Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
kwakuwa hajakusemaeeeee?
Last edited by a moderator:
Mwache tu my husband uyu atakua kavurugwa na baby wake kaja kumalza hasra zake uku, bado kdogo atasema na yake. Na 2le raha ya watu walaaa hatuyaskii..
cc janeth1Mwe siwezi kumvuruga huby wangu even single day,nampenda ad nachanganyikiwa.
Lady doctor nina wasiwasi na member mmoja anajiita Filipo. Cc: Arushaone3. Lady doctor ana ujauzito wa miezi miwili... mtafaruku mkali waibuka juu ya ujauzito wake, kwani ana miezi minne hajakutana na mumewe Arushaone. Mwenye mimba anasakwa kwa udi na uvumba.
6. Mentor afilisika, aonekana akigombania daladala!
inasemekana kuna mdada kammaliza!!
7. Erickb52 kapotea nyumbani kwao, siku ya 8 sasat
na kumwachia Chocs majukumu mazito ya kulea.
Mara ya mwisho alionekana Tengeru, na inasemekana kafichwa huko. black woman is suspected here.
Nicas Mtei...kana mimba hii nikuumbue.12. Heaven on Earth kujifungua hivi karibuni, vidume tofauti vyapishana kupeleka viwalo vya mtoto kijacho.
Baba halisi wa kijacho bado ni utata mtupu..
kuna uwezekano akawa menber wa #teambazaz ..
CC: Kaizer, angelious KOKUTONA Eli79
Mentor hajafilisika
kama sio wew mwenzio bas.
ha ha ha!!! uran umenifurahisha sana kweli huu udaku special, nampa pole miss neddy kumbe hakujua mmewe Excel ni TEAMbazaz? ndo mana me nilishindwana naye kwa sababu hiyo ila usijali mamy utazoea tu....we mine Daudi1 na Kibo10 ndo nini kufichua siri ya mwenzenu mtaja sababisha watu wafe bure, kwanza mmejuaje au nyie ndo wale wale?????
hahahahahahaha pole ya kinafki siitaki
ile stroke ulioipata ilitoka wapi?