Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #41
Mh! Kiukweli majina yenu yamekaa ki-gadafi gadafi tu.Hadi mods nao! Teh teh,ILA MSINIPIGE BAN JAMANI.Ni mjadala tu
Mh! Kiukweli majina yenu yamekaa ki-gadafi gadafi tu.Hadi mods nao! Teh teh,ILA MSINIPIGE BAN JAMANI.Ni mjadala tu
Mbona langu zuri na decent kabisa?
Idd Ninga shida nini kwenye kitufe chako cha kutoa LIKES? Naona panasoma zeroaise majina ya humu kweli yamekaa kikomando komandooo vile eti mtu anajiita tamuuuuu au Domenia au Deejay nasmile au utasikia mtu anajiita sijui nini au Kongosho ipo siku tutasikia MODS akijiita Mzizi mkavu au mshana jr siku nyingine utasikia mbunge akijii Idd Ninga
Jf bhana raaaaaaaha mtindo mmoja.
aise majina ya humu kweli yamekaa kikomando komandooo vile eti mtu anajiita tamuuuuu au Domenia au Deejay nasmile au utasikia mtu anajiita sijui nini au Kongosho ipo siku tutasikia MODS akijiita Mzizi mkavu au mshana jr siku nyingine utasikia mbunge akijii Idd Ninga
Jf bhana raaaaaaaha mtindo mmoja.
aise majina ya humu kweli yamekaa kikomando komandooo vile eti mtu anajiita tamuuuuu au Domenia au Deejay nasmile au utasikia mtu anajiita sijui nini au Kongosho ipo siku tutasikia MODS akijiita Mzizi mkavu au mshana jr siku nyingine utasikia mbunge akijii Idd Ninga
Jf bhana raaaaaaaha mtindo mmoja.
aise majina ya humu kweli yamekaa kikomando komandooo vile eti mtu anajiita tamuuuuu au Domenia au Deejay nasmile au utasikia mtu anajiita sijui nini au Kongosho ipo siku tutasikia MODS akijiita Mzizi mkavu au mshana jr siku nyingine utasikia mbunge akijii Idd Ninga
Jf bhana raaaaaaaha mtindo mmoja.
aise majina ya humu kweli yamekaa kikomando komandooo vile eti mtu anajiita tamuuuuu au Domenia au Deejay nasmile au utasikia mtu anajiita sijui nini au Kongosho ipo siku tutasikia MODS akijiita Mzizi mkavu au mshana jr siku nyingine utasikia mbunge akijii Idd Ninga
Jf bhana raaaaaaaha mtindo mmoja.
Idd Ninga shida nini kwenye kitufe chako cha kutoa LIKES? Naona panasoma zero
Jamani tumboo yupo wapi?haonekani siku hizi ati!
we acha tu,si unajua tena visimu vyetu vya kichina havina uwezo wa KULIKE kwa sababu natumia JF MOBILE Ila ka unaweza kuifahamu CODE ya kulike unaweza kunishtua
tatizo ni njia nayotumia kufika humu Jf.
Hao wengine bado kuruta...m Ndio kila kitu...Duuu naona post iliamua kujirepost automatically