BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
wanna join yaa honey....
Ooh honey, Feel free...Uje ki-swimming lakini... next sato nitakuwa white sands!!Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanna join yaa honey....
niko ready.....yes honey white sand miyeyusho huko bongofleva wengi.....twen'zetu pemba....Ooh honey, Feel free...Uje ki-swimming lakini... next sato nitakuwa white sands!!Karibu
Mavazi: navaa nguo yeyote inayonifanya niwe huru,ninayejiamini na ninayojisikia kupendeza na kuuona mwili wangu mzuri zaidi.....sijaweza kuvaa kitenge,nguo za kushona wala suti....naona kama na complicate maisha na nakuwa mzee....maybe in future....!
Nywele: Sipendi wigi wala weaving wala rasta labda pale inapobidi....napendelea nywele zangu za asili na kuweka dawa kwa mbali
Viatu: napenda kuvaa viatu virefu na kama nina tembea muda mrefu nitavaa viatu flat
Handbags: napenda ziwe za kisichana na ziwe zilizobuniwa na designers wa kiitaliano
Make Up: ikinibidi but sipendi and its not my thing....ila lips lazima zirembwe...l.o.l
Accesories: napenda sana na najiona niliyepungukiwa kama sina kitu kwa mkono wangu,shingoni na masikioni....its a must for me
Thanks FL1,umenifanya nijifikirie...l.o.l
Nitafumba macho tu hamna tatizo nageuka wee vaa tunaomba utoke nje nataka kuvaa.
Hahaha KK dah!!! mazee utanipiku uchukue Champions LeagueTF duka lako laukweli utawabamba ila niweke front shop niwakaribishe!!
</p>Thread nzuri sana hii. Hapa tunaweza pata hints za totoz za ukweli....
Champions League mbona bado hutaki niwe nakaribisha??NN tutampa umeneja!!Hahaha KK dah!!! mazee utanipiku uchukue Champions League
</p>hongereni sana wadada na wamama wa JF kwa kuwa simpo, ooops! Kumbe mmetushikia viwembe? Acheni noma Bana, lol...
Umemuona King'asti hebu cheki naeChampions League mbona bado hutaki niwe nakaribisha??NN tutampa umeneja!!
</p>Jamani mie nashauri tu. Sasa hivyo visketi vifupi mnavyo vaa vinatuchanganya, unakuta dada kavaa kisketi hata akitembea anakua anakivuta kwenda chini mbona mie naona ni usubufu. Au sometimes anakaa maeneo ya public yeye mwenyewe anaona soo, anachukua mkoba anaweka kwenye magoti, yote hii kwa nini? Haya yote tisa niambie akidondosha kitu public atakichukuaje, mwishowe unaweza kukipotezea kuona aibu mwenyewe af unajijengea mazingira ya kutongozwa bila kujua. Haya hivyo vitop navyo kitovu nje unaanza kutoonyesha michirizi ya tumbo, hii sio ishu mie nawashauri muwe mnavaa kama Salama Jabir au Fetty wa clouds hawa wanajistili. Mie hivyo vishot skets na vitop sivikubali na shida yake utaiona wahuni wakikuvagaa, wanachukua kiulani badilikeni msinishambulie ni mtazamo tu.
heheehe,we hufai kabiisa.umefumaniwa umefichwa uvunguni afu unakohoa!utauwawa aisee,lol!
<p></p>
<p> </p>