Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Sweetie ukiwa kama Mwenyekiti wao... Please say something... (nitajifanya sikujui and i pray God it works...)
It won't dear...it won't.....thats where we get stuck...
Sweetie ukiwa kama Mwenyekiti wao... Please say something... (nitajifanya sikujui and i pray God it works...)
Chauro Mpenzi......... Sijasema wote ila karibu wote. Ngoja niweke kimahesabu. Ailimia 99 ya wanaume wanacheat! Nimesema ngapi? Yes 99%!!!! Nlitaka niseme 98 lakini hapana ili niwe precise ni 99%. Kama wa kwako kaangukia kwenye hiyo moja basi mshukuru sana Mungu.
Na kuna kautafiti ambako bado hakajakamilika kameonyesha kuwa ndoa ambayo mwanaume hacheat basi ujue mkewe anacheat.........
Msinishambulie jamani, ila ni kautafiti tu!
Sijisikii raha kumwona shem wangu amekasirika namna hii.......... ngoja nisepe.
Lakini nyie kina mama hamjisikii raha tunavyowaambieni huu ukweli ili mjue hali halisi na mjue jinsi ya kupambana? Mnataka tuwadanganye ili mjipe moyo kumbe tunafanya mambo kama kawa?
Shem hebu niambie ukweli, unaamini kuwa wanawake wote wa JF si nyumba ndogo za watu au hawana vidumu vyao? Lakini kuna hata mmoja wao anayethubutu kukubali hadharani kama tunavyosema sisi?........... Na nikuulize unadhani wanaume wanavyotoka nje ya ndoa wanaenda kufanya na mbuzi, kuku au kondoo? si tunafanya na nyie wanawake? Sasa tunavyosema haiepukiki hatumaanishi kwa upande mmoja wa wanaume kwa kuwa hizi cheatings tunafanya na nyie wanawake..........
Kama mko kwenye mpango wa kuipinga hii kitu, basi tukiwatongoza kataeni ili tuwabake mkashtaki. Lakini mnapoupinga huu muktadha wakati tukiwatongoza mnakubali wakati mnajua tuna wake zetu.........hivi vita mnavipigana na nani?
Baada ya kusema hayo narudia tena kauli yangu kuwa Nyumba Ndogo haziepukiki!
Kaizer huwa mchangiaji mzuri sana sasa sielewi kwanini kwenye hii thread simuoni lol
It won't dear...it won't.....thats where we get stuck...
Atleast ikijengwa kuwa ni "BAD TABOO" na kueleweka hivyo, kila mtu atafanya kwa uoga huku nafsi ikimkana na atakuwa anapambana kuacha!
Ila hii tu kuiita eti ni "nature" hahahaha yaani ni uhalalisho wa haki kabisa....
Hapana nyumba ndogo si nature wajemeni... inakua sababu zake ni nyingi sana primarily WANAWAKE wa kisasa mnabeba sana lawama na harakati zenu hizi za "haki sawa"
Binafsi nina mfano wa familia yangu, jamaa inaaminika kwa 98% hana nyumba ndogo na haikumbukwi kama kabla ya kuoa kama alikuwa na mahusiano.... Na ameoa mke mkorofi na jamaa ni anaepesa atiii ila wala hamna cha nyumba ndogo... ni yeye mungu wake na familia yake!
Arifu nimecheka kweli umenifanya niende kusoma tena thread ya The Boss anyways commentsza wadada nilizoona huko na jinsi walivyo-comment ngoja nikae kimya tu maana watu wanaweza kutoa sababu.Hawa watu (mademu) ni viumbe wa ajabu sana! Nilichokipata kwenye thread ya Boss ni kwamba wengi wao walikuwa wanakubali kuwa uzinifu wa waume zao haukwepeki na kwa vile haukwepeki basi ni bora kama hao wanaume zao wakifanya wafanye bila wao kujua.
Kuna kadhaa ambao walisema eti ni bora 'wachitiwe kiheshima'. Wengine wakakiri kabisa kuwa ni bora waume zao wachiti na mademu wakali zaidi yao kwani wakichiti na mademu wabovu moto utakuwa maradufu! Haya ndo yalikuwa maoni yao kwa uwingi na ujumla wake hadi kunipelekea mimi kutamka kuwa "I am royally amazed"
Haya sasa eti leo wako up in arms kupinga. Hahahahahaaa....talk about confused peope then look no further than these people. It's nauseating.
