ndoze
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,187
- 1,108
Kweli kabisa, sku 1 tuko kwenye lecture ilikua research methodology, lecturer si akasema deita badala ya data watu walivo zoea, acha watu wagune bhana, nkaanza kushangaa wanaguna nn akat lecturer yupo sahihiMkuu hapo pana nitesa sana,kibongobongo ukimwambia mtu DEITA anakuona kama unatia swaga vile,