sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Wow..send her flowers kwanza kama anafanya kazi 'ajidai' nayo ofisini, hata kama home poa tuhei....first lady usipige kelele! kesho ni siku ya kuzaliwa ya wifi yenu, nataka kumfanyia ka- suprise kidogo, nishaurini nimlipue kwa mtoko gani? fast kabla hawajanifumania hapa na mi nikapakwa ina na lipshine!
nakusubiria hapa pembeni mwa jamvi......!
Hivi ni kuweka weaving au ni kuweka weave? Manake weaving ni verb tena iliyo katika present tense. Weave ndo noun. Sasa utawekaje/utashonewaje weaving?.
Hii lugha ya bi. Mkubwa hii.
tukisema 'weaving' tunamaanisha 'weave on' ila hata ukisema 'weave' ni sahihi lkn weaving ni kama kislang fulani hivi cha sisi wadada wakibongo kutokana na kwamba hatuijui lugha ya watu vizur basi ndo watu wanasema weaving badala ya weave on na hata wenzetu wanaokijua kizungu tumewaambukiza kusema weaving japo wanajua hiyo ni verb ya wkt uliopo,makosa mengi ya lugha tunayafanya sbb ya mazoea mfano utaskia mtu akisema 'nitavaa kimin changu' akimaanisha minskirt lkn najua wenzetu mnaokijua kiinglish mtajiuliza min what?min salary,min bus or min what.
aahh hata hivyo sie wengine hizi lugha tunazisikia siku akija mchungaji wa kizungu kanisani kwa hiyo mtusamehe.
ndio mimi Superman mbona hukunishitua ,mie niko mapokezi karibu sana
cheusimangala mbona nakumiss sana rafiki ,hebu rudi nielekeze wapi napata mikoba mizuri jamani kizuri tushee bana miss u big tym
Oh wala hakuna ubaya. Nilikuwa nauliza tu maana nimesikia wengi sana wakisema hivyo hadi nikawa najiuliz labda nijuacho mimi ndo si sahihi. Nashukuru umeeleza kwa kuridhisha kwa nini watu husema hivyo.
Mambo mengine vipi lakini?
mim pia nakumiss best yangu siku hizi nimetingwa kweli.
kuhusu mikoba hata sijui sehemu huko bongo wanakouza mikoba mizuri lkn nitajaribu kukuulizia.
Mi najua inakouzwa ile bomba kabisa tena ya Designer kwa bei poa.
Ila ndo hivyo tena, this JF Ladies Talk Talk na mimi am just a Man
FL naona na mimi nishare kidogo...
Kwenye vikao vya bodi navaa suits na high heels, kwenye vikao vya kazi nakuwa na casual smart wear
Ninapokuwa site mara nyingi navaa overcoat na maramojamoja overalls!!
Kila nilipo wether site,ofisini au sokoni kila handbag lazima iwe na lipgloss I just can't do without it,hata kwenye gari lazima kuna lipgloss
Mara nyingi safarisafari hivyo ninacollect perfumes sana...just a hobby
Vilevile ninacollect clutches na zenyewe zina lipgloss...
Makeup kiasi natumia clarins toner,cleanser,moisturizer na kokoro zooote kila kitu na bio oil
Siweki weave, sishoni nguo wala kuvaa vitenge si mpenzi sana I guess polepole itajipa,
hei....first lady usipige kelele! kesho ni siku ya kuzaliwa ya wifi yenu, nataka kumfanyia ka- suprise kidogo, nishaurini nimlipue kwa mtoko gani? fast kabla hawajanifumania hapa na mi nikapakwa ina na lipshine!
nakusubiria hapa pembeni mwa jamvi......!
Mi najua inakouzwa ile bomba kabisa tena ya Designer kwa bei poa.
Ila ndo hivyo tena, this JF Ladies Talk Talk na mimi am just a Man
Mie napita tu,mwasalimika lakini?
mwelekeze basi FL1 atakapo pata hizo mikoba mizuri ili tukusamehe kwa kuingia choo cha kike,
mim binafsi sivai designer stuffs sbb nataka kuwa bilionea wa viwango vya dunia ya kwanza na siri kubwa ya watu waliokua matajiri ni ubahili,so nitaanza kulipuka na big brands nikifikisha miaka 40 kwa sasa nazichanga.
Pia i hate fake ones.
tumesalimika cjui wewe ?