Hawa watu (mademu) ni viumbe wa ajabu sana! Nilichokipata kwenye thread ya Boss ni kwamba wengi wao walikuwa wanakubali kuwa uzinifu wa waume zao haukwepeki na kwa vile haukwepeki basi ni bora kama hao wanaume zao wakifanya wafanye bila wao kujua.
Kuna kadhaa ambao walisema eti ni bora 'wachitiwe kiheshima'. Wengine wakakiri kabisa kuwa ni bora waume zao wachiti na mademu wakali zaidi yao kwani wakichiti na mademu wabovu moto utakuwa maradufu! Haya ndo yalikuwa maoni yao kwa uwingi na ujumla wake hadi kunipelekea mimi kutamka kuwa "I am royally amazed"
Haya sasa eti leo wako up in arms kupinga. Hahahahahaaa....talk about confused peope then look no further than these people. It's nauseating.
Nyumba ndogo,nyumba ndogo, kila day yaani watu wanalia. Enyi kina babu kwa nini msiache hii maneno jameni?
kweli hii tabia iachwe kama sio kupunguzwa, watu wanapenda kuhalalisha hili kwa ku quote history maybe ya vitabu vya dini, kuna vitu vingi sana tumevirekebisha kuendana na wakati, zamani wazee walikuwa wanavaa ngozi tu, wanawake wanatembea matiti wazi, ila haya yote yamerekebishwa kuendana na wakati, sasa hivi dunia imeharibika, maradhi ni mengi, kuwa na nyumba ndogo ni kumuhalalisha kama mtu wako wa pembeni, ila wanaume wanajua wanayoyafanya hao nyumba ndogo wao wakirudi kulala kwa nyumba zao kubwa?
Hakuna mwanamke ambae hataki kulala usiku mzima kakumbatiwa na ampendaye so ukiondoka anaingia kijana single amaye anampenda kwa dhati analala naye mpaka asubuhi jamaa anaondoka, tunayaona sana haya mitaani mwetu, pia ukiwa na nyumba ndogo ni rahisi sana kuacha kutumia condom sababu umemwaminia sana,hapo sasa ndipo unapojiteketeza
Mimi ndio maana philosophy yangu ni ku fight by all means. Watu wanapinga hii philosophy wakisema eti si akili.
Lakini nadhani ni akili kuliko kuwa kimada au kuwa na kimada
Sioni noma ku act like crazy when it comes to my husband. Na kuna waliokwisha onja joto ya jiwe.
babu unataka kutuambia hamna wanaume ambao hawacheat mi sikubaliani na wewe hata kidogo
Arifu nimecheka kweli umenifanya niende kusoma tena thread ya The Boss anyways commentsza wadada nilizoona huko na jinsi walivyo-comment ngoja nikae kimya tu maana watu wanaweza kutoa sababu.
My man...si umeona hata wewe jinsi wasivyojielewa hawa watu? These people are weaker in every aspect of life and they deserve every shit that goes/ comes their way.
Mimi niliwatetea hadi Boss akanambia eti maboksi yameniharibu...teh teh teh.
READ the posts below Ngabu and between the lines and say that these ladies have different views from last time walipochangia kwa Boss... Nafikiri nyie guys are just being THICK and don't want to listen to what we are saying...
kina nani hao sijaelewa hapo?my man...si umeona hata wewe jinsi wasivyojielewa hawa watu? these people are weaker in every aspect of life and they deserve every shit that goes/ comes their way.
Mimi niliwatetea hadi boss akanambia eti maboksi yameniharibu...teh teh teh.
With all due respect.... Don't.... Please don't!
Y'all are full of contradictions. Some of those you've quoted are the ones who were directly or indirectly proponents of 'dignified cheating'...whatever the fcuk that is.
Women are pathetic...point blank...period!!!!!!!
Don't what? Mincing words is not my shtick. I just call it as I see it. If you disagree with me then go back and revisit Boss' thread and if you are a fair minded person you'll understand what I'm talking about.
Y'all are just pitiful.
Shem waweza mruhusu hommie aoe mke wa pili?
kina nani hao sijaelewa hapo?