Jicho la Mwewe: Kufukuzwa kazi kwa Balozi Mulamula ni matokeo ya ziara za Rais nchi za nje

Rais amekuwa akisafiri kwenda nchi za nje almost non stop tangu aingie madarakani kwa connection, mafanikio ya safari hizo kuanzia mapokezi, malengo n.k yalitegemea tu namna Waziri wa Mambo ya Nje alivyoyaandaa akiwa bega kwa bega na wenyeji wa nchi husika, mapokezi mabovu na kuonekana kama Rais anazurura ni matokeo hafifu ya utendaji kazi wa Waziri huyo.

Imagine unaenda nchi za watu kama Rais wa Taifa fulani halafu wanazengo wa kule kuanzia mkuu wao wa nchi mpaka raia wa kawaida hata hawahisi kama kuna ugeni fulani, kuna wakati msafara wako unakuwa cornerd kwenye traffic jam kama raia wa kawaida.

Wakati mwingine viongozi wa nchi husika wanashangazwa na ujio wa kiongozi huyu wa bongo, kanakwamba hakukuwa na taarifa ya kueleweka kuhusu ujio wa huyu kiongozi.

Anyway mambo ni mengi muda ni mchache
Hakuna lolote ni udini unamsumbua tu
 
Ngoja ni like ili niwaze tena. Nita ignore kesho, halafu naacha kuwaza
Kwenye hayo mawazo ongezea barua hii ya tangu enzi ya Maguufuli way back in 2021! Halafu jiulize huyu tunayesema ni rais mfungua nchi, kwa nini hakujiuliza kulikoni? 👇👇👇👇
Balozi.JPG
 
Acha Ujinga ...Rais Xi kamaliza miaka Miwili unusu bila kutoka nje ya China mpaka hii juzi

Huyu Mama Kila safari yeye anataka aende, yaani yeye ndio Waziri mambo ya nje, yeye ndio Rais

Nchi imeonekana kama Haina Waziri wa mambo ya nje, Wala Balozi.

Maza, atuliee, kuzurura zurura, hakujengi Nchi
Yupo busy kutafuna fedha za nchi
 
Nani alikataa 'kuwatuma' hawa waTanzania wawili kufanya kazi za AU / African Union/Umoja w Afrika
Siyo kuwatuma ni mtindo wa employment/hiring wa UN/AU/etc bodies. Kwa ufupi nchi lazima ikuunge mkono unapotaka kupata nafasi za juu kiasi hicho. TZ ilisema haiwaungi mkono kwa positions hizo, na Au ikatangaza kuwaondoa kwenye kinyanyanyilo. Ukiona hivyo, ni ishara nchi ilishaona kasoro ya utendaji wao. Nini kilimfanya Samia kumleta kuwa waziri, hiyo ndo shida anayoitatua kwa hotuba leo hii.
 
Rais amekuwa akisafiri kwenda nchi za nje almost non stop tangu aingie madarakani kwa connection, mafanikio ya safari hizo kuanzia mapokezi, malengo n.k yalitegemea tu namna Waziri wa Mambo ya Nje alivyoyaandaa akiwa bega kwa bega na wenyeji wa nchi husika, mapokezi mabovu na kuonekana kama Rais anazurura ni matokeo hafifu ya utendaji kazi wa Waziri huyo.

Imagine unaenda nchi za watu kama Rais wa Taifa fulani halafu wanazengo wa kule kuanzia mkuu wao wa nchi mpaka raia wa kawaida hata hawahisi kama kuna ugeni fulani, kuna wakati msafara wako unakuwa cornerd kwenye traffic jam kama raia wa kawaida.

Wakati mwingine viongozi wa nchi husika wanashangazwa na ujio wa kiongozi huyu wa bongo, kanakwamba hakukuwa na taarifa ya kueleweka kuhusu ujio wa huyu kiongozi.

Anyway mambo ni mengi muda ni mchache
Huu ni uongo na uzushi
 
Hee ni wewe uliyeandika hivi, Sasa Rais Xi anafanana na rais wa bongo? Rais Xi anahitaji nini kwani nje ya nchi?

Sasa nyinyi wabongo mnazalisha nini mpaka muwe na kiburi cha kujifungia ndani? au unataka turudi enzi za mwendazake tuanze kupaka girisi maisha
Kwa hiyo kwenda kuhemea kwa Mabeberu ni sifa??
 
Nyie mnadhani huku watu wanapoteza muda kama vinchi vya ulimwengu wa tatu?

Yaani mlitaka Mulamula ashike mabango mtaani alipe buku 7 watu waanze kuzurura hovyo hovyo mtaano na mikelele eti mama anaupiga mwingi?

Yani zipo sheria zihusuzo noise pollution sasa ulete ushamba wako eti unapiga kelele hovyo.

Au mlitarajia msiba wa malkia kuwepo na drama za kitanzania mara huyu kazimia huyu kajigaragaza red cross waje? Think again.

Kiufupi watu hawana muda wala kuhitaji kujua kuhusu kiongozi wa Africa na nina rafiki zangu wengi hujua Africa ni nchi na wanaojua ni bara wanajua nchi chache tu .
 
Hee ni wewe uliyeandika hivi, Sasa Rais Xi anafanana na rais wa bongo? Rais Xi anahitaji nini kwani nje ya nchi?

Sasa nyinyi wabongo mnazalisha nini mpaka muwe na kiburi cha kujifungia ndani? au unataka turudi enzi za mwendazake tuanze kupaka girisi maisha
Sasa sisi wabongo tusiosafiri nje ya nchi tumekufa? Ni ujinga na kujiendekeza kwamba kusafiri nje ya nchi kuna maana yoyote. Magufuli hakusafiri nje ya nchi na naweza kukwambia kwamba thamani ya uongozi wake nje na ndani ni mara dufu kuliko haya yanayojitembeza tembeza.
 
Sasa sisi wabongo tusiosafiri nje ya nchi tumekufa? Ni ujinga na kujiendekeza kwamba kusafiri nje ya nchi kuna maana yoyote. Magufuli hakusafiri nje ya nchi na naweza kukwambia kwamba thamani ya uongozi wake nje na ndani ni mara dufu kuliko haya yanayojitembeza tembeza.
Umesahau mkuu hela ilipotea mifukoni sasa alhamdullah buku 7 yako unaipata kwa wakati
 
Back
Top Bottom