Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,822
- 59,428
Wapi Lizzy?
Dah ubize sometime mbaya kweli!!!
FL1 asante mama kwa kutupa sehemu ya kushea maurembo na umbea kidogo....japo naona kina kaka nao wamevamia utadhani sketi wanavaa!!!
Well mimi napenda sana jeans..legging na jeggings tight nikitupia na top au shati oversize kidogo na jimkanda kwa juu basi naridhika!!
Zamani nlikua namaind vimini ilasiku hizi magauni na sketi za marinda marinda ndo napenda...hapo na wedges nimemaliza!!
Viatu kwanzia heels...flats...raba siku najiskia kutoka kimtaani mtaani..
Nywele napenda sana nikiwa na afro sema wakati mwingine nashawishika kuweka dawa...na kusuka rasta napenda sana!!
Pochi sipendi kiviiiiiile japo sikosi begani.....ila kwa miwani huniwezi maana napenda kupitiliza!!
Make up...wanja, lipgloss na bronzing powder kidogo!!
Accesories kofia yani sana...mpaka bushori zile kama tuvyoziita huku Ungalii navaa...then hereni na bangili naona nimeanza kuvaa sana lately!
Ngoja nirudi bize alafu baadae nije kumalizia kusoma mashosti wengine mwapenda nini!!