TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,627
- 2,272
mokolo wane watambolaa nkani nziza sana.anto ku nshyeto iaga ibe.ila ene nele kwanono nikowa igyembe du.karibu kukole.
muntuane uwe,tai wele kukaa ne!
mokolo wane watambolaa nkani nziza sana.anto ku nshyeto iaga ibe.ila ene nele kwanono nikowa igyembe du.karibu kukole.
mpele mazi du, sikantakile magae.mupele ujaluo magae ma nkata wakope
ne musuli wa mpopo!,!
mpele mazi du, sikantakile magae.
Yaani we Jaluo_Nyeupe umenifanya nicheke kweli jirani, mana user name yako mie nlidhani ni Jaluo au unatokea kanda ya ziwa kumbe ni Nyiramba gete gete.. hahahahah
hahaa,pole sana. Njoo nikufundishe kidogo
ne musuli wa mpopo!,!
Nyie Wanyiramba vipi?
Mmeandika TUJIFUNZE Kilugha chenu na watu tunaingia kusoma tunakuta kumbe watu wameamua KUONGEA Kikwao?
Au hamkusoma heading? Acheni tujifunze Kinyiramba maana wakati napita kwenda kwetu Tabora, sintapata shida kabisa kuongea na Vimwana vya Kinyiramba hapo Singida.
Bahati mbaya sana sijawahi kuwa karibu na Wanyiramba. Nimekuwa karibu sana na Wanyaturu hadi mwenyewe nashindwa kuelewa WHY? Wanyaturu ni HARD WORKER sana na wako OPEN. Nyie jamaa zao mna kama Ka-UHAYA fulani hivi: Nshomile sana, much know sana, Very rich sana, Smart sana ...................... Siwezi kuwatania kwa sababu Nyie na mie HATUNA UTANI. Vinginevyo hapa JF leo mngenikimbia.
Ila nikubali kuwa Kinyiramba na KiPARE kina maneno kama KIINGEREZA vile. Wanyakyusa wao wame-COPY na ku-PASTE English.
mbua mukunza du pakate nama.
powa, nitapita nikitoka likizo,maana ni jirani yako upande wa magharibi.darasa zaidi tutafanya mjini.
hahahaa!