Jifunzeni mauno kina dada

al baaata.... nyimbo nzuri usipo ifasiri na ni mbaya ukiitafsiri,,,, sasa kazi kwa mtizamaji tuu...
 
al baaata.... nyimbo nzuri usipo ifasiri na ni mbaya ukiitafsiri,,,, sasa kazi kwa mtizamaji tuu...
kutuzama ni burdaniiiiiii roho yangu inatulia kabisa wallah kisa cha bata kimechezwa na mabata ushungi
 
Ah, wallaaaah mieee, muziki mtamu sana plus waimbaji plus mzee Yusuph times uchezaji, more comments reserved.
 
Ah, wallaaaah mieee, muziki mtamu sana plus waimbaji plus mzee Yusuph times uchezaji, more comments reserved.
toa comments kaka uki-reserve zitageuka sumu uziote usiku bure
 
Aah hii JF hii inanipa raha sana, si majina, si maoni/ushauri si signature za watu, sasa leo hili jina FUNZADUME nimecheka sana. Keep it up mzeiya.
 
Sijui nitampata wapi kama huyo;jamani iko vizuri hiyo!Naam kwasababu iatakuwa itakuwa hatumii nguvu nyingi na wala hatanichosha.Kama kuna mtu anweza hivyo basi ani-PM ni kwa nia nzuri tuu.
 
Back
Top Bottom