vituo vya dalala hatari kwa vibaka upande wa Kawawa road, Manyanya, Studio, Mikumi, Kigogo,<br />
Magomeni Hospital.<br />
Morogoro road, Usalama, Mwembechai, Manzese, Kagera, Mapipa, Jangwani
Hapafai....Mlimani city je?