Tanzania kuna hazina kubwa sana ya watu na pia huwa nashikwa na ganzi katika kujua ni kwanini taifa bado lipo hapa lilipo maana wanatoa michango mkubwa sana ila hakuna wa kuthamini ila ni siasa tuTopic nzuri sana na imenifungua macho kuhusiana na wanataaluma wengi wa kitanzania.
...Naomba kama kuna mtu anajua kuwa alipo huyu jamaa aseme yupo wapi na anafanya nini huko? anajihusisha na nini huko??
Mkuu, ungejibu swali hili kama lilivyoulizwa na Josh Michael halafu ndipo uongeze hayo maelezoo yako ingependeza zaidi....
nimesoma kitabu chake Africain a mess. hakichoshi. jaribu kuanza nacho.Nimejifunza kitu kipya kuhusu huyu mtu. Nitamtafuta vitabu vyake nisome na mimi
The coming weekend natarajia hiyo ndiyo iwe kazi yangu. Kutafuta hivyo vitabu. I love books ikilazimu kuagiza kwa publishers nitafanya hivyonimesoma kitabu chake Africain a mess. hakichoshi. jaribu kuanza nacho.
kama nakumbuka vizuri amekiweka free mtandaoni. hata humu JF kilishawekwa. ngoja nikiweke.The coming weekend natarajia hiyo ndiyo iwe kazi yangu. Kutafuta hivyo vitabu. I love books ikilazimu kuagiza kwa publishers nitafanya hivyo
kama nakumbuka vizuri amekiweka free mtandaoni. hata humu JF kilishawekwa. ngoja nikiweke.[/QUOTE