Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
Nimeweza kuingia ila haijanivutia kiasi cha kusema natamani kuingia tena!!!
Kusema ukweli iko kawaida sana....can't you guys pendezesha it kidogo??:twitch:
Alafu swala la kila ukitaka kuingia lazima ulog-in nalo linaboa flani hivi!!Bila
kusahau kwamba mtu anaweza kuingia kwa jina lolote!!
Nwyz hayo ni mawazo yangu tu....mnaofurahia na mzidi kufurahi!!!!!
Kusema ukweli iko kawaida sana....can't you guys pendezesha it kidogo??:twitch:
Alafu swala la kila ukitaka kuingia lazima ulog-in nalo linaboa flani hivi!!Bila
kusahau kwamba mtu anaweza kuingia kwa jina lolote!!
Nwyz hayo ni mawazo yangu tu....mnaofurahia na mzidi kufurahi!!!!!