Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mitambo yangu inaniambia kuwa hapa JF kuna vidudu vya upelelezi na ukitumia spyterminator utaona ,mambo mambo na harakati ,sasa sijui kama imeshanunuliwa na usalama wa Taifa na kuanza kutumika upapasi.sijui wengine mnaosurf mna onaje ?
Last edited by a moderator